youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
Sidhan katika hili km kuna haja ya mtu kutoa mapovu humu ila tuchangie mitazamo yetu kwa namna ambao kila mtu analichukulia
Me sometimes mtu akicomment nataman nijue sex yake ili nijue nareply kivip coz lazma tukubaliane kureply text ya female ni tofauti na male, sasa huwa nasikitika sana pale ninapopita kwny profile yake afu sion sex yan sex hakuna kabsa.
Tatizo nn wanaJF kwn kuna mtu anamashaka na sex alonayo ama kuna ambae hana sex
Binafsi huwa sipati picha nzuri juu ya kiumbe ambcho ni moja ya jamii ya hili jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki halafu sex yako haijulikan.
Mara nyingi nimeona mtu anaulizwa we ni ME au KE, hiv unaeulizwa hayaa maswali huwa unajisikiaje labda.
Karibun kwa mitazamo,
KUMBUKA
:Kila anaecomment humu takua napitia profile yake nijue mbivu na mbichi, na takuuliza we ni ME au KE
Me sometimes mtu akicomment nataman nijue sex yake ili nijue nareply kivip coz lazma tukubaliane kureply text ya female ni tofauti na male, sasa huwa nasikitika sana pale ninapopita kwny profile yake afu sion sex yan sex hakuna kabsa.
Tatizo nn wanaJF kwn kuna mtu anamashaka na sex alonayo ama kuna ambae hana sex
Binafsi huwa sipati picha nzuri juu ya kiumbe ambcho ni moja ya jamii ya hili jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki halafu sex yako haijulikan.
Mara nyingi nimeona mtu anaulizwa we ni ME au KE, hiv unaeulizwa hayaa maswali huwa unajisikiaje labda.
Karibun kwa mitazamo,
KUMBUKA
:Kila anaecomment humu takua napitia profile yake nijue mbivu na mbichi, na takuuliza we ni ME au KE