Wanambeya, mtakuwa wajinga kutomchagua tena Spika Tulia

Wanambeya, mtakuwa wajinga kutomchagua tena Spika Tulia

unatumia kigezo gani kuwa wana Mbeya ni wavivu? Wewe hujafika Mbeya, nakuhakikishia katika mikoa yote ni Mbeya tu ndiyo haina ombaomba wa mitaani kama ilivyo miji mingine

Nimewahi ishi mbeya, lkn bado sijaridhika na kiwango chao cha maendeleo. Maana pale mjini kuna nyumba za madongo na bati madebe nyingi tu.
Na ujinga wao ni kwamba wanampiga madongo mtu ambaye wakimpa agenda anaweza kuwafanikishia. Wanamkimbilia sugu anayejisifu ana ghorofa.
 
View attachment 2803084
Nyie washamba mlioishia kusafiri Inyala , hamjui kama mko nyuma kwa sababu hamtembei.
Kwenye hiyo picha jiji la Mwanza-Rock City zoom.na utafute nyumba ya tope kama Mwanjelwa.
Kwanini ni zoom wakati kuna wasukuma wanaishi mlima Bugando kwenye mawe kama panya buku? Wengine
Screenshot_20231104_184440_Google.jpg
Screenshot_20231104_184440_Google.jpg
Screenshot_20231104_184557_Google.jpg
wanaishi Mabatini mvua ikinyesha wote wanalowa vinyesi
 

Attachments

  • Screenshot_20231104_184653_Google.jpg
    Screenshot_20231104_184653_Google.jpg
    144.7 KB · Views: 2
Nimewahi ishi mbeya, lkn bado sijaridhika na kiwango chao cha maendeleo. Maana pale mjini kuna nyumba za madongo na bati madebe nyingi tu.
Na ujinga wao ni kwamba wanampiga madongo mtu ambaye wakimpa agenda anaweza kuwafanikishia. Wanamkimbilia sugu anayejisifu ana ghorofa.
Achana na sisi wewe angalia mkoa wako. Mbeya tunajitambua hatusubiri kupewa maendeleo bali tunajipa wenyewe. Huyo Tulia mpelekeni kwenu Dodoma akawe mbunge wenu
 
Kwanza kama mwana CCM, kada, nampongeza sana Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwa kupewa wadhifa wa juu, Bunge la MabunGe, IPU.

Huo ni wadhifa umeleta sifa si kwa Tanzania tu, bali Afrika kwa ujumla.

Tukirudi bongo, hasa kule kwa wasokile, wasafwa, wanyiha, wapangwa na wakinga, kwenu huo ni mtaji mkubwa.

Tulia aombe kitu gani kwa mama Samia halafu Samia amkatalie?

Dkt. Tulia mtaji wa maendeleo.

Lakini Mbeya kuna mijitu ya ajabu.

Kikwete aliwahi sikika akilalamika, eti Halmashsuri na Mkoa hawana eti sehemu ya kujenga Chuo Kikuu cha DSM, tawi la Mbeya!

Tukumbuke Chuo Kikuu cha Mandela kilikuwa kijengwe Mbeya, mji alimoingilia mpigania uhuru Mandela.

Kwa kukosa ushirikiano wenu kikajengwa Arusha.

Mbeya msiwe low achievers!


Tatizo hayawahi kuchaguliwa😂 unavyosema “ tena” ndiyo unachekesha
 
Achana na sisi wewe angalia mkoa wako. Mbeya tunajitambua hatusubiri kupewa maendeleo bali tunajipa wenyewe. Huyo Tulia mpelekeni kwenu Dodoma akawe mbunge wenu
images.jpeg-3.jpg

Atakuachaje nawe unaishi nyumba ya tope Mwanjelwa, katikati ya "Jiji" la Mbeya.
 
Kina Mwabukusi watusaidie kuhamasisha wananchi wa huko wapate awareness.

Kwamba hata sakata la
Mkataba tata wa bandari lingeweza kudhibitiwa kirahisi bungeni iwapo spika angesimama vizuri kwenye zamu yake na kuwajibika honestly on behalf of wananchi wanaowawakilishalakini Ndiyo hivyo tena!

Je mengine ambayo hayasemwa inamaana hali ikoje?

Mwabukusi hii anaweza kuichukua kama agenda.

Siyo kwa wanambea tu lakini Kama Taifa coz ufanyaji kazi wa mbunge/spika maamuzi yanaathiri Taifa na vizazi vijavyo.
 
Utakuwa mwana Mbeya, tunawajua ndivyo mlivyo.
Maendeleo NO, ushirikina ubinafsi, umasikini,mtimanyongo ndo kipaumbele.
Acha kukashifu Watanzania wenzako, hata huko kwenu ushirikina upo, umasikini ndio wakutosha kabisa.
 
Mwabukusi tumemuona mtu mwenye misimamo thabiti,
Asiogopa vitisho, ni Sifa nzuri za kiongozi wa watu.
Wako wachache Kama yeye siku hizi.
Wengi ni wanafiki.
Wengi ni wabinafsi wanaogopa majina yao kukatwa kwenye kura za maoni wamebaki kijipendekeza , kusifu Na kuabudu (uchawa).

Wabukusi anafaa kuwa mbunge na kuwa spika ili akalinde Na kutetea maslahi ya wananchi wengi wako Taifa na vizazi vyao vilivyoponna vijavyo vikute rasilimali za nchi hizi zikiwa salama na zikiwa protected all the time.
 
Ni wakati wa kuwepo mgombea binafsi uanze mara moja ,
Watu wafanye kusindwa wenyewe huko majimboni lakini sheria iruhusu bila kikwazo chochote.

Mbona nchi sa wenzetu ni jambo la kawaida tu kufanyika?!
 
Mwabukusi tumemuona mtu mwenye misimamo thabiti,
Asiogopa vitisho, ni Sifa nzuri za kiongozi wa watu.
Wako wachache Kama yeye siku hizi.
Wengi ni wanafiki.
Wengi ni wabinafsi wanaogopa majina yao kukatwa kwenye kura za maoni wamebaki kijipendekeza , kusifu Na kuabudu (uchawa).

Wabukusi anafaa kuwa mbunge na kuwa spika ili akalinde Na kutetea maslahi ya wananchi wengi wako Taifa na vizazi vyao vilivyoponna vijavyo vikute rasilimali za nchi hizi zikiwa salama na zikiwa protected all the time.
Zaidi ya kupiga jaramba hana kitu.
Naye si ajabu anaishi nyumba ya tope Mwanjelwa.
 
Kwanza kama mwana CCM, kada, nampongeza sana Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwa kupewa wadhifa wa juu, Bunge la MabunGe, IPU.

Huo ni wadhifa umeleta sifa si kwa Tanzania tu, bali Afrika kwa ujumla.

Tukirudi bongo, hasa kule kwa wasokile, wasafwa, wanyiha, wapangwa na wakinga, kwenu huo ni mtaji mkubwa.

Tulia aombe kitu gani kwa mama Samia halafu Samia amkatalie?

Dkt. Tulia mtaji wa maendeleo.

Lakini Mbeya kuna mijitu ya ajabu.

Kikwete aliwahi sikika akilalamika, eti Halmashsuri na Mkoa hawana eti sehemu ya kujenga Chuo Kikuu cha DSM, tawi la Mbeya!

Tukumbuke Chuo Kikuu cha Mandela kilikuwa kijengwe Mbeya, mji alimoingilia mpigania uhuru Mandela.

Kwa kukosa ushirikiano wenu kikajengwa Arusha.

Mbeya msiwe low achievers!
Mbeya sio kama wewe. IPU inawasaidia nini wana mbeya?. Kwanza wabunge wote waliopo bungeni wanatakiwa wapigwe chini.

Na tulia afanye kazi sana kupita mbeya. Ana asilimia kubwa ya kupigwa chini. Hakuna alichofanya mbeya.

Kikubwa kitakachomuangusha ni zile barabara za four way toka Igawa mpaka Songwe air pot kwa uchache. Na barabara ya maroli ya kupitia itua ndani huko,toka Igawa mpaka Songwe kwa uchache.

Ona foleni ilivyo mbeya. Mwaka juzi ilikuwa foleni ni jioni tu. Ila sasa ni kuanzia asubuhi,mchana,jioni na usiku ni kinyaa mbeya. Mchanganyiko maroli,na vibajaji vya tulia mwenyewe ndio kero kubwa ya foleni kubwa mbeya.

Pia wabunge wote wa sasa inatakiwa wapigwe chini.
1. Ubadhirifu umekithiri serikalini,sio kwamba hawajui,ila wanalindana ksbb wamegawana sehemu za kupiga.
2. Mbunge anasimama kuongea dakika 5 nzima ni kusifia tu rais mpaka aibu hili bunge. Dakika 5 nzima ni kusifia tu rais. Bahati mbaya wanamsifia kwa kumdanganya ili mapigo yaendelee.
3. Vivyo hivyo hivyo kwenye mawaziri ndio balaa muda wote ni kusifia tu rais. Hakuna wanapowatetea wananchi. Sidhani hata rais kama anapenda hiyo misifa ya kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili waendeleze kupiga.
 
Utakuwa mwana Mbeya, tunawajua ndivyo mlivyo.
Maendeleo NO, ushirikina ubinafsi, umasikini,mtimanyongo ndo kipaumbele.
Hakuna unachokijua kuhusu mbeya we kenge. Mbeya ni wastaarabu ajabu. Hata ungekuwa wewe unaishi mbeya Ona foleni ilivyo mbeya kwa sasa. Unaweza kutoka mwanjelwa tu hapo mpaka Sai km 1 unatumia masaa matatu. Barabara imechanganya magari ya kawaida,maroli ya Zambia na DRC na vibajaji vya tulia kibao. Mji umekuwa takataka. Kama hauna viongozi.
 
Achana na sisi wewe angalia mkoa wako. Mbeya tunajitambua hatusubiri kupewa maendeleo bali tunajipa wenyewe. Huyo Tulia mpelekeni kwenu Dodoma akawe mbunge wenu

Hizo ndo akili zenu za kususa. Ulimwengu ulishaondoka huko. Siku hizi watu wanafanya lobbying. Siyo hizo akili zenu za kishamba. Ndiyo maana Tanzania 🇹🇿 mumekua kituko kila kabila mtani wenu.
😛 🙂 😀

CC:: Bujibuji Simba Nyamaume
 
Hizo ndo akili zenu za kususa. Ulimwengu ulishaondoka huko. Siku hizi watu wanafanya lobbying. Siyo hizo akili zenu za kishamba. Ndiyo maana Tanzania 🇹🇿 mumekua kituko kila kabila mtani wenu.
😛 🙂 😀

CC:: Bujibuji Simba Nyamaume
Ukiisha ingiza lobbying kwenye mfumo wa Serikali umehalalisha rushwa. Ni jukumu la Serikali kufanya maendeleo ambayo yako equitable
 
Ukiisha ingiza lobbying kwenye mfumo wa Serikali umehalalisha rushwa. Ni jukumu la Serikali kufanya maendeleo ambayo yako equitable

Lobbying na rushwa zinatofautiana kwa mstari mwembamba sana. Lkn ikitumika vizuri, inaleta maajabu.
 
Lobbying na rushwa zinatofautiana kwa mstari mwembamba sana. Lkn ikitumika vizuri, inaleta maajabu.
Anna Makinda alikuwa Mbunge wa Njombe na Samuel Sitta (RIP) alikuwa mbunge wa Urambo. Je wilaya ya Njombe na Urambo zikoje kimaendeleo?.

Mimi naamini maendeleo yataletwa na watu wenyewe. Serikali ina vipaumbele vyake. Dodoma kwa sasa ni makao makuu ya nchi na Serikali inajenga miundombinu ya haki ya juu, lakini Dodoma ni moja ya mikoa yenye watu maskini sana kwa nchi yetu.

Wananchi hawali barabara wala magorofa bali wanakula chakula na chakula kinatoka kwenye hela zilizoko mfukoni. Hapo ndipo Mbeya inawapiku mikoa mingi kwa kuwa hata kama haina magorofa lakini wananchi wao wana fedha.
 
Back
Top Bottom