Wanamchafua Mwendazake wakiamini kuwa kwa kufanya hivyo wao watabaki salama

Huu ni mwendelezo wa projo za MATAGA.Mwendazake hakuna aliyemchafua zaidi ya kujichafua yeye mwenyewe kwa maisha ya kupenda sifa,kukurupuka,kujiona bora kuliko wengine,visasi vilivyopitiliza,upigaji wa kufa mtu/ufisadi.Kuwa na roho mbaya huku akijificha kwenye koti la ucha Mungu.Jiwe alijiharibia mwenyewe kwa design ya maisha aliyoishi.Ili uwe salama mbele ya Watz leo, ni heri kumkana Jiwe na Matendo yake!
 
Wanasiasa wa Tz vichwa panzi sana. Uko kwenye utawala usiokubaliana nao badala uwajibike angalau kwa kushauri inaposhindikana ujiuzulu unakomaa humo humo as long as mkono unaenda kinywani. Leo kiongozi kaondoka unaanza kumchafua wakati ulikuwa sehem ya uongozi wake na hukuwahi kuwajibika hata siku moja! Tunakuamini vp leo?
 
Na hiyo sura ilivyo ikiwekwa kwenye pesa yetu si ni uchuro tuh,

Kwanza hiyo sura Mimi Mara nyingi huwa naichukua namtishia nayo mwanangu akigoma kunywa ujiii...!!

Hebu tuache kwanza tujenge nchi,sukuma gang wataisoma namb

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

CAG profesa Assad alimwambia imeibiwa 1.5 Trillion kamuundia zengwe akamtoa,

Akamleta CAG wake alieona yeye anafaa,ndiyo kaja kumvua nguo kabisa,sasa wewe unasemaje anachafuliwa??

Meko miyeyusho tuuuh,alikuwa mpigaji tuh yuleee
 
Tangu lini kusema ukweli ikawa ni kumchafua mtu?

AJabu Sana,wao walikuwa brainwashed kuwa Magufuli alikuwa malaika na hakuna makosa amefanya,kumbe alikuwa mpigaji tuuuh na yeye,mshamba kweli tan,ukithubutu kuongea tuh anakupoteza,kiko wapi leo
 
Wana mchafua kwa lipi?
Hij ripoti ya CAG iliandikwa jamaa Jiwe akiwa hai.
Inaonyesha zilikuwa zina andaliwa ripoti mbili. Na ikawa ina somwa hiyo kanjanja.
Au iliandaliwa na Chadema?
 
Watu wanamchafua bure shirika letu la ndege linapata sana faida.
 
Wote hao na wengine wana mambo ya kujibu, time will tell, ila asifiwe Mungu Mkuu kwa kutuondolea dhahama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…