Wanamgambo wa Israel waunguzwa ndani Merkava Battle Tank

Wanamgambo wa Israel waunguzwa ndani Merkava Battle Tank

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu

 
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu🔥🔥🔥🔥🔥
tuzidi kuwaombea waislam wenzetu wa Gaza waangamize zaidi maadui
 
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu🔥🔥🔥🔥🔥
Kwaio mkuu hapo ume-enjoy eh?
Hahah wavaa kobazi bhana 😂😂
 
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu🔥🔥🔥🔥🔥
Hao wanajeshi wao wengi ni wapiga mashindano , labda walidhani wamefika hapo ndio Tela Aviv wakalala 😄
 
hujui kitu wewe, kama kungalikuwa na wakiristo UNO ikangalikuwa ishamuekeya vikwazo Letnayahu kama alivymuwekea vikwazo Putin
Bro Udini usikupotoshe,inaonekana huna unalolijua.
Gaza wanapigana waislam kwa wakristo.
Sherin Abu Akleh yule mwandishi wa habari alikua muanglikana mkristo.
Hivi una habari kama makanisa mawili yenye historia ya umri wa zaidi ya miaka 500 yamelipuliwa Gaza!?
Nadhani unajua hiyo ina atharika gani kwa UNESCO.
Ndio maana UN na mataifa kama Belgium,Spain,Norway,Brazil,Colombia yalienda kinyume na Israel na kuisapoti Palestina.
Kinachofanya Israel asiweke vikwazo ni USA na UK basi.
Haya mataifa mawili ndio yanaikingia kifua Israel.

GAZA WANAPIGANA WAISLAM NA WAKRISTO.
Punguza Udini unakutia upofu.
 
ulijuaje?
Gaza kuna makanisa yana umri zaidi ya uhuru wa Tanganyika.
Kuna makanisa yana umri wa mpaka karne tatu na zaidi.
Kuna wapalestina waliuawa kwa kupigwa risasi na Sniper wa IDF wakiwa ndani ya kanisa ni wakristo waanglican na kanisa hilo lipo mule mule Gaza.
 
Halafu hao sio wanamgambo hao ni wanajeshi au askari jeshi.
Wanamgambo ni kama Hamas na Hizbollah.
Israhell na idf ni mgambo na hao unaowataja ndio wajeda
Ila dunia imekua yakipuuzi sana watu wanapewa sifa wasizostahiki na wenye nazo wanapokwa
 
Back
Top Bottom