green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
- Thread starter
- #21
Vinaendelea kupigwaHalafu kwenye hicho kifaru hajafa mwanajeshi wa israel wala kujeruhiwa msishabikie unafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vinaendelea kupigwaHalafu kwenye hicho kifaru hajafa mwanajeshi wa israel wala kujeruhiwa msishabikie unafiki
Headline haina ukweli.. Kuwekewa bomu hivyo si kwamba mjeda wa ndani anakuwa na hali mbaya udhaniavyo.. eneo walipochomeka bomu si pa kutisha chombo kinaweza endelea na safari na kuua pia hao maadui... ndio maana video za waislam wa Gaza fupi fupi wao ni ambushi then wanakimbia kijificha tatizo wanapokimbilia wanakuwa washajitokeza wanalipiliwa kwa drone au air strike ndani ya minutes tu.. Hamas ni wapiganaji wa kujificha mwanzo hadi mwisho ndio maana Israel anawaraghai kuondosha majeshi ili warejee hayo maeno kimtego.. Arabs wana hali mbaya wamededi wengi sanaWanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu
View attachment 3032725
We jamaa acha ubishi Gaza Kuna wakristo, kibao, waislam pia Tena wasunnihujui kitu wewe, kama kungalikuwa na wakiristo UNO ikangalikuwa ishamuekeya vikwazo Letnayahu kama alivymuwekea vikwazo Putin
We jamaa acha ubishi Gaza Kuna wakristo, kibao, waislam pia Tena wasunni
Nb.
Tafuta mitandaoni