Wanamgambo wa Israel waunguzwa ndani Merkava Battle Tank

Wanamgambo wa Israel waunguzwa ndani Merkava Battle Tank

Attachments

  • IMG_20240703_181711.jpg
    IMG_20240703_181711.jpg
    68.1 KB · Views: 2
Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu

View attachment 3032725
Headline haina ukweli.. Kuwekewa bomu hivyo si kwamba mjeda wa ndani anakuwa na hali mbaya udhaniavyo.. eneo walipochomeka bomu si pa kutisha chombo kinaweza endelea na safari na kuua pia hao maadui... ndio maana video za waislam wa Gaza fupi fupi wao ni ambushi then wanakimbia kijificha tatizo wanapokimbilia wanakuwa washajitokeza wanalipiliwa kwa drone au air strike ndani ya minutes tu.. Hamas ni wapiganaji wa kujificha mwanzo hadi mwisho ndio maana Israel anawaraghai kuondosha majeshi ili warejee hayo maeno kimtego.. Arabs wana hali mbaya wamededi wengi sana
 
hujui kitu wewe, kama kungalikuwa na wakiristo UNO ikangalikuwa ishamuekeya vikwazo Letnayahu kama alivymuwekea vikwazo Putin
We jamaa acha ubishi Gaza Kuna wakristo, kibao, waislam pia Tena wasunni
Nb.
Tafuta mitandaoni
 
Back
Top Bottom