green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
tuzidi kuwaombea waislam wenzetu wa Gaza waangamize zaidi maadui🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu🔥🔥🔥🔥🔥
Ghazza hawapigani waislamu pekee bali wanapigana wapalestina wote kwa ujumla.tuzidi kuwaombea waislam wenzetu wa Gaza waangamize zaidi maadui
hujui kitu wewe, kama kungalikuwa na wakiristo UNO ikangalikuwa ishamuekeya vikwazo Letnayahu kama alivymuwekea vikwazo PutinGhazza hawapigani waislamu pekee bali wanapigana wapalestina wote kwa ujumla.
Sawa.hujui kitu wewe, kama kungalikuwa na wakiristo UNO ikangalikuwa ishamuekeya vikwazo Letnayahu kama alivymuwekea vikwazo Putin
Hujui chochote Kuna wapalestina wakristo wengi tu.hujui kitu wewe, kama kungalikuwa na wakiristo UNO ikangalikuwa ishamuekeya vikwazo Letnayahu kama alivymuwekea vikwazo Putin
Kwaio mkuu hapo ume-enjoy eh?🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu🔥🔥🔥🔥🔥
Hao wanajeshi wao wengi ni wapiga mashindano , labda walidhani wamefika hapo ndio Tela Aviv wakalala 😄🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu🔥🔥🔥🔥🔥
Wewe umeumia kwa team upinde wenzio kufyekwa?🤔Kwaio mkuu hapo ume-enjoy eh?
Hahah wavaa kobazi bhana 😂😂
ulijuaje?Hujui chochote Kuna wapalestina wakristo wengi tu.
Bro Udini usikupotoshe,inaonekana huna unalolijua.hujui kitu wewe, kama kungalikuwa na wakiristo UNO ikangalikuwa ishamuekeya vikwazo Letnayahu kama alivymuwekea vikwazo Putin
Gaza kuna makanisa yana umri zaidi ya uhuru wa Tanganyika.ulijuaje?
Ewe Allaah tunakuomba uwanusuru ndugu zetu wa palestine 🇵🇸 dhidi ya maadui/makafiri hao, na uwape ushindi, Allahumma Aamiintuzidi kuwaombea waislam wenzetu wa Gaza waangamize zaidi maadui
AmiiinEwe Allaah tunakuomba uwanusuru ndugu zetu wa palestine [emoji1193] dhidi ya maadui/makafiri hao, na uwape ushindi, Allahumma Aamiin
Halafu hao sio wanamgambo hao ni wanajeshi au askari jeshi.Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu
View attachment 3032725
eemen!tuzidi kuwaombea waislam wenzetu wa Gaza waangamize zaidi maadui
Israhell na idf ni mgambo na hao unaowataja ndio wajedaHalafu hao sio wanamgambo hao ni wanajeshi au askari jeshi.
Wanamgambo ni kama Hamas na Hizbollah.
Halafu kwenye hicho kifaru hajafa mwanajeshi wa israel wala kujeruhiwa msishabikie unafikiWanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu
View attachment 3032725