WANAMSIMBAZI hiki ndio kikosi changu cha ushindi dhidi ya nyuma mwiko

WANAMSIMBAZI hiki ndio kikosi changu cha ushindi dhidi ya nyuma mwiko

Screenshot_20241019-090107.png
 
Mimi yanga ila ukweli leo hii game mngempanga manura kuna jinsi angesaidia kupunguza idadi ya magoli. Kitacho wakuta msije sema atukuwaambia. Kama unabet tafadhali hata droo husiwape simba.
 
Kama kocha atapanga kikosi kifuatacho leo mapema nyuma mwiko na msemaje wao ashura mayutiai wanapasuka mapema. Mfumo ni 4~2~3~1.

1. Musa camara
2. Shomari kapombe
3. Mohamedi hussen
4. che malone fondoh
5. Abdulrazaki hamza
6. Yusuph kagoma
7. Edwin balua
8. Debora fernandez
9. Leonel ateba
10. Jean ahoua
11. Kibu denisi

"UBAYA UBWELA" TUNAITAKA MECHI,AFE NG,OMBE AFE MMASAI.
Kibu Denis toa
 
Mimi yanga ila ukweli leo hii game mngempanga manura kuna jinsi angesaidia kupunguza idadi ya magoli. Kitacho wakuta msije sema atukuwaambia. Kama unabet tafadhali hata droo husiwape simba.
acha kutia huruma leo lazima tuwafunge viande nyinyi.
 
chasambi match fitness hana na kocha hawezi mpganga coz hamkubali lakini dogo anajua boli. Mutale ananiudhi sana match leo kama atazingua ntaenda uwanjani kumkata vibao sijui kocha anampendea nini?
Kocha anampenda ama hana options?!
Nina shaka na nidhamu ya mazoezi ya Chasambi. Vijana wa kiTanzania tunajua mindset zao zilivyo. Hawapendi kujituma na wanawahi kuridhika hususani akishanunua Crown Athlete.
 
Yanga hii unaifungajee, unaifungajee??....wewe huogopi???... huogopi...🎵🎵🎶🎶🎧🎧🎶🎶🎵🎵✅🟢🟢🟢🟢
 
Back
Top Bottom