Nendeni kwenye special thread yenu msitujizae uchafu humu na kujaza server bure tu.Wamealikwa Wana Msimbazi, hata hivyo timu mbovu ya Tanzania ilicheza jana, Leo ni burudani kwenda mbele, hakuna kushika mbavu.
Umewakumbusha jambo la maana, sababu hawana watu hawatabiriki na bado wataka rufaa hewa mpaka Fifa kumbe kuna wajanja wamekula hela ya appeal fee.Haha haha baada ya miaka mingi kupita mumerudi angalieni msimchezeshe mwenye kadi3 maana ni wageni wa hizi mechi
Kwa hiyo ukiandika kwenye Special thread, ndiyo server haijai.Nendeni kwenye special thread yenu msitujizae uchafu humu na kujaza server bure tu.
Tupo pamoja wadau wote wa SimbaWanamsimbazi twendeni, tukawape motisha wachezaji wetu, na timu kijumla.
Utofauti wetu na vilabu vingine ni pamoja kuwa na mashabiki kama sisi, kwahiyo basi twendeni tukawape hamasa wechezaji wetu.
Leo kutakua na kandanda safi lenye burudani tele, na kamwe huwezi angalia mpira huu wa leo ukiwa umeshika shavu, kama walivyo shika walioshika. Ushindi mkubwa wenye magoli zaidi ya matatu upo
Shime karibuni Taifa.
Simba ikifungwa njoo nitumie no ya Simu, nikutumie kalaki kamoja uongeze furaha yoko.Haha haaa kwani saa10 mbali tuombe uzima tu DHL ofisi zao zipo wazi mpeleke kifurushi chenu kwenda Zurich
Kwani unadhani ni kweli huwa wanakata rufaa Fifa?Haha haaa kwani saa10 mbali tuombe uzima tu DHL ofisi zao zipo wazi mpeleke kifurushi chenu kwenda Zurich
Risiti ya nini, na neno Akuli timamu linasimamia nini?Kwani unadhani ni kweli huwa wanakata rufaa Fifa?
Kama ulikuwa hujui ile ni janja ya kina Aveva na Kaburu kula zila dolar 10,000/= za ada ya kukatia rufaa.
Simba kama wana akuli timamu leo mtu ahoji risiti kutoka Fifa uone kama haijakuwa hadithi ya paukwa pakawa.