Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimtoa stamina (naye sio kama ni mkali ila at least) waliobaki wanafanya mumblingKuna upepo?
Nakuonea huruma unavyoenda kupoteza MB zako kirahisiKati ya hao naemjua ni Stamina tu and I have not listened his music for almost two years now I guess it because of my age or something else by the way I'll check their music on YouTube and I will drop my opinion.
Rapcha mzee wa kutafutiza vinaRaptcha je? Young Runya
Msodoki yule wa mwaka 2017 kushuka chini alikuwa bomba sanaMsodoki
mimi ni mzee sijui kama kwenye listi yako yupo hapo juu maana madogo siku hizi wanaweza kuwa na majina matatu 😅
Ni kweli Raptcha ni mtunzi mzuri, ila nahisi kama vile anataka kupita njia yake ya kumtambulisha Raptcha kama Raptcha.. Yana ukisia tu unajua R huyoRapcha mzee wa kutafutiza vina
Ni mwandishi mzuri na anaoenekana ana stori nzuri ila kashindwa kuzipangilia kwa vina
Mcheki Dizasta utaelewa namaanisha nini
Japo hata yeye mwenyewe Rapcha amekuwa akimuangalia nini Dizasta anafanya na kujaribu kufata nyayo zake
Ile stori yake ya kuitiwa mwizi na demu wake alishindwa kuipangilia hakuitendea haki.Ni kweli Raptcha ni mtunzi mzuri, ila nahisi kama vile anataka kupita njia yake ya kumtambulisha Raptcha kama Raptcha.. Yana ukisia tu unajua R huyo
oohKwa hiki kizazi cha sasa haina shaka hawa ndio wanamuziki bora wa kurap
1.nacha
2.stamina
3.young lunya
4.chid mentary
5.tommy thomas
inawezekana kwani sijamfuatilia dogo sana ila kwenye ku rhyme!Msodoki yule wa mwaka 2017 kushuka chini alikuwa bomba sana
Surr, watu wote wakifanana pia tutakosa burudani, acha Raptcha ajitafute ili tupate radha tofauti tofauti.. Japo ni kazi sana kumuelewa. Dizasta ana flavor yake piaIle stori yake ya kuitiwa mwizi na demu wake alishindwa kuipangilia hakuitendea haki.
It was nice story angesimama Dizasta au Mawenge ingebamba zaidi
Mawenge Dear future wife ameua sana anayejua anajua tu sema ndio bongo yenyewe wanaoelewa hip-hop songs ni wachache sanaIle stori yake ya kuitiwa mwizi na demu wake alishindwa kuipangilia hakuitendea haki.
It was nice story angesimama Dizasta au Mawenge ingebamba zaidi
Nacha nimemsikiliza sanaMsikiloze nacha utanambia
Kuna boshoo ninja na yeye ni kama mtu na nusuNi kweli Raptcha ni mtunzi mzuri, ila nahisi kama vile anataka kupita njia yake ya kumtambulisha Raptcha kama Raptcha.. Yana ukisia tu unajua R huyo