Wanamuziki bora wa ku-rap kwa kizazi cha sasa

Wanamuziki bora wa ku-rap kwa kizazi cha sasa

To be honesty sikuhizi naichukia sana hiphop ya bongo... Imekua ya kiseng* sana.

Nikikumbuka enzi zile za kina Langa, Fid q, Bonta, Pro. Jay ngoma ya hiphop ilikua ikitoka watu tunakaa kusikiliza mistari...

Sasa sikuhizi mc anakuambia eti nikiwa na hasira nakunja ndita halafu naziweka mfukoni kweli? Acheni utani nyie...

Ndo maana kwenye ngoma ya Tema knowledge ya Fid q ailwahi kuchana kua nikisikiliza hip hop ya bongo si-gain na-lose vingi...

Sikuhizi na bora kumsikiliza zuchu ana mistari kuliko Nacha

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
To be honesty sikuhizi naichukia sana hiphop ya bongo... Imekua ya kiseng* sana.

Nikikumbuka enzi zile za kina Langa, Fid q, Bonta, Pro. Jay ngoma ya hiphop ilikua ikitoka watu tunakaa kusikiliza mistari...

Sasa sikuhizi mc anakuambia eti nikiwa na hasira nakunja ndita halafu naziweka mfukoni kweli? Acheni utani nyie...

Ndo maana kwenye ngoma ya Tema knowledge ya Fid q ailwahi kuchana kua nikisikiliza hip hop ya bongo si-gain na-lose vingi...

Sikuhizi na bora kumsikiliza zuchu ana mistari kuliko Nacha

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
[emoji23]
 
Wengi wanamashairi ya kitoto. Hapo wa kwanza ni Dizasta Vina sema haonekani, kama anavyosema mwenyewe, 'yupo kwenye quantum level'
 
inawezekana kwani sijamfuatilia dogo sana ila kwenye ku rhyme!

nimesikiliza wengi ambao wana rap... mimi nasikiliza sentensi inapoachia na nyingine inapoingia, huyu dogo kanifurahisha.

nimewasikiliza wengi ambao wana rap kweli, ila rhythm 0. dogo anauwezo wakubeba rhyme ya sentensi ya 3 mpaka sentensi ya tano bila kupoteza maana.

so kwa mtazamo wangu, dogo ni lyricist na rhymer mzuri sana. kwa viwango kwa kweli siwezi kubishana na mtu ila kwa yale nayosikia nikisikia akichana, yupo vizuri!
Aisee wewe jamaa unajua Maana ya rap, huyu Young killer au Msodoki pamoja na umri wangu huu lakini huwa namwelewa sana, huwa namlazimisha awe Kendrick Lamar wa bongo
 
Kwa hiki kizazi cha sasa haina shaka hawa ndio wanamuziki bora wa kurap
1. Nacha
2. Stamina
3. Young Lunya
4. Chid Mentary
5. Tommy Thomas
Rasco Sembo - ana ngoma kali kama Mungu baba
 
To be honesty sikuhizi naichukia sana hiphop ya bongo... Imekua ya kiseng* sana.

Nikikumbuka enzi zile za kina Langa, Fid q, Bonta, Pro. Jay ngoma ya hiphop ilikua ikitoka watu tunakaa kusikiliza mistari...

Sasa sikuhizi mc anakuambia eti nikiwa na hasira nakunja ndita halafu naziweka mfukoni kweli? Acheni utani nyie...

Ndo maana kwenye ngoma ya Tema knowledge ya Fid q ailwahi kuchana kua nikisikiliza hip hop ya bongo si-gain na-lose vingi...

Sikuhizi na bora kumsikiliza zuchu ana mistari kuliko Nacha

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Langa_wakimbie polisi
 
Panga pangua Dizasta ni namba 1

Kimataifa tumpeleke Mex[emoji91]
 
Rapcha mzee wa kutafutiza vina

Ni mwandishi mzuri na anaoenekana ana stori nzuri ila kashindwa kuzipangilia kwa vina

Mcheki Dizasta utaelewa namaanisha nini

Japo hata yeye mwenyewe Rapcha amekuwa akimuangalia nini Dizasta anafanya na kujaribu kufata nyayo zake
Dizaster ndio rapa mkali wa story
 
Back
Top Bottom