Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]To be honesty sikuhizi naichukia sana hiphop ya bongo... Imekua ya kiseng* sana.
Nikikumbuka enzi zile za kina Langa, Fid q, Bonta, Pro. Jay ngoma ya hiphop ilikua ikitoka watu tunakaa kusikiliza mistari...
Sasa sikuhizi mc anakuambia eti nikiwa na hasira nakunja ndita halafu naziweka mfukoni kweli? Acheni utani nyie...
Ndo maana kwenye ngoma ya Tema knowledge ya Fid q ailwahi kuchana kua nikisikiliza hip hop ya bongo si-gain na-lose vingi...
Sikuhizi na bora kumsikiliza zuchu ana mistari kuliko Nacha
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Conboi tatizo lake moja hu, j.cole mwingi sikuizi pia amenza kumuiga na 2pacManenga
Conboi
Nyenza[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Frederick mulla
Hivi we bwana hiyi song kAimbiwa dem kweli au jiwe gizani ?? Mana DahMawenge Dear future wife ameua sana anayejua anajua tu sema ndio bongo yenyewe wanaoelewa hip-hop songs ni wachache sana
Mkuu wakale wapi sasa kama unawakataa wewe na Bado unakataza raia wasiwafatilie?Nakuonea huruma unavyoenda kupoteza MB zako kirahisi
Aisee wewe jamaa unajua Maana ya rap, huyu Young killer au Msodoki pamoja na umri wangu huu lakini huwa namwelewa sana, huwa namlazimisha awe Kendrick Lamar wa bongoinawezekana kwani sijamfuatilia dogo sana ila kwenye ku rhyme!
nimesikiliza wengi ambao wana rap... mimi nasikiliza sentensi inapoachia na nyingine inapoingia, huyu dogo kanifurahisha.
nimewasikiliza wengi ambao wana rap kweli, ila rhythm 0. dogo anauwezo wakubeba rhyme ya sentensi ya 3 mpaka sentensi ya tano bila kupoteza maana.
so kwa mtazamo wangu, dogo ni lyricist na rhymer mzuri sana. kwa viwango kwa kweli siwezi kubishana na mtu ila kwa yale nayosikia nikisikia akichana, yupo vizuri!
Rasco Sembo - ana ngoma kali kama Mungu babaKwa hiki kizazi cha sasa haina shaka hawa ndio wanamuziki bora wa kurap
1. Nacha
2. Stamina
3. Young Lunya
4. Chid Mentary
5. Tommy Thomas
Langa_wakimbie polisiTo be honesty sikuhizi naichukia sana hiphop ya bongo... Imekua ya kiseng* sana.
Nikikumbuka enzi zile za kina Langa, Fid q, Bonta, Pro. Jay ngoma ya hiphop ilikua ikitoka watu tunakaa kusikiliza mistari...
Sasa sikuhizi mc anakuambia eti nikiwa na hasira nakunja ndita halafu naziweka mfukoni kweli? Acheni utani nyie...
Ndo maana kwenye ngoma ya Tema knowledge ya Fid q ailwahi kuchana kua nikisikiliza hip hop ya bongo si-gain na-lose vingi...
Sikuhizi na bora kumsikiliza zuchu ana mistari kuliko Nacha
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Dizaster ndio rapa mkali wa storyRapcha mzee wa kutafutiza vina
Ni mwandishi mzuri na anaoenekana ana stori nzuri ila kashindwa kuzipangilia kwa vina
Mcheki Dizasta utaelewa namaanisha nini
Japo hata yeye mwenyewe Rapcha amekuwa akimuangalia nini Dizasta anafanya na kujaribu kufata nyayo zake
Bila kumtaja Raptcha, Msodoki na Conboi list yako ni batiliKwa hiki kizazi cha sasa haina shaka hawa ndio wanamuziki bora wa kurap
1. Nacha
2. Stamina
3. Young Lunya
4. Chid Mentary
5. Tommy Thomas
Grind all dayConboi tatizo lake moja hu, j.cole mwingi sikuizi pia amenza kumuiga na 2pac
Diss track to motraHivi we bwana hiyi song kAimbiwa dem kweli au jiwe gizani ?? Mana Dah
Customer care💣Mawenge Dear future wife ameua sana anayejua anajua tu sema ndio bongo yenyewe wanaoelewa hip-hop songs ni wachache sana