KING 360
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,002
- 5,192
Wakuu salaam kwenu,
Yafuatayo ni majina na nyimbo za wasanii chipukizi waliopenya kushindania tuzo za EATV AWARDS zitakazotolewa tarehe 10/12/2016 jijini Dar es salaam,
:Rashid Said (Bright) wimbo nitulize
:Mayunga Nalimi (Mayunga) wimbo-Nice couple
:Feza Kessy wimbo ,sanuka,
:Rukia Jumbe (Rucky Baby) wimbo give me some more,
Yapi maoni yako kuhusu huu mchuano wa hawa chipukizi
Nawatakia kazi njema.
Yafuatayo ni majina na nyimbo za wasanii chipukizi waliopenya kushindania tuzo za EATV AWARDS zitakazotolewa tarehe 10/12/2016 jijini Dar es salaam,
:Rashid Said (Bright) wimbo nitulize
:Mayunga Nalimi (Mayunga) wimbo-Nice couple
:Feza Kessy wimbo ,sanuka,
:Rukia Jumbe (Rucky Baby) wimbo give me some more,
Yapi maoni yako kuhusu huu mchuano wa hawa chipukizi
Nawatakia kazi njema.