Wanamziki waongoza kazi zao kutazamwa sana mwaka huu wa 2020

Wanamziki waongoza kazi zao kutazamwa sana mwaka huu wa 2020

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
2389521_diamondplatnumz___B_xvtM6pGc2___.jpg
 
Chanzo Kinasema Mwezi April Mtoa mada Guruguja toka Wcb anasema Mwaka huu,.

Hapo King katoa ngoma tu, je angetoa Mbilia au tatu, hapo kuna watu Wana EP na wengine wa album Wengine wana Manyimbo ya kucopy copy kibao Wengine wametoa nyimbo na mademu zao Na wakabust kwa kumtema huyo Demu Wake..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chanzo Kinasema Mwezi April Mtoa mada Guruguja toka Wcb anasema Mwaka huu,.

Hapo King katoa ngoma tu, je angetoa Mbilia au tatu, hapo kuna watu Wana EP na wengine wa album Wengine wana Manyimbo ya kucopy copy kibao Wengine wametoa nyimbo na mademu zao Na wakabust kwa kumtema huyo Demu Wake..



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mwaka huu hauna mwezi April?
 
Kwani mwaka huu hauna mwezi April?
Kunatofauti ya Mwaka na Mwezi we Guruguja,

Ukisema Mwaka huu inamaana ni kuanzia mwezi wa Kwanza mpaka tarehe ya Leo..

Ukisema Mwezi April inamaana ni kuanzia tarehe 1-30 Mwezi April

Chanzo Kinasema Mwezi wa 4, Guruguja mtoa Mada anasema Mwaka huu, Wewe nae guruguja unakuja kumtetea guruguja mwenzio au Mmezaliwa Tarehe 1 April?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunatofauti ya Mwaka na Mwezi we Guruguja,

Ukisema Mwaka huu inamaana ni kuanzia mwezi wa Kwanza mpaka tarehe ya Leo..

Ukisema Mwezi April inamaana ni kuanzia tarehe 1-30 Mwezi April

Chanzo Kinasema Mwezi wa 4, Guruguja mtoa Mada anasema Mwaka huu, Wewe nae guruguja unakuja kumtetea guruguja mwenzio au Mmezaliwa Tarehe 1 April?

Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond ana kukera lakini number zina msapoti na kumbeba.
82411866_115423629875369_6563507085440526797_n.jpg

2326638_Screenshot_2020-03-04-23-15-06.jpeg
 
Kunatofauti ya Mwaka na Mwezi we Guruguja,

Ukisema Mwaka huu inamaana ni kuanzia mwezi wa Kwanza mpaka tarehe ya Leo..

Ukisema Mwezi April inamaana ni kuanzia tarehe 1-30 Mwezi April

Chanzo Kinasema Mwezi wa 4, Guruguja mtoa Mada anasema Mwaka huu, Wewe nae guruguja unakuja kumtetea guruguja mwenzio au Mmezaliwa Tarehe 1 April?

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ingine uwe unaficha ujinga wako,nimekuuliza mwaka huu hauna mwezi April? hivi kichwa chako kazi yake ni kushikilia masikio tu!!
 
Chanzo Kinasema Mwezi April Mtoa mada Guruguja toka Wcb anasema Mwaka huu,.

Hapo King katoa ngoma tu, je angetoa Mbilia au tatu, hapo kuna watu Wana EP na wengine wa album Wengine wana Manyimbo ya kucopy copy kibao Wengine wametoa nyimbo na mademu zao Na wakabust kwa kumtema huyo Demu Wake..



Sent using Jamii Forums mobile app
hv mwezi April huyo jamaa kaachia wimbo gan..?
 
Mara ya kwanza naliskia hili neno.... nililiskia kwa King Majuto (RIP)
Chanzo Kinasema Mwezi April Mtoa mada Guruguja toka Wcb anasema Mwaka huu,.

Hapo King katoa ngoma tu, je angetoa Mbilia au tatu, hapo kuna watu Wana EP na wengine wa album Wengine wana Manyimbo ya kucopy copy kibao Wengine wametoa nyimbo na mademu zao Na wakabust kwa kumtema huyo Demu Wake..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chanzo Kinasema Mwezi April Mtoa mada Guruguja toka Wcb anasema Mwaka huu,.

Hapo King katoa ngoma tu, je angetoa Mbilia au tatu, hapo kuna watu Wana EP na wengine wa album Wengine wana Manyimbo ya kucopy copy kibao Wengine wametoa nyimbo na mademu zao Na wakabust kwa kumtema huyo Demu Wake..



Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga umeandika.
 
Back
Top Bottom