Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwaka huu hauna mwezi April?Chanzo Kinasema Mwezi April Mtoa mada Guruguja toka Wcb anasema Mwaka huu,.
Hapo King katoa ngoma tu, je angetoa Mbilia au tatu, hapo kuna watu Wana EP na wengine wa album Wengine wana Manyimbo ya kucopy copy kibao Wengine wametoa nyimbo na mademu zao Na wakabust kwa kumtema huyo Demu Wake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunatofauti ya Mwaka na Mwezi we Guruguja,Kwani mwaka huu hauna mwezi April?
Diamond ana kukera lakini number zina msapoti na kumbeba.Kunatofauti ya Mwaka na Mwezi we Guruguja,
Ukisema Mwaka huu inamaana ni kuanzia mwezi wa Kwanza mpaka tarehe ya Leo..
Ukisema Mwezi April inamaana ni kuanzia tarehe 1-30 Mwezi April
Chanzo Kinasema Mwezi wa 4, Guruguja mtoa Mada anasema Mwaka huu, Wewe nae guruguja unakuja kumtetea guruguja mwenzio au Mmezaliwa Tarehe 1 April?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inavyoonekana Mwalimu wako wa Awali alikutia Makonzi mpaka apata sugu..Diamond ana kukera lakini number zina msapoti na kumbeba.
View attachment 1440337
View attachment 1440338
Siku ingine uwe unaficha ujinga wako,nimekuuliza mwaka huu hauna mwezi April? hivi kichwa chako kazi yake ni kushikilia masikio tu!!Kunatofauti ya Mwaka na Mwezi we Guruguja,
Ukisema Mwaka huu inamaana ni kuanzia mwezi wa Kwanza mpaka tarehe ya Leo..
Ukisema Mwezi April inamaana ni kuanzia tarehe 1-30 Mwezi April
Chanzo Kinasema Mwezi wa 4, Guruguja mtoa Mada anasema Mwaka huu, Wewe nae guruguja unakuja kumtetea guruguja mwenzio au Mmezaliwa Tarehe 1 April?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hakuna mwezi April ila mwezi wa NNE upo mwaka huu...Kwani mwaka huu hauna mwezi April?
hv mwezi April huyo jamaa kaachia wimbo gan..?Chanzo Kinasema Mwezi April Mtoa mada Guruguja toka Wcb anasema Mwaka huu,.
Hapo King katoa ngoma tu, je angetoa Mbilia au tatu, hapo kuna watu Wana EP na wengine wa album Wengine wana Manyimbo ya kucopy copy kibao Wengine wametoa nyimbo na mademu zao Na wakabust kwa kumtema huyo Demu Wake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tusubiri mwaka ujao utakuwepo.Hahaha hakuna mwezi April ila mwezi wa NNE upo mwaka huu...
Swali la Kijinga toka kwa Mjinga..hv mwezi April huyo jamaa kaachia wimbo gan..?
Wewe ni kilaza namba one humu JfSiku ingine uwe unaficha ujinga wako,nimekuuliza mwaka huu hauna mwezi April? hivi kichwa chako kazi yake ni kushikilia masikio tu!!
Chanzo Kinasema Mwezi April Mtoa mada Guruguja toka Wcb anasema Mwaka huu,.
Hapo King katoa ngoma tu, je angetoa Mbilia au tatu, hapo kuna watu Wana EP na wengine wa album Wengine wana Manyimbo ya kucopy copy kibao Wengine wametoa nyimbo na mademu zao Na wakabust kwa kumtema huyo Demu Wake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu jiangalie
Ujinga umeandika.Chanzo Kinasema Mwezi April Mtoa mada Guruguja toka Wcb anasema Mwaka huu,.
Hapo King katoa ngoma tu, je angetoa Mbilia au tatu, hapo kuna watu Wana EP na wengine wa album Wengine wana Manyimbo ya kucopy copy kibao Wengine wametoa nyimbo na mademu zao Na wakabust kwa kumtema huyo Demu Wake..
Sent using Jamii Forums mobile app
swali ni la kwangu sio la mjinga