LGE2024 Wananchi Dar wafurahishwa na Utaratibu wa Upigaji Kura

LGE2024 Wananchi Dar wafurahishwa na Utaratibu wa Upigaji Kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Baadhi ya Wananchi waliojitokeza katika zoezi la Upigaji kura katika kituo cha shule ya msingi Viziwi Buguruni iliyopo Ilala Jijini Dar es Salaam wameonyesha kuridhishwa na jinisi ambavyo zoezi hilo ambalo linaloendelea katika kituo hicho.

Wakizungumza na ManaraTv wananchi hao wameeleza sababu ya kujitokeza kushiriki zoezi hilo ambapo wamesema kuwa bila ya kuchagua viongozi wa Serikali za mitaa wanaowataka hawawezi kupata maendeleo.
 
Wakizungumza na ManaraTv wananchi hao wameeleza sababu ya kujitokeza kushiriki zoezi hilo ambapo wamesema kuwa bila ya kuchagua viongozi wa Serikali za mitaa wanaowataka hawawezi kupata maendeleo.". 🤣🤣

Wamekwisha chagua mara ngapi na wana maendeleo gani 🤔
 
Back
Top Bottom