Wananchi Geita wajitokeza kumpokea Rais Samia kwa wingi

Wananchi Geita wajitokeza kumpokea Rais Samia kwa wingi

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisalimiana na wananchi waliojikusanya barabarani wakati wa ziara yake Mkoani Geita. Wananchi wa mkoa wa Geita wamejitokeza kumpokea Rais Samia Suluhu kwa wingi hii inathibitisha kua watu wananchi wanakubali kazi kubwa ya Rais Samia Suluhu.

FfG_IwkXEAEpxEl.jpg
FfG_IwkXEAEpxEl.jpg



Rais Samia Suluhu akimsalimia Bibi Suzana Magufuli (Mama Mzazi) wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato Mkoani Geita

FfGakdUWQAAU8rS (1).jpg


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiomba dua kwenye Kaburi la Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake Chato Mkoani Geita
FfG87RwXEAEQ3XN.jpg
 

Attachments

  • FfGmlBXXEAEhbjw.jpg
    FfGmlBXXEAEhbjw.jpg
    8.5 KB · Views: 6
  • FfGmlBXXEAEhbjw.jpg
    FfGmlBXXEAEhbjw.jpg
    8.5 KB · Views: 6
  • FfGmWf1WYAAT3cz.jpg
    FfGmWf1WYAAT3cz.jpg
    231.8 KB · Views: 7
Usiangalie kusanyiko. Ukitaka kuujua ukweli angalia nyuso za hao waliokusanyika!!! Pengine utajua kwa uchache yaliyo ndani yao! Annza na sura ya bibi hapo kwenye attachment zako

Bidhaa nyingi, zikiwemo nafaka ni bei ghali mtaani kwa sababu ya kuruhusu soko huria, ziara za viongozi nje na ndani ya nchi, tozo, kupanda kwa gharama za maisha na mengine mengi...wananchi wengi hawana furaha ni basi tu hawawezi kuhama nchi yao!!!!
 
Back
Top Bottom