Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwani wanatumia sheria tofauti ?Kwa Msumi mjumbe ni dili....haya ni makazi mapya....raia wako bize..kutoka alfajiri kurudi giza...unakutana na barua ya mchango wa barabara....mchango wa umeme....mchango wa maji....mchango wa ulinzi shirki..na kadhalika wa kadha