DOKEZO Wananchi hatumtaki Mjumbe wa Mbezi Msumi (Dar), anatumia madaraka yake vibaya

DOKEZO Wananchi hatumtaki Mjumbe wa Mbezi Msumi (Dar), anatumia madaraka yake vibaya

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Magufuli aliiweka hiyo barabara ya Msumi katika mpango wa TANROAD ...ilitakiwa iwekwe lami kitambo kama wenzenu wa barabara ya Mbezi -Goba walivyowekewa lami na Tegeta-Madale-Goba njia nne walivyowekewa lami.

Maendeleo yanachelewa kuja msumi kutokana na ubovu wa barabara. GOBA sasa hivi viwanja havishikiki kutokana na maendeleo ya barabara na huduma nyingine za kijamii kuwa karibu na wananchi.
Halafu mkiambiwa kuwa Magufuli alikuwa Rais mzuri sana na asiyependa watendaji wababaishaji NYIE HAMTAKI. NINAAMINI ANGEKUWEPO LEO HIZO BARABARA ZINGESHAWEKWA LAMI TENA SIO LAMI YA UBABAISHAJI .

Mawaziri na watendaji wa serikali kipindi cha Magufuli walikuwa wanawajibika kwa lazima sababu ya yule mwamba. LEO HII WAMEGUNDUA MAMA YETU NI MPOLE BASI WANAFANYA WANAVYOTAKA. NA NINAAMINI MAMA ASIPOIULIZIA HIYO BARABARA BASI MJUE ITAFIKA MWAKA 2030 IPO HIVYOHIVYO.

TUMIENI KIPINDI HIKI CHA NWEZI WA RAMADHAN NA KWARESMA KUMUOMBA MUNGU ILI MAMA YETU ASIKIE KERO HIZO ZA BARABARA HALAFU ATOE MAAGIZO. MAANA JAMAA BILA MAAGIZO HAWAFANYI. WATAKACHOFANYA NI UBABAISHAJI WA KUWALETEA GARI LA KUCHONGA BARABARA HALAFU NDIO IMETOKA HIYO.

NA MSUMI KULIVYOJIFICHA HUKO HAKIKA WADAU WA SERIKALI NDIO WANAFURAHI MAANA SIO RAHISI VIONGOZI KUIONA HIYO BARABARA.
 
Sasa kama mjumbe tu anatushinda kumuondoa, tutaweza kweli kuitoa CCM.

Nyie amueni tu hapo hapo hatumtaki mjumbe na hao wanaokuja kwenye vikao mnawaambia waondoke naye tu, wakishindwa mnamloga tu awe chizi.
 
Hakuna check cha mjumbe kinachotambulika kisheria katika ugatuzi wa madaraka..hao wajumbe hawana mamlaka kisheria zaidi ya mamlaka kama raia au mwananchi...wapo kwenye mfumo wa CCM na hata huko CCM hawajapewa hizo kazi wanazofanya.Wajumbe mara nyingi wanatumika na. Ofisi za serikali ya mitaa kwa utambuzi kutokana na ukaribu wao na wananchi....vyombo vya usuluhishi kisheria vipo kwenye kata yako....akikukosea mpeleke mahakamani afungwe ndipo ajue mamlaka yake.
 
Back
Top Bottom