Fukua
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 546
- 479
Nawasalimu woote Kwa jina la JMT
Moja Kwa Moja KWENYE mada
Mauzo ya bidhaa zetu nje ya nchi yameongezeka sana.
Kilio Cha tozo serikali imekisikia na Sasa tuna Ari ya kuchangia maendeleo yetu maana hayupo wa kufanya Kwa ajili yetu. Demokrasia Na utawala Bora nchini Sasa sawa kabisa na Marekani.
Uhuru wa vyombo vya habari ni WA kutosha kabisa sote ni mashahidi. Furaha mioyoni mwa wananchi ni KUBWA sana,mataifa yote ya Dunia yamekuwa na Imani na Tanzania, wawekezaji na watalii wanamiminika,
Miradi mikubwa inaendelea kujengwa,chama chetu cha CCM kinapendwa na wananchi haijawahi kutokea, Kwa hiyo ushindi 2025 si wa mashaka hata kidogo.
Wapinzani NAO wanaona aibu hawana agenda KUBWA au ya msingi ya kukosoa serikali wananchi wamewapuuza.
Ufisadi na rushwa vimepungua sana. n.k n.k. Nchi iko salama salimin. Kiukweli mama, wananchi wanakupenda, wanakuheshimu na wanakuombea Kwa Mungu uwe na AFYA njema utuvushe salama.
Vyombo vya ulinzi na usalama vipo imara
Baraza lako la mawaziri liko safi.
Bunge liko makini
Mahakama iko poa
Wananchi WAKO Tuko safi tumedhirika tunachapa kazi, tunakuunga mkono hatuna wasiwasi na utendaji wako.
Mambo mazuri ni mengi siwezi kuyamaliza Kwa kuyataja hapa.itoshe TU kusema una upiga mwingi.
Kidogo kinachotia ukakasi ni haya matusi ya wapinzani wachache huku mitandaoni, lkn tutawapuuza kama ulivyofanya wewe kiongozi wetu mama shujaa wa Karne hii.
Watanzania Tunajivunia kupata kiongozi safi na makini endelea KUIFUNGUA NCHI
Moja Kwa Moja KWENYE mada
Mauzo ya bidhaa zetu nje ya nchi yameongezeka sana.
Kilio Cha tozo serikali imekisikia na Sasa tuna Ari ya kuchangia maendeleo yetu maana hayupo wa kufanya Kwa ajili yetu. Demokrasia Na utawala Bora nchini Sasa sawa kabisa na Marekani.
Uhuru wa vyombo vya habari ni WA kutosha kabisa sote ni mashahidi. Furaha mioyoni mwa wananchi ni KUBWA sana,mataifa yote ya Dunia yamekuwa na Imani na Tanzania, wawekezaji na watalii wanamiminika,
Miradi mikubwa inaendelea kujengwa,chama chetu cha CCM kinapendwa na wananchi haijawahi kutokea, Kwa hiyo ushindi 2025 si wa mashaka hata kidogo.
Wapinzani NAO wanaona aibu hawana agenda KUBWA au ya msingi ya kukosoa serikali wananchi wamewapuuza.
Ufisadi na rushwa vimepungua sana. n.k n.k. Nchi iko salama salimin. Kiukweli mama, wananchi wanakupenda, wanakuheshimu na wanakuombea Kwa Mungu uwe na AFYA njema utuvushe salama.
Vyombo vya ulinzi na usalama vipo imara
Baraza lako la mawaziri liko safi.
Bunge liko makini
Mahakama iko poa
Wananchi WAKO Tuko safi tumedhirika tunachapa kazi, tunakuunga mkono hatuna wasiwasi na utendaji wako.
Mambo mazuri ni mengi siwezi kuyamaliza Kwa kuyataja hapa.itoshe TU kusema una upiga mwingi.
Kidogo kinachotia ukakasi ni haya matusi ya wapinzani wachache huku mitandaoni, lkn tutawapuuza kama ulivyofanya wewe kiongozi wetu mama shujaa wa Karne hii.
Watanzania Tunajivunia kupata kiongozi safi na makini endelea KUIFUNGUA NCHI