Wananchi kukosa imani na Polisi: CCM yaagiza Jeshi la Polisi lichunguzwe

Utakuwa mpuuzi kiwango cha Kingai kutueleza huu upuuzi. Yule kijana aliyeuawa Mtwara ulitaka atii nini ili asichomwe sindano ya sumu?
Wiki iliyopita tulimwona Waziri wa jinsia na Watoto akimsimamisha Askari wa kike na kusema amesikia sifa zake jinsi Wananchi wanavyomkubali. Ukiwa mtenda haki Wananchi watakuchukia Kwa lipi? Huu uhuni wa kudhani Wananchi wanaichukia Polisi bila sababu ya msingi ni upuuzi usiopaswa kusikilizwa na Wenye akili.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
We shaka we! Ccm si ndio inalifanya jeshi la police kudharaulika.
Ina maana leo mnawakana ndugu zenu.
Kwa katiba hii Kazi ya police ni kulinda chama.
 
Bila katiba mpya Katu police hawawezi kuwa huru.
Kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya na mkoa ni ccm sasa utawatenga vipi police na ccm.
Kwani anaeamuru ocd kamata huyu weka ndani si DC au RC na hawa ni lazima uwe ccm.
 
Ndio shida ss
 
Anatafutwa mtu mmoja tu hapo, ndio target.
 
Pale mlipomuua yule jamaa wa Mtwara mlikuwa mnatekeleza majukumu eeeh?.
 
Hapo pagumu,labda ifanyike Reform ya vikosi vya polisi.
Njia mmoja wapo ya reform ni kutumia polisi wa nchi kama Uingereza kuiunda au kuisuka upya police force ya Tanzania.
Lakini hadi CCM yenye kuongoza serikali yake imekiri na inalalamika sana basi kuna mambo mengi maovu.
Lakini nao polisi wanapewa amri tata,na hao viongozi wanasiasa.Yawezeka ubovu wa polisi umesababishwa na wanasiasa watawala.
Itakuwa sio haki ukiwaacha viongozi wa serikali kutowajibika kwa amri za kinyama.
 
It is justified and too late.Jeshi la Polisi limepoteza mwelekeo kabisa.Livunjwe na liundwe upya.
 
Chama-dola nacho kinaanza kuistukia Polisi? Au CCM hawaridhishwi na kuona sasa polisi inaanza kufuata PGO
 
KAMA ALIOFANYIWA KUBENEA, DR. ULIMBOKA, MWANGOSI N.K?
 
Bora ungemuomba Kikwete moja kwa moja atusaidie kwa hili.
 
jeshi haliwezi kujichunguza lenyewe tusidanganyane .
yaani imefikia kipindi tunaogopa hawa wanaumwe wasiokua na ndevu kuliko jambazi

Polisi walinidhurumu laptop na simu zangu za mkononi na pesa niliyokua nayo mfukoni kama 170k hv na nilipotaka kulianzisha ili nipate vitu vyangu wakataka kunipa kesi ya kuhujumu uchumi.

ila nasema hv: ipo siku tu inakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…