Huyu ni moja ya sababu ya Polisi kuwa ya ovyo. Ni Mla rushwa aliyejificha kwenye dini. Kila kitu ndani ya Polisi Kwa Sasa kinanunuliwa.Anatafutwa Siro hapo
Utakuwa mpuuzi kiwango cha Kingai kutueleza huu upuuzi. Yule kijana aliyeuawa Mtwara ulitaka atii nini ili asichomwe sindano ya sumu?Polisi hawazi kupendwa na mwananchi hata siku moja tangu enzi za yesu na kabla ya yesu askari hakuwahi kupendwa kwa kilichopo polisi akitenda majikumu yake ipasavyo tayari mwananchi atamuona ni mtu mbaya,jambo la msingi mwananchi afuate sheria na kutii mamlaka zilizopo hakuna kingine hata jeshi libadilishwe vp sijui lakini kama halitakabiliana na wahalifu itakuwa ni kazi bure.
Je tutarajie mabadiliko kwenye jeshi hilo ?
Ndio shida ssKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana jana Dodoma, chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu, imeiagiza Serikali kuchunguza mwenendo wa Jeshi la Polisi baada ya wananchi kupoteza imani na Jeshi hilo.
Inadaiwa Maofisa wa Polisi hawaaminiki na wanaonekana kutenda majukumu yao bila kufuata Mwongozo wao wa kisheria (PGO).
Shaka Hamdu Shaka amezungumza hayo alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari kuhusu kikao hicho cha CCM kilichofanyika jana.
Akiongea na waandishi leo Machi 12, 2022, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka amesema ‘’Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa imeielekeza Serikali kuangalia upya mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini ambao umekuwa hauridhishi na kulalamikiwa na wananchi kutokana na matendo yanayofanywa na baadhi ya maofisa na askari wa Jeshi hilo kinyume na muongozo wa kazi za Jeshi la Polisi"
Nadhani wanataka kumtupia zigo.Alikuwa mzuri kabla ccm awajamuahribuZero ajiandae kuondoka
Anatafutwa mtu mmoja tu hapo, ndio target.Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana jana Dodoma, chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu, imeiagiza Serikali kuchunguza mwenendo wa Jeshi la Polisi baada ya wananchi kupoteza imani na Jeshi hilo.
Inadaiwa Maofisa wa Polisi hawaaminiki na wanaonekana kutenda majukumu yao bila kufuata Mwongozo wao wa kisheria (PGO).
Shaka Hamdu Shaka amezungumza hayo alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari kuhusu kikao hicho cha CCM kilichofanyika jana.
Akiongea na waandishi leo Machi 12, 2022, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka amesema ‘’Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa imeielekeza Serikali kuangalia upya mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini ambao umekuwa hauridhishi na kulalamikiwa na wananchi kutokana na matendo yanayofanywa na baadhi ya maofisa na askari wa Jeshi hilo kinyume na muongozo wa kazi za Jeshi la Polisi"
Pale mlipomuua yule jamaa wa Mtwara mlikuwa mnatekeleza majukumu eeeh?.Polisi hawazi kupendwa na mwananchi hata siku moja tangu enzi za yesu na kabla ya yesu askari hakuwahi kupendwa kwa kilichopo polisi akitenda majikumu yake ipasavyo tayari mwananchi atamuona ni mtu mbaya,jambo la msingi mwananchi afuate sheria na kutii mamlaka zilizopo hakuna kingine hata jeshi libadilishwe vp sijui lakini kama halitakabiliana na wahalifu itakuwa ni kazi bure.
Punguza mihemko mkuu.Pale mlipomuua yule jamaa wa Mtwara mlikuwa mnatekeleza majukumu eeeh?.
It is justified and too late.Jeshi la Polisi limepoteza mwelekeo kabisa.Livunjwe na liundwe upya.Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana jana Dodoma, chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu, imeiagiza Serikali kuchunguza mwenendo wa Jeshi la Polisi baada ya wananchi kupoteza imani na Jeshi hilo.
Inadaiwa Maofisa wa Polisi hawaaminiki na wanaonekana kutenda majukumu yao bila kufuata Mwongozo wao wa kisheria (PGO).
Shaka Hamdu Shaka amezungumza hayo alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari kuhusu kikao hicho cha CCM kilichofanyika jana.
Akiongea na waandishi leo Machi 12, 2022, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka amesema ‘’Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa imeielekeza Serikali kuangalia upya mwenendo wa Jeshi la Polisi nchini ambao umekuwa hauridhishi na kulalamikiwa na wananchi kutokana na matendo yanayofanywa na baadhi ya maofisa na askari wa Jeshi hilo kinyume na muongozo wa kazi za Jeshi la Polisi"
KAMA ALIOFANYIWA KUBENEA, DR. ULIMBOKA, MWANGOSI N.K?Kwa katiba yetu, ni mtu mmoja tu, hubadili mfumo mzima. Mkiwa na Rais katili, kila chombo cha serikali huwa katili. Mkiwa na Rais muungwana, kila chombo kinabadilika.
Rais Samia, tunakuomba ulibadilishe jeshi la polisi kutoka kwenye ukatili kwenda kqenye ustaaabu na utu. Ustaarabu ni kufuata taratibu na sheria.
Bora ungemuomba Kikwete moja kwa moja atusaidie kwa hili.Kwa katiba yetu, ni mtu mmoja tu, hubadili mfumo mzima. Mkiwa na Rais katili, kila chombo cha serikali huwa katili. Mkiwa na Rais muungwana, kila chombo kinabadilika.
Rais Samia, tunakuomba ulibadilishe jeshi la polisi kutoka kwenye ukatili kwenda kqenye ustaaabu na utu. Ustaarabu ni kufuata taratibu na sheria.
Na sikuwowi......Punguza mihemko mkuu.