Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Naweza kusema kwenye mpira uwa Kuna siku mbaya kazini Kila kitu kinaweza kwenda tofauti na mipangilio ya siku zote, na Jana yanga walikuwa na siku mbaya kazini!
Timu ili icheze vizuri inatakiwa Kila mchezaji awe timamu kimwili na kiakili na Kila mchezaji atimize majukumu yake ipasavyo lakini kwa Jana ilikuwa ngumu kwa yanga kutokana na changamoto zilizojotokeza ambazo ni Kama ifuatavyo;
Mosi; Wachezaji wengi awakuwa timamu nafikiri kitendo Cha kukaa siku 14 bila kucheza mechi yoyote ya kiushindani imewafanya wakose match fitness ambayo wenzao walikuwa nayo kwani mpaka wanacheza Jana tiyali walikuwa wamecheza match zao za ligi 3 mfululizo na iyo tumeona kwenye uharaka wa kufika kwenye matukio muhimu uwanjani!
Pili; Wachezaji walioitwa timu za taifa kukosa maandalizi ya pamoja na wenzao pia imechangia, lakini fatique imechangia pakubwa kwa wachezaji wengi kutokuwa kwenye ubora wao, tumeona Aziz ki, mudathir, job na baka wakiwa awako sawa kwenye maamuzi yao uwanjani nafikiri uchovu umewaathiri pakubwa sana
Tatu; Eneo la goal keeping alikuwa kwenye mikono salama baada ya kukosekana kwa Djigui diara, kukosekana kwake kumeleta athari pia kwani mabeki wanapokuwa wanacheza na kipa wanayemuamini uwa wanakuwa comfortable na mpira tofauti wakiwa wanacheza na kipa ambae awamwamini, kitu icho kimeonekana Jana Metacha footwork yake sio nzuri ata kidogo, ajui ata kuanzisha mashambulizi matokeo yake alikuwa anapiga pasi nyingi mkaa isipotoka nje itaenda kwa adui, ni kitu ambacho kiliwafanya mabeki wacheze kwa kutokujiamini kabisa, djigui diara aliumia bega ndio maana alikosekana mechi ya coast na ya taifa pia akucheza!
Nafikiri hizo ni sababu kuu zilizopelekea yanga kupata matokeo hasi Algeria licha ya umiliki wa takwimu zote za kimchezo but point 3 muhimu ndio kinachotakiwa kwenye hii hatua!
Pamoja na ayo yote bado yanga wanayo nafasi kubwa ya kusonga mbele kwa uwezo wa kikosi Chao,
Bado zipo point 15 za kupigania ambazo ni muhimu na ukiangalia vizuri ratiba ilivyokaa yanga wanao uwezo wa kutinga robo fainali, watacheza mechi 3 nyumbani na mbili ugenini, kwa maana iyo wanatakiwa kuchukua point 9 za nyumbani na kutafuta SARE 2 ugenini ili wavuke, wakifanikiwa kupate matokeo kwa Aly ahly basi itakuwa ndio starting point nzuri ya kusonga mbele,
Kwenye hatua zote ambazo Simba alifanikiwa kuingia robo fainali akuwai kushinda ata mechi moja ugenini, alipata point kwenye uwanja wa mkapa lakini kwa uwezo wa yanga hii anaweza kupata matokeo ata nje ya Tanzania bila wasi wasi,
Kwenye mechi ya belouzdad yanga walifanya makosa na wakaadhibiwa, ukifanya makosa unaweza kufungwa ata goli 10 ndio maana ukaitwa mpira wa miguu utakuwa na matokeo 3,
Wake up call waliyoipata Jana itawaamsha na mechi ijayo dhidi ya Aly ahly itakuwa tofauti sana WANANCHI watarudi kwa nguvu kwenye ubora wao, nategemea mechi nzuri sana siku iyo!
Timu ili icheze vizuri inatakiwa Kila mchezaji awe timamu kimwili na kiakili na Kila mchezaji atimize majukumu yake ipasavyo lakini kwa Jana ilikuwa ngumu kwa yanga kutokana na changamoto zilizojotokeza ambazo ni Kama ifuatavyo;
Mosi; Wachezaji wengi awakuwa timamu nafikiri kitendo Cha kukaa siku 14 bila kucheza mechi yoyote ya kiushindani imewafanya wakose match fitness ambayo wenzao walikuwa nayo kwani mpaka wanacheza Jana tiyali walikuwa wamecheza match zao za ligi 3 mfululizo na iyo tumeona kwenye uharaka wa kufika kwenye matukio muhimu uwanjani!
Pili; Wachezaji walioitwa timu za taifa kukosa maandalizi ya pamoja na wenzao pia imechangia, lakini fatique imechangia pakubwa kwa wachezaji wengi kutokuwa kwenye ubora wao, tumeona Aziz ki, mudathir, job na baka wakiwa awako sawa kwenye maamuzi yao uwanjani nafikiri uchovu umewaathiri pakubwa sana
Tatu; Eneo la goal keeping alikuwa kwenye mikono salama baada ya kukosekana kwa Djigui diara, kukosekana kwake kumeleta athari pia kwani mabeki wanapokuwa wanacheza na kipa wanayemuamini uwa wanakuwa comfortable na mpira tofauti wakiwa wanacheza na kipa ambae awamwamini, kitu icho kimeonekana Jana Metacha footwork yake sio nzuri ata kidogo, ajui ata kuanzisha mashambulizi matokeo yake alikuwa anapiga pasi nyingi mkaa isipotoka nje itaenda kwa adui, ni kitu ambacho kiliwafanya mabeki wacheze kwa kutokujiamini kabisa, djigui diara aliumia bega ndio maana alikosekana mechi ya coast na ya taifa pia akucheza!
Nafikiri hizo ni sababu kuu zilizopelekea yanga kupata matokeo hasi Algeria licha ya umiliki wa takwimu zote za kimchezo but point 3 muhimu ndio kinachotakiwa kwenye hii hatua!
Pamoja na ayo yote bado yanga wanayo nafasi kubwa ya kusonga mbele kwa uwezo wa kikosi Chao,
Bado zipo point 15 za kupigania ambazo ni muhimu na ukiangalia vizuri ratiba ilivyokaa yanga wanao uwezo wa kutinga robo fainali, watacheza mechi 3 nyumbani na mbili ugenini, kwa maana iyo wanatakiwa kuchukua point 9 za nyumbani na kutafuta SARE 2 ugenini ili wavuke, wakifanikiwa kupate matokeo kwa Aly ahly basi itakuwa ndio starting point nzuri ya kusonga mbele,
Kwenye hatua zote ambazo Simba alifanikiwa kuingia robo fainali akuwai kushinda ata mechi moja ugenini, alipata point kwenye uwanja wa mkapa lakini kwa uwezo wa yanga hii anaweza kupata matokeo ata nje ya Tanzania bila wasi wasi,
Kwenye mechi ya belouzdad yanga walifanya makosa na wakaadhibiwa, ukifanya makosa unaweza kufungwa ata goli 10 ndio maana ukaitwa mpira wa miguu utakuwa na matokeo 3,
Wake up call waliyoipata Jana itawaamsha na mechi ijayo dhidi ya Aly ahly itakuwa tofauti sana WANANCHI watarudi kwa nguvu kwenye ubora wao, nategemea mechi nzuri sana siku iyo!