Wananchi: Maridhiano ni Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote

Rubbish! Tumehuru ingiza kwenye Ilani ya tundulissu 2025 pamoja na serkali za Majimbo (ukabila) na ndoa za mashoga. Mkishinda ndiyo mtuletee tumehuru na mashoga, hamtopata kwa maridhiano mlango wa nyuma.
 
Kutopatikana Kwa Tume HURU ya UCHAGUZI itokanayo na Katiba mpya kunaondoa sauti ya Mwananchi kuchagua kiongozi amtakaye!!

Hujaona wameanza kupita na kugawa Mutungi ya gesi Kwa maskini?

Huoni wanagawana majimbo hapo?

Ubunge na uongozi wanaamini unanunuliwa Kwa pesa!!

Ikiwa Sanduku la kura haliheshimiwi, uchaguzi bila Tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya wakazi Gani?
 
Rubbish! Tumehuru ingiza kwenye Ilani ya tundulissu 2025 pamoja na serkali za Majimbo (ukabila) na ndoa za mashoga. Mkishinda ndiyo mtuletee tumehuru na mashoga, hamtopata kwa maridhiano mlango wa nyuma.
Ninyi ni akina nani kudhani mnayo hati milki ya Tanzania yetu?

Hujui kuwa yupo Mungu atawalaye duniani, na anapenda KWELI na HAKI?

Thamani ya kura ni Bei Gani?
 
Tume huru ya uchaguzi, katiba mpya na mifumo mizuri ya utawala italetwa na wananchi wanaojielewa wanaoweza kupambana kuinua hali zao kwa kuwadhibiti wanasiasa.
Ubunge kununuliwa kwa fedha ni kwa sababu ya umasikini wa mali na fikra wa wananchi.
Kinachohitajika ni kuelimisha na kuwajenga kifikra wananchi wasikate tamaa, wajue kuwa nguvu na kura yao inaweza kudhibiti na kuwashughulikia wanasiasa (kama kura haiwezi kwa sababu ya mizengwe, nguvu inaweza). Elimu hiyo ilifika pia kwa wanasiasa (ambao ni sehemu ya wananchi), mambo yote yatakuwa sawa.
Kama sehemu kubwa ya wananchi ni majuha, wanasiasa hufanya watakalo.
Hata huko kwenye nchi zilizoendelea wananchi waliwashughulikia viongozi na wanasiasa ipasavyo, na ndiyo sababu leo kuna ustaarabu na maendeleo.
 
Betina wa pale mjengoni anatakiwa aendelee kuwa mbunge Kwa kuvunja jimbo la Mbeya mjini kuwa mawili. Huu ni wizi wa pesa za walipa Kodi.
 
Sikubaliani.
Tunatakiwa kupunguza walaji na tuongeze wazalishaji ili tuendelee.
 
Hivi hii kitu ni halisia ama uzushi? Naona hivi Sasa inaandikwa sana humu jukwaani. Na JF huwa haikosei.

Kweli chadema wamekubali kuachiwa baadhi ya majimbo ndiyo wakayaita maridhiano??I Ikiwa hili litatokea basi chadema kwisha habari yake
 
Hivi hii kitu ni halisia ama uzushi? Naona hivi Sasa inaandikwa sana humu jukwaani. Na JF huwa haikosei.

Kweli chadema wamekubali kuachiwa baadhi ya majimbo ndiyo wakayaita maridhiano??I Ikiwa hili litatokea basi chadema kwisha habari yake
Mara ya mwisho umemsikia Lema ni Lini?
 
Inawezekana Bi Tozo anayo dhamira ya dhati ya kuitaka katiba Mpya lakini anazongwa na wahafidhina ya Chama Twawala
Angekuwa na Nia ya dhati kutupatia Katiba mpya,

Asingetangaza kutaka Urais akiwa na mwaka mmoja tu baada ya kuokota dodo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…