LGE2024 Wananchi Mbeya Jiji ni kama wamekata tamaa ya uchaguzi

LGE2024 Wananchi Mbeya Jiji ni kama wamekata tamaa ya uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
611
Reaction score
567
Licha ya viongozi wa vyama na serikali kuhamasisha Wananchi kwenda kujiandikisha kwenye Daftari la Kupiga Kura, hali ni tofauti na matarajio yao.

Wananchi wamekuwa na mwitikio mdogo sana katika zoezi hilo na hii ni kutokana na Wananchi kuona hakuna umuhimu wa kupiga kura.

Nimepata bahati ya kupiga story na baadhi ya Wananchi ambao wamesema kuwa hawaoni umuhimu wa kwenda kujiandikisha na kuacha shughuli zao za kutafuta ridhiki.

Zoezi la uandikishaji katika daftari la mpiga kura limebakisha siku chache tu kukamilika lakini hali ilivyo Kwenye vituo ni kweupe peeee kabisa watu wako busy na shughuli zao za kila siku.

Nawaomba wananchi wenzangu tujitokeze kujiandikisha ili tupate nafasi ya kuchagua viongozi tunaowataka.
 
Licha ya viongozi wa vyama na serikali kuhamasisha wananchi kwenda kujiandikisha Kwenye daftari la kupiga kura,hali ni tofauti na matarajio Yao.

Wananchi wamekuwa na mwitikio mdogo sana katika zoezi hilo na hii ni kutokana na wananchi kuona hakuna umuhimu wa kupiga kura .

Nimepata bahati ya kupiga story na baadhi ya wananchi ambao wamesema kuwa hawaoni umuhimu wa kwenda kujiandikisha na kuacha shughuli zao za kutafuta ridhiki.

Zoezi la uandikishaji katika daftari la mpiga kura limebakisha siku chache tu kukamilika lakini hali ilivyo Kwenye vituo ni kweupe peeee kabisa watu wako busy na shughuli zao za kila siku.

Nawaomba wananchi wenzangu tujitokeze kujiandikisha ili tupate nafasi ya kuchagua viongozi tunaowataka.
Wakate tamaa au wasikate tunakuja kuzima Mwenge mwakani 2025 na Rais atazindua miradi na kampeni Juu.
 
Licha ya viongozi wa vyama na serikali kuhamasisha wananchi kwenda kujiandikisha Kwenye daftari la kupiga kura,hali ni tofauti na matarajio Yao.

Wananchi wamekuwa na mwitikio mdogo sana katika zoezi hilo na hii ni kutokana na wananchi kuona hakuna umuhimu wa kupiga kura .

Nimepata bahati ya kupiga story na baadhi ya wananchi ambao wamesema kuwa hawaoni umuhimu wa kwenda kujiandikisha na kuacha shughuli zao za kutafuta ridhiki.

Zoezi la uandikishaji katika daftari la mpiga kura limebakisha siku chache tu kukamilika lakini hali ilivyo Kwenye vituo ni kweupe peeee kabisa watu wako busy na shughuli zao za kila siku.

Nawaomba wananchi wenzangu tujitokeze kujiandikisha ili tupate nafasi ya kuchagua viongozi tunaowataka.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 4
Hizi mambo ndiyo zinazowakatisha watu tamaa
 
Back
Top Bottom