Wananchi Mwanza wadaiwa kuzuia watu waliovalia kiraia kuondoka na watuhumiwa, waita Mkuu wa Kituo Pamba kuja kuwatambua

Mbegu iliyopandwa inaelekea kuota, itakomaa na kutoa mavuno. Magugu ni mepesi kumea kuliko mazao, watu wameondoa magugu Ili wapate mazao!
 
Tukisema watu wa kanda ya ziwa wanajitambua tunarushiwa vijembe na kejeli, wapi kwingine wamethubutu!
 
Uko sahihi mkuu 'Paki'; lakini kweli serikali inahitaji kukumbushwa maswala kama haya?
Huko serikalini kweli hakuna wanao liona tatizo hili hadi wananchi waingilie kati? Serikali ipo kufanya nini?

Kwa nini serikali ndio wawe wafanya uhalifu; ambao wananchi sasa inalazimika kuingilia kuuzuia! Hii si aibu kwa viongozi wakuu wa serikali?
 
Hakika hii ni dalili nzuri. Tuombee mwamko huu wa wananchi uenee sehemu zote nchini
 
Tena wangewapiga kiberiti kabisa iwe funzo.
Ni mwanzo mzuri. Hiyo hatua ni hapo baadae, hasa tukielekea kwenye wizi wa kura za wananchi na ujinga mwingine unaofanywa na hizo tume feki za uchaguzi.

Kwa vile wananchi wameanza kuonyesha mwamko, inafaa sasa CHADEMA iwape elimu kutambua ni wapi juhudi zao hizi zinahitajika sana wakati huu muhimu sana katika hatma ya nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…