Sio huko huku kwetu ndio balaa kwa serikali inayojielewa ilitosha kabisa kutoa ishara nini kinaendelea nchini lakini wao ndio kwanza eti wanabuni mbinu za uhamasishaji watu wajitokeze ,ifahamike kauli za wanasiasa wajinga ndio zimetufikisha hapa ,Waheshimiwa Wananchi wanaona wapigwe na jua mchana kutwa alafu kumbe wana mtu wao wa kumpitisha mfukoni nani atakubali? Wakapige wao na wake zao ma wakwe zao sasa