Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Ila utawala wa CCM kiukwel kbs lazima wakubali tu washafeli!! Halafu kby zaid wanaweka mazezeta mitandaon calibre ya choiceVariable et ndio think tank 🤣🤣🤣. Mamb kama haya utawaaminisha nn watanzania ili wakuelewe!
Ni haki yao ,so hushiriki kuiba kura, acha inyeshe tujue panapovuja, walim hudhaulika sana kisa penda vitu vyepesi
Zimejengwa na wananchi wamejitolea na Sio SerikaliDuh! Huyu mother Nchi imemshinda kabisa.rasilimali zote tulizonazo ameshindwa kuzisimamia hadi watumishi kudhalilishwa kwa kujengewa nyumba za hovyo namna hiyo?bora ajiuzulu tu ili kulinda heshima.
UALIMU ni kazi za wasio na akiliKwani tofali halitokani na tope? Mm sioni tatizo.
Lakini hebu tuulizane. Hivi ualimu nao ni kazi??
Uchaguz ukikaribia wanatumikaUALIMU ni kazi za wasio na akili