Wananchi Simiyu wawajengea walimu nyumba za matope

Wananchi Simiyu wawajengea walimu nyumba za matope

Ukweli walimu msipo kuwa na misimamo na mnavopelekeshwa basi maisha mtayasikia kwa machawa kama mwijaku.

Mnaitaji kuitingisha serikali ya ccm aina mpango na nyie hipo kwa ajili ya kuwatumikisha pindi wanashida ya kujaza mikutanoni na kuchangisha mwenge.
IMG_0241.jpg
 
Ukweli walimu msipo kuwa na misimamo na mnavopelekeshwa basi maisha mtayasikia kwa machawa kama mwijaku.

Mnaitaji kuitingisha serikali ya ccm aina mpango na nyie hipo kwa ajili ya kuwatumikisha pindi wanashida ya kujaza mikutanoni na kuchangisha mwenge.
View attachment 2713233
Wakati wabunge wa Mchongo wanatembelea ma V8, tatizo waalimu wako kama pampers kwa lugha nzuri, kabla haijatumika inawekwa kwenye pochi, ikitumika hora
 
Ukweli walimu msipo kuwa na misimamo na mnavopelekeshwa basi maisha mtayasikia kwa machawa kama mwijaku.

Mnaitaji kuitingisha serikali ya ccm aina mpango na nyie hipo kwa ajili ya kuwatumikisha pindi wanashida ya kujaza mikutanoni na kuchangisha mwenge.
Hao watu wakiisha pewa posho, wanasahau kila kitu.
Wanasahau namna wanavyotumikishwa kwenye:
-mbio za mwenge,
-uchaguzi,
-ziara za wakubwa,
-na safari za kwenda kufuatilia mishahara yao wilayani!
 
Back
Top Bottom