Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kwa kauli hii Unaweza ukahisi wale wote wasiokuwa walimu nchi hii ni matajiri.Kama una ndoto ya kua mwalimu basi ujue umechagua kua maskini fukara kabisa maisha yako yote
Wewe unaweza ukaishi nyumba kama hiyo hapo juuMbn wengine wapo vzr tu
Wakati wabunge wa Mchongo wanatembelea ma V8, tatizo waalimu wako kama pampers kwa lugha nzuri, kabla haijatumika inawekwa kwenye pochi, ikitumika horaUkweli walimu msipo kuwa na misimamo na mnavopelekeshwa basi maisha mtayasikia kwa machawa kama mwijaku.
Mnaitaji kuitingisha serikali ya ccm aina mpango na nyie hipo kwa ajili ya kuwatumikisha pindi wanashida ya kujaza mikutanoni na kuchangisha mwenge.
View attachment 2713233
Kwa logic yako watumishi wengine woote wanatembelea V8. Huu ujinga huwa mnafundishwa wapi ?Wakati wabunge wa Mchongo wanatembelea ma V8, tatizo waalimu wako kama pampers kwa lugha nzuri, kabla haijatumika inawekwa kwenye pochi, ikitumika hora
ukweli mchungu,, imagine ulimwengu wa leo ndo kwanza unajengewa nyumba ya tope hata cement hakuna sijuiKama una ndoto ya kua mwalimu basi ujue umechagua kua maskini fukara kabisa maisha yako yote
Kua mwalimu kumbe ni umaskini basi marafiki zangu walioajiriwa mwaka jana na sasa hv wameanza kumiliki viwanja na ujenzi ..wote hao ni maskiniKama una ndoto ya kua mwalimu basi ujue umechagua kua maskini fukara kabisa maisha yako yote
Waalimu wa chuoAcheni ufara mbona waalim wanaishi maisha mazuri
Hao watu wakiisha pewa posho, wanasahau kila kitu.Ukweli walimu msipo kuwa na misimamo na mnavopelekeshwa basi maisha mtayasikia kwa machawa kama mwijaku.
Mnaitaji kuitingisha serikali ya ccm aina mpango na nyie hipo kwa ajili ya kuwatumikisha pindi wanashida ya kujaza mikutanoni na kuchangisha mwenge.