Wananchi tuamke...viongozi kutokuheshimu Katiba wala viapo vyao, Idara ya Mahakama imetuangusha!

Wananchi tuamke...viongozi kutokuheshimu Katiba wala viapo vyao, Idara ya Mahakama imetuangusha!

Mkuu hivi unatuona mabwege, stop order na amri ya zuio tofauti yake ni nini? Au yofauti yake moja ni kwa kiingereza na nyingine ni kwa kiswahili? Acha uhuni wa kitoto bana.
.
Kama kitu hukifahamu bora ukakaa kimya tu.
Stop order ni tofauti na amri ya zuio (Injunction). Tafuta mwanasheria akueleweshe, maana hapa unapinga tu badala ya kuomba ueleweshwe.
 
Tukinyamaza si ndio watalala moja kwa moja...ndugu yangu kuna watu sasa hivi hawalali kwa kelele zetu, wanapata ukichaa kwa kelele zetu. Tuzidi tu kupiga kele na muda si mrefu utawasikia wenyewe nao wakianza kupiga mayowe kwa hofu!

Mkuu nimeipenda Bandiko lako,Je huku ni watanzania wangapi wanaingia na kusoma??
Inabidi Katiba,Sheria na Haki za RAIA ziwekewe Makala kwenye Magazeti kama Vile Tanzania Daima,Mwananchi,Mtanzania nk nk.Najiuliza Waandishi wametutendea haki RAIA ??Au wako kwa ajili ya kusubiri appointment??

Hawa Mahakimu kwa sasa ni makada ni Mahakama ni Tawi la CCM, jiulize kesi ya CUF ni ya kuchukua miaka miwili bila kuhukumiwa??Nini nipo nyuma ya Mahakama na CUF??

Hata Mahakama wamechagua upande tayari hawako neutral.Kaimu Jaji na Jaji Kiongozi wamehsaamua kuchukua upande wa wanaowalipa marupurupu.

Najiuliza ni wanachama wa CCM tu ndiyo wanaolipa kodi??Kama siyo kwanini Bunge na Mahakama zimeamua kuchagua Upande wa Watawala?? Hivi tuna sababu ya watanzania kuwachagua wabunge au madiwani wa CCM kama hawawezi kusimamia Sheria na Haki.za RAIA??

Nimejiuliza hivi Kimara hadi Mbezi ni RAIA toka Taifa lipi?? Au kuna nchi inaitwa Chadema??Kama Rais anaweza kutoa Ujumbe ukapitia kwa.RC wa Mkoa husika na kusema.kwa.sauti Rais kanituma.hawezi Kuna wapiga kura wake wakiyeseka hivyo pande ile waliyompigia kura Nyingi hawatabomolewa nyumba zao.Wakimara wanapata Mateso sababu walichagua chama kile ambacho ni Taifa lingine haki itatendeka ndiyo sababu Kaimu Jaji kanyamaza.maana Kimara na Mbezi siyo RAIA wa Tanzania wala wapiga kura wa Rais
 
Mkuu usikubali kuwa kimya, kibao kinageuka mpaka Kikwete kaamua kutoa kauli hadharani kuhusu chuki za huyu Nduli na dikteta uchwara. Kumbuka ni humu JF ndiyo tulianza kuongea kuhusu unduli na udikteta uchwara kuhusu huyu dikteta. Sasa hata aliyempigia chapuo aingie Ikulu kamkoromea tena hadharani. Tusichoke Mkuu shughuli ndiyo kwanza zimeanza tusimruhusu kabisa huyu aendelee kudharau katiba ya nchi, sharia za nchi, kudharau Wananchi na Bunge.



Mkuu mimi nimenawa mikono nimeamua tu kuwa kimya.. Litakalo kuja lije tu hakuna jipya dunia hii yote ni marudio tu, kama ni kuchinja wananchi wake wacha achinje, kama ni kutawala miaka 100 sawa.. Vunja katiba anavyotaka sawa tu maana nchi ya baba yake hii nk
 
Tatizo Tanzania wanaharakati wamelala sana hawana faida sasa nani atawapigania Watanzania?
Sio wanaharakati Kijo Bisimba baada tu ya uchaguzi kilimpata nini? Bunge na mahakama vina kazi gani? Wao sasa hivi wanafanya kazi ipi? Hii ya kupewa mahakama Bilioni 12 kesi wazipeleke haraka ama sijui bunge hili la Ndugai kwamba Ndugai awatoe bungeni wapinzani Magufuli atawashughilikia huku nje?

Kama bunge na mahakama havifanyi kazi zake hao wananchi au wanaharakati hamuoni mnawaonea bure maana ndio watakao kutwa mto Ruvu wakielea ama kutegewa mabomu kama walivyofanya kwenye ofisi za mawakili Fatma Karume

Mahakama huko mpaka sasa hivi kuna naibu Jaji mkuu na wote wanaona hilo ni sawa tu ni wananchi wapi mnataka waamke?

Mara nyingi wananchi kuamka ni hatua ya mwisho na wakifikia hapo hakuna cha msalia mtume kwa sababu hawana cha kupoteza tena
 
kinachofanyika dar hakikubaliki kwa mtanzania yeyote anayeipenda nchi yetu. ule ni unyama. maendeleo ya kwanza yawe ya watu na sio vitu......
 
Inasikitisha na kutia huzuni ukiona nyumba zinabomolewa na serikali wakati mahakama imetoa zuio LA kutobomolewa nyumba hizo.
Haki yetu tutapata wapi serikali hii inapotutendea isivyo haki na kupuuza amri za mahakama zetu?
Watanzania tujitafakari tumekosea wapi vinginevyo tutaangamia mmoja baada ya mwingine maana hakuna aliyesaalama kwa mwendo huu.

Mkimbilie kwa bashite ili amuamuru sisonje ampe mamlaka ya kusitisha ili mazuzu washangilie
 
.
Stop order ni uhuni tu unaofanywa na makarani kuhadaa wasiojua sheria. Kuna mawakili pia wanafanya michezo kama hii. Serikali haifanyi kazi kwa vistop order, wala haizuiwi kufanya chochote kisa kuna kitu kinaitwa stop order. stop order ni uhuni wa kutishia wasiojua sheria tu.

Katika sheria kuna zuio ambalo huombwa kwa mujibu wa vifungu vya sheria na husikilizwa kwa utaratibu maalum (kati ya muomba zuio na muombewa zuio), baada ya hapo mahakama hufanya upembuzi na ikijiridhisha kuwa kuna haja ya kutoa zuio hutoa zuio. Kuna namna pia ya kufikisha zuio kwa mtu au taasisi iliyolengwa na hilo zuio, sio kwenda kubandika sijiu mlangoni sijui chooni au barabarani kama vile ni wito wa kawaida tu wa mahakama.

Zuio la mahakama ni amri ya kipekee, haiendeshwi ua kuchukuliwa kama amri zingine za kawaida au wito wa kawaida, hii ni kutokama na mazingira inayotolewa na jinsi nature yake ilivyo. Amri ya zuio inao utaratibu wa kipekee kabisa kuanzia mtu binafsi, taasisi binafsi, mashirika ya umma, makampuni, taasisi za serikali, serikali za mitaa na hata serikali kuu. hii inamaana kuwa kuomba, kusikilizwa na kutolewa kwa Amri ya Zuio inatofautiana sana kutokana na wahusika wa kesi yenyewe, mfano kumzuia mtu binafsi au kampuni binafsi ni totauti kabisa na kuizuia serikali.

Stop order haiwezi kulinganishwa na Amri ya Zuio kwa namna yoyote ile. Stop order ni zao tofauti kabisa na amri ya zuio katika sheria.
Kama kweli Stop Order ya mahakama ni uhuni! Nini lengo LA mahakama kufanya uhuni huo?
 
.
Umeliona wapi hilo zuio la kubomoa?
Nani au taasisi gani imepuuza amri ya mahakama?
Fanya uchunguzi yakinifu kabla hujatoa hitimisho na kuanza kutoa lawama zisizo na msingi.
We unaangaliaga taarifa ya habari na hasa waathirika wa bomoa bomoa kimara au umekuja na mihemuko tu....[emoji15] [emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa taarifa yako ubomoaji unafanyika kwa mujibu wa sheria. Ni kweli kuna baadhi (sio wote) ya waliobomolewa majengo yao walifungua kesi mahakamani. Cha kushangaza wanadai mahakama imetoa zuio wakati kiukweli mahakama haijatoa zuio lolote dhidi ya serikali au Tanroads. Kuna baadhi walionesha makaratasi (nami mimeyaona) wakidai ndio zuio jenyewe, ukweli ni kwamba lile si zuio la mahakama. Mengi yameandikwa stop order. Stop order sio amri ya zuio inayotakiwa kuombwa na kutolewa na mahakama dhidi ya serikali. Kwanza nina mashaka na hao waliosambaza hizo stop order. Mahakama haiwezi kutoa kitu kama stop order dhidi ya serikali.

kwa kifupi hizo mnazoziita stop oder si zuio la kuzuia serikali au chombo au taasisi ya serikali isifanye utekelezaji wa mipango yake.
373973753a09896bbb32423b3ebbcc27.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha na kutia huzuni ukiona nyumba zinabomolewa na serikali wakati mahakama imetoa zuio LA kutobomolewa nyumba hizo.
Haki yetu tutapata wapi serikali hii inapotutendea isivyo haki na kupuuza amri za mahakama zetu?
Watanzania tujitafakari tumekosea wapi vinginevyo tutaangamia mmoja baada ya mwingine maana hakuna aliyesaalama kwa mwendo huu.

Nimefikiria sana na jibu nililolipata ni hili...'Wananchi wa Kimara na Mbezi Kilichowaponza ni Bendera za Chadema period'haiingii akilini Rais atume muwakilishi wake maeneo yenye Mbunge wa CCM na kusema Rais hataki wapiga kura wapate mateso,hivi hawa wa kimara na mbezi kwa sababu ni wapiga kura wa Chadema hivyo wanatakiwa kupata Mateso ya kunyimwa haki ya kuwa na malazi bora??Nimeishia hapo wenye akili tumejua Chuki,ubaguzi na visasi ndivyo viongozavyo taifa kwa sasa

Basi na alaaniwe yule aliyepeleka jina hilo liwe mgombea wa urais kwa ticket ya chama cha makinikia
 
.
Kama kitu hukifahamu bora ukakaa kimya tu.
Stop order ni tofauti na amri ya zuio (Injunction). Tafuta mwanasheria akueleweshe, maana hapa unapinga tu badala ya kuomba ueleweshwe.

Ukisha pata kipande cha keki lazima utapike kwanza kuonyesha wengine unakipande cha keki.

Mkuu hayajakukuta ya kisha kukuta utajua nini maana ya ZUIO la Mahakama.
 
kwa taarifa yako ubomoaji unafanyika kwa mujibu wa sheria. Ni kweli kuna baadhi (sio wote) ya waliobomolewa majengo yao walifungua kesi mahakamani. Cha kushangaza wanadai mahakama imetoa zuio wakati kiukweli mahakama haijatoa zuio lolote dhidi ya serikali au Tanroads. Kuna baadhi walionesha makaratasi (nami mimeyaona) wakidai ndio zuio jenyewe, ukweli ni kwamba lile si zuio la mahakama. Mengi yameandikwa stop order. Stop order sio amri ya zuio inayotakiwa kuombwa na kutolewa na mahakama dhidi ya serikali. Kwanza nina mashaka na hao waliosambaza hizo stop order. Mahakama haiwezi kutoa kitu kama stop order dhidi ya serikali.

kwa kifupi hizo mnazoziita stop oder si zuio la kuzuia serikali au chombo au taasisi ya serikali isifanye utekelezaji wa mipango yake.
Nguchiro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Stop order ni uhuni tu unaofanywa na makarani kuhadaa wasiojua sheria. Kuna mawakili pia wanafanya michezo kama hii. Serikali haifanyi kazi kwa vistop order, wala haizuiwi kufanya chochote kisa kuna kitu kinaitwa stop order. stop order ni uhuni wa kutishia wasiojua sheria tu.

Katika sheria kuna zuio ambalo huombwa kwa mujibu wa vifungu vya sheria na husikilizwa kwa utaratibu maalum (kati ya muomba zuio na muombewa zuio), baada ya hapo mahakama hufanya upembuzi na ikijiridhisha kuwa kuna haja ya kutoa zuio hutoa zuio. Kuna namna pia ya kufikisha zuio kwa mtu au taasisi iliyolengwa na hilo zuio, sio kwenda kubandika sijiu mlangoni sijui chooni au barabarani kama vile ni wito wa kawaida tu wa mahakama.

Zuio la mahakama ni amri ya kipekee, haiendeshwi ua kuchukuliwa kama amri zingine za kawaida au wito wa kawaida, hii ni kutokama na mazingira inayotolewa na jinsi nature yake ilivyo. Amri ya zuio inao utaratibu wa kipekee kabisa kuanzia mtu binafsi, taasisi binafsi, mashirika ya umma, makampuni, taasisi za serikali, serikali za mitaa na hata serikali kuu. hii inamaana kuwa kuomba, kusikilizwa na kutolewa kwa Amri ya Zuio inatofautiana sana kutokana na wahusika wa kesi yenyewe, mfano kumzuia mtu binafsi au kampuni binafsi ni totauti kabisa na kuizuia serikali.

Stop order haiwezi kulinganishwa na Amri ya Zuio kwa namna yoyote ile. Stop order ni zao tofauti kabisa na amri ya zuio katika sheria.
Kweli mkuki kwa nguruwe!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Stop order ni uhuni tu unaofanywa na makarani kuhadaa wasiojua sheria. Kuna mawakili pia wanafanya michezo kama hii. Serikali haifanyi kazi kwa vistop order, wala haizuiwi kufanya chochote kisa kuna kitu kinaitwa stop order. stop order ni uhuni wa kutishia wasiojua sheria tu.

Katika sheria kuna zuio ambalo huombwa kwa mujibu wa vifungu vya sheria na husikilizwa kwa utaratibu maalum (kati ya muomba zuio na muombewa zuio), baada ya hapo mahakama hufanya upembuzi na ikijiridhisha kuwa kuna haja ya kutoa zuio hutoa zuio. Kuna namna pia ya kufikisha zuio kwa mtu au taasisi iliyolengwa na hilo zuio, sio kwenda kubandika sijiu mlangoni sijui chooni au barabarani kama vile ni wito wa kawaida tu wa mahakama.

Zuio la mahakama ni amri ya kipekee, haiendeshwi ua kuchukuliwa kama amri zingine za kawaida au wito wa kawaida, hii ni kutokama na mazingira inayotolewa na jinsi nature yake ilivyo. Amri ya zuio inao utaratibu wa kipekee kabisa kuanzia mtu binafsi, taasisi binafsi, mashirika ya umma, makampuni, taasisi za serikali, serikali za mitaa na hata serikali kuu. hii inamaana kuwa kuomba, kusikilizwa na kutolewa kwa Amri ya Zuio inatofautiana sana kutokana na wahusika wa kesi yenyewe, mfano kumzuia mtu binafsi au kampuni binafsi ni totauti kabisa na kuizuia serikali.

Stop order haiwezi kulinganishwa na Amri ya Zuio kwa namna yoyote ile. Stop order ni zao tofauti kabisa na amri ya zuio katika sheria.

Ndo useme stop order ni nini?

Maneno meeeeeeeeengi
 
Back
Top Bottom