Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Ndugu zangu wananchi wabunge hawalipi Kodi kwenye mishahara yao na ni mikubwa kwelikweli Sasa swali linakuja kwanini upande Basi lake? Kwanini ulale kwenye hoteli yake? Kwanini ununue chochote kwenye duka lake au hardware yake?
Tena Bora lingekuwa lile bunge lililochaguliwa na wananchi la kina sugu mbowe mnyika heche sio bunge hili lililotupandishia malipo ya MAKATO ya MIAMALA wakati wao hawalipi Kodi.
Operations hizi zianze mapema.
#KATAAWAKWEPAKODI#
Tena Bora lingekuwa lile bunge lililochaguliwa na wananchi la kina sugu mbowe mnyika heche sio bunge hili lililotupandishia malipo ya MAKATO ya MIAMALA wakati wao hawalipi Kodi.
Operations hizi zianze mapema.
#KATAAWAKWEPAKODI#