Pre GE2025 Wananchi tuikatae CCM wagombea wao hawatoshi kuongoza nchi hata ndani ya chama minongono ipo hivyo hawataki kumsikia huyo mama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
 

Attachments

  • VID-20250214-WA0041.mp4
    32.6 MB
  • VID-20250214-WA0043.mp4
    32.4 MB
  • VID-20250214-WA0042.mp4
    24.1 MB
Kwa tume ipi mkuu ! Hii ya raisi anayoteua mwenyewe au kuna nyingine! Hivi mkuu mimi nimekuteua na pia mimi ni mgombea utatangaza nani akishinda
Yatafanyika mabadiliko ya kikatiba kuruhusu Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi.

Jambo hili Lina baraka zote. Ingawa lazima maandamano yahusike.
 
Rais kwa nchi yetu anawekwa Madarakani kwa nguvu za kijeshi!
 
Sawa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…