Wananchi tunamsaidiaje Mpina?
Hiyo mafian cartel ya sukari Mpina kaiumbua lakini hakuna wakuwajibika wala kuwawajibisha.

Mpina nadhani ni typical Magufuli na ndio anafaa kuwa rais mwakani. CCM wote tunamuunga mkono.
 
Kulaani tu hapa haitoshi kabisa.

Hapo ndo tuone mambo ambayo sirikali haipendi kuwa exposed nayo.
 
Unasimama na shetani aliyechoma nyavu za wavuvi wa nchi hii na kuwatia umaskini? Mnaomsapoti Mpina hamna tofauti na vijana wapumbavu wa Liberia waliomchagua dikteta Charles Taylor aliyeua wazazi wao. Wakati wa kampeni walikuwa na msemo wao wa "He killed My Ma, He killed my Pa.... I'll Vote for him"

Mpina alikuwa ni miongoni mwa viongozi makatili wa awamu ya 5 waliofanya ushenzi mwingi sana kwa wananchi wasio na hatia. Hana political legitimacy ya kunyooshea mtu kidole.
Kwa hiyo kwa inshu ya Sukari yuko sahihi ila kwasababu alichoma nyavu basi asikosoe suala la sukari?
 
Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.

Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",

Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.

NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.

PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia

NASIMAMA NA MPINA
 
Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.

Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",

Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.

NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.

PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Ni wananchi wa mbeya kuamua na kumchana live kuwa 2025 kitaeeweka. Iwe jua iwe mvua.
 
Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.

Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",

Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.

NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.

PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Mpina alipaswa kupeleka ushahidi kusimama nae haumsaidii chochote yeye ndio atajieleza kwenye kamati akiwa na ushahidi .
 
Mpina alipaswa kupeleka ushahidi kusimama nae haumsaidii chochote yeye ndio atajieleza kwenye kamati akiwa na ushahidi .
Ushahidi ushapelekwa mkuu, spika anachogomba ni kwamba ilifaa ufanyiwe kazi kwanza ndipo Mpina atupatie wananchi.

Spika mhuni, alitaka kumkaanga Mpina ili baadaye aonekane (Mpina) alipeleka ushahidi wa uwongo.
 
Ni hatari kujitafsiri ww kwa kusikiliza watu wengine wamesema nn juu yako!!!


Ni mwehu pekee anaweza akakubali jina baya analopewa na watu na kuifanya ndio taswira yake
Jeuri ya CCM kuiba bila aibu ni kwa sababu wana uhakika wananchi hawana cha kuwafanya. Kule Kenya wameungana wanaita Vamia Bunge.

Nukuu ya Kenyata ipo sawa...Nyerere anaongoza maiti
 
Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.

Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",

Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.

NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.

PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Spika kamuonea vipi? kakiuka sheria na kanuni ipi?

Unataka nani amsaidie poyoyo yule?
 
All the facts criticizing some government officials for neglecting to thrive for the country's interests directly involved in embezzlement of public funds, corruption, economic exploitation, and abusing office powers by the appointees should be publicly exposed on this social networking platform.

The JF platform should courageously support a pan-africanist who has chosen to speak out about what the underdogged citizens desire to drive home the message on what they want their country to be harnessed that is in favor of the majority.

Hon. Mpina is such a gentleman and mouth-piece asset delivering across the bottomline heartfelt vein communication for a good purpose.
Huu uzi umetolewa kwa kiswahili wewe unaindika kiingereza ndiyo tujue msomi sana au
 
Back
Top Bottom