Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Lisu, hilo halina mjadala.😂 Ugomvi wenu ni mkubwa Sana,
Hebu nikuulize ni kiongozi gani unaweza kumuunga mkono ?!
Kwa hiyo kwa inshu ya Sukari yuko sahihi ila kwasababu alichoma nyavu basi asikosoe suala la sukari?Unasimama na shetani aliyechoma nyavu za wavuvi wa nchi hii na kuwatia umaskini? Mnaomsapoti Mpina hamna tofauti na vijana wapumbavu wa Liberia waliomchagua dikteta Charles Taylor aliyeua wazazi wao. Wakati wa kampeni walikuwa na msemo wao wa "He killed My Ma, He killed my Pa.... I'll Vote for him"
Mpina alikuwa ni miongoni mwa viongozi makatili wa awamu ya 5 waliofanya ushenzi mwingi sana kwa wananchi wasio na hatia. Hana political legitimacy ya kunyooshea mtu kidole.
Wakibana milangoni tutapitia hata madilishani voice from hayati ngoyaiHukumu utaitekeleza vipi wakati wahuni hawategemei kura ya mtu. Wanashinda "kwa kishindo" kupitia wizi tu..
#NASIMAMA NA MPINA
Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.
Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",
Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.
NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.
PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Ni wananchi wa mbeya kuamua na kumchana live kuwa 2025 kitaeeweka. Iwe jua iwe mvua.Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.
Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",
Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.
NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.
PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Mpina alipaswa kupeleka ushahidi kusimama nae haumsaidii chochote yeye ndio atajieleza kwenye kamati akiwa na ushahidi .Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.
Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",
Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.
NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.
PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Ushahidi ushapelekwa mkuu, spika anachogomba ni kwamba ilifaa ufanyiwe kazi kwanza ndipo Mpina atupatie wananchi.Mpina alipaswa kupeleka ushahidi kusimama nae haumsaidii chochote yeye ndio atajieleza kwenye kamati akiwa na ushahidi .
Inshu = ishu.Kwa hiyo kwa inshu ya Sukari yuko sahihi ila kwasababu alichoma nyavu basi asikosoe suala la sukari?
Jeuri ya CCM kuiba bila aibu ni kwa sababu wana uhakika wananchi hawana cha kuwafanya. Kule Kenya wameungana wanaita Vamia Bunge.
Nukuu ya Kenyata ipo sawa...Nyerere anaongoza maiti
ishu.= ishuInshu = ishu.
Spika kamuonea vipi? kakiuka sheria na kanuni ipi?Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.
Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",
Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.
NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.
PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Jeuri ya CCM kuiba bila aibu ni kwa sababu wana uhakika wananchi hawana cha kuwafanya. Kule Kenya wameungana wanaita Vamia Bunge.
Nukuu ya Kenyata ipo sawa...Nyerere anaongoza maiti
Huu uzi umetolewa kwa kiswahili wewe unaindika kiingereza ndiyo tujue msomi sana auAll the facts criticizing some government officials for neglecting to thrive for the country's interests directly involved in embezzlement of public funds, corruption, economic exploitation, and abusing office powers by the appointees should be publicly exposed on this social networking platform.
The JF platform should courageously support a pan-africanist who has chosen to speak out about what the underdogged citizens desire to drive home the message on what they want their country to be harnessed that is in favor of the majority.
Hon. Mpina is such a gentleman and mouth-piece asset delivering across the bottomline heartfelt vein communication for a good purpose.