Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha.Kataa Wahuni #polepole
We mpumbavu serekali haitoi leseni kwenye kitu haram mbwa nguruwe wewe ule ulikuwa wizi kama wizi walituomba tuonyeshe zana zetu tulifanya hivyo kisha wakasema tuwape leseni tuliwapa mwishowe wakasema wao wametumwa pesa kama huna pesa wanachoma aliokuwa napesa alirudishiwa malizake ambae hana pesa wanachoma nakukwapua vitu kama engine au mashine unaambiwa ukavikomboe kwapesa ndefu mpina nimwizi uelewe mbwa wewe umechoma zana mashine unachukua zanini natumezisalimisha kama ulivyo tuomba huu niwizi tu kiongozi alikuwa marwa katili kama niniNyie mnatakiwa mnyongwe kabisa mmefanya mpaka sasa samaki ni adim na bei aghali kwa uvuvi wenu wa kishenzi mpaka mnapiga mabomu harafu hata aibu huoni unataka urudishiwe nyavu na mabomu yenu shwain kabisa.
Blacka mambas mbona una hasira za kimama yaan mwanaume mzima unachamba 🤣🤣🤣Narudia tena nyie mnarakiwa kua jela maana mmefanya ushenzi sana baharini na kwenye maziwa yetu kaa tukana kwa sababu masilahi yenu yaliguswa lakini ukweli hauwezi kufichwa mlikua mnafanya ujangili wa samaki mm nakaaa mwanza najua na pia namji dar kigamboni michongo yote naijua punguna hasira za kimama.We mpumbavu serekali haitoi leseni kwenye kitu haram mbwa nguruwe wewe ule ulikuwa wizi kama wizi walituomba tuonyeshe zana zetu tulifanya hivyo kisha wakasema tuwape leseni tuliwapa mwishowe wakasema wao wametumwa pesa kama huna pesa wanachoma aliokuwa napesa alirudishiwa malizake ambae hana pesa wanachoma nakukwapua vitu kama engine au mashine unaambiwa ukavikomboe kwapesa ndefu mpina nimwizi uelewe mbwa wewe umechoma zana mashine unachukua zanini natumezisalimisha kama ulivyo tuomba huu niwizi tu kiongozi alikuwa marwa katili kama nini
We mbwa kama ningekuwa natumia zana haram nisinge lalamika hata kidogo nahakuna kitu nimekipenda kama serekali kulifunga ziwa huku sisi tunavua kipe ungekuwa unaujua uvuvi huo huwezi itaharam kwaza unafanyika kwenye maji yenye kina kuanzia mita 200 nakuendelea ulewe we mwehu na unakata leseni pia nyavu unanunua dukani narisiti unapewa naserekali inachukua kodi mpina alituzulumu jambazi mkubwa yuleNyie mnatakiwa mnyongwe kabisa mmefanya mpaka sasa samaki ni adim na bei aghali kwa uvuvi wenu wa kishenzi mpaka mnapiga mabomu harafu hata aibu huoni unataka urudishiwe nyavu na mabomu yenu shwain kabisa.
Majambazi ni nyie ww mvuvi kweli sio chawa ukweli unaujua ujinga mkubwa sana mlikua mnaufanya ziwani na kama hata sasa mmeachwa mfanye huo ujinga samaki watakua wa kutafutaWe mbwa kama ningekuwa natumia zana haram nisinge lalamika hata kidogo nahakuna kitu nimekipenda kama serekali kulifunga ziwa huku sisi tunavua kipe ungekuwa unaujua uvuvi huo huwezi itaharam kwaza unafanyika kwenye maji yenye kina kuanzia mita 200 nakuendelea ulewe we mwehu na unakata leseni pia nyavu unanunua dukani narisiti unapewa naserekali inachukua kodi mpina alituzulumu jambazi mkubwa yule
Enaonekana wewe simuelewa nimekwambia tuliombwa tuonyeshe zana tulifanya hivyo wakatuomba leseni tuliwapa leseni kisha wakasema wao wametumwa pesa kama huna pesa tunachoma waliokuwa pesa napesa walirudishiwa zana zao tuliokuwa hatuna pesa walichoma swali kwako uharam nikutokutoa pesa? na uhalali wazana nikuwapa pesa? Nilichogundua Mimi kuchoma japo nihasara kwawatu lakini kulitumika kama kitisho ilituwaokope ilituwape wanachoma kitaka wakina mpina zana zetu hazikuwa haram ndiomaana waliotoa pesa walirudishiwa soma vizuri uelewe unatakiwa na wewe umlani mpina kama utasoma vzr na kuelewaMajambazi ni nyie ww mvuvi kweli sio chawa ukweli unaujua ujinga mkubwa sana mlikua mnaufanya ziwani na kama hata sasa mmeachwa mfanye huo ujinga samaki watakua wa kutafuta
Achaneni na hilo jingaBila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina.
Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo:
"NASIMAMA NA MPINA",
Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za kumnyamazisha.
NB: Huu siyo uzi wa kupiga stori, andika hayo maneno matatu tu. Comment ya kwanza nimeonesha mfano.
PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Mpina ndo alikua anazichoma ama watendaji wa chini na labda nikuambie jambo lolote la kukomesha kitu ama kuweka kitu sawa hasa likiwa la kiserikali lazima kuna watu wataumizwa sema tu ukweli nyie mlizidi ugaribifu ndo maana mlifanyiwa umafia ni sawa na hawa viongozi wanaofanya wizi na utapeli wa mali za umma wakijua hakuna wa kuwahoji kuna siku haina saa watakuja kulia na kusafa meno km nyie maana mlikua hamvui samaki mlikua mnakwangua samaki yaan samaki mna makokoro yenu.Enaonekana wewe simuelewa nimekwambia tuliombwa tuonyeshe zana tulifanya hivyo wakatuomba leseni tuliwapa leseni kisha wakasema wao wametumwa pesa kama huna pesa tunachoma waliokuwa pesa napesa walirudishiwa zana zao tuliokuwa hatuna pesa walichoma swali kwako uharam nikutokutoa pesa? na uhalali wazana nikuwapa pesa? Nilichogundua Mimi kuchoma japo nihasara kwawatu lakini kulitumika kama kitisho ilituwaokope ilituwape wanachoma kitaka wakina mpina zana zetu hazikuwa haram ndiomaana waliotoa pesa walirudishiwa soma vizuri uelewe unatakiwa na wewe umlani mpina kama utasoma vzr na kuelewa
Uvuvi ninaojuwa Mimi upoziwa tanganyikaniMajambazi ni nyie ww mvuvi kweli sio chawa ukweli unaujua ujinga mkubwa sana mlikua mnaufanya ziwani na kama hata sasa mmeachwa mfanye huo ujinga samaki watakua wa kutafuta
Uelewa wako upochini sana kazi namba moja kwaserekali nikuhakikisha inamlinda raia namali zake pia kumuwekea raia mazingira mazuri yakufanya kazi zake halali siokuharibu ,wewe unasema kokoro Mimi situmii kokoro lakini umeomba nikuonyeshe zana nimekuonyesha bila ubishi leseni nimekupa najibiwa upo sawa lakini pamoja nahaya sisi tumetumwa pesa kama huna tunachoma ndivyo nilivyo nilivyochomewa si kwa uharam nilichomewa kwa umasikini wangu ilibado wapate wanachokitaka walichukua engine au mashine zangu wakadai nikazikomboe kwapesa wanayotaka waliokopa kutupeleka mahakamani tungewashinda sijui kwanini ulewi unakichwa namasikio magumu kama mse wamuhamaMpina ndo alikua anazichoma ama watendaji wa chini na labda nikuambie jambo lolote la kukomesha kitu ama kuweka kitu sawa hasa likiwa la kiserikali lazima kuna watu wataumizwa sema tu ukweli nyie mlizidi ugaribifu ndo maana mlifanyiwa umafia ni sawa na hawa viongozi wanaofanya wizi na utapeli wa mali za umma wakijua hakuna wa kuwahoji kuna siku haina saa watakuja kulia na kusafa meno km nyie maana mlikua hamvui samaki mlikua mnakwangua samaki yaan samaki mna makokoro yenu.
Magu alimwita kichaa anaesimama nakichaa nayeye ni ................NASIMAMA NA MPINA
Uvuvi ninaojuwa Mimi upoziwa tanganyikani
1 kipe
2 ringi net
3 makira ya sumu
4 kachinga
5 makira kawaida
6. Kokoro
7 ndoano mtete
8 kabamba
9 kitapi cha sings
10 chandarua
Kama wewe muelewa kweli niuvuvi gani nihatari tumeachwa nao huo ujinga kumbuka Mimi nahusika na uvuvi wakipe tu ndio ninaolalami
Sawa uelewa wangu mdogo je mlikua wengi wenu hamkua mnafanya uvuvi haram je serikali jukumu lake kulinda raia na mali zenu haram.Wengine mbona zimebomolewa nyumba zetu lakini tumekaa kimya maaana ni kweli tulikua tuko kwenye hifadhi za barabara je ww unavua na mabomu unakamatwa unaanza kulia lia.Uelewa wako upochini sana kazi namba moja kwaserekali nikuhakikisha inamlinda raia namali zake pia kumuwekea raia mazingira mazuri yakufanya kazi zake halali siokuharibu ,wewe unasema kokoro Mimi situmii kokoro lakini umeomba nikuonyeshe zana nimekuonyesha bila ubishi leseni nimekupa najibiwa upo sawa lakini pamoja nahaya sisi tumetumwa pesa kama huna tunachoma ndivyo nilivyo nilivyochomewa si kwa uharam nilichomewa kwa umasikini wangu ilibado wapate wanachokitaka walichukua engine au mashine zangu wakadai nikazikomboe kwapesa wanayotaka waliokopa kutupeleka mahakamani tungewashinda sijui kwanini ulewi unakichwa namasikio magumu kama mse wamuhama
Lisu, hilo halina mjadala.
Hiki kichwa nimse wamuhama kweli nimekwambia kashagulu kata yakalya wilaya uvinza wakatihuo uvuvi uliokuwepo na uliokaguliwa nikipe kipe hatutumii mabomu walasijui makokoro wala m asumu ninyavu na mataa tu unalazimisha sijui mabomu kwanza hatujawahi kuyaona wala yanatumikaje sisi hatujui kabisa kata ile inabwana samaki aulizwe zilichomwa zana gani sio huo usen unaolazimisha upumbavu wako unataka njano tuite nyeusi wewe mbona juha hivyo?Sawa uelewa wangu mdogo je mlikua wengi wenu hamkua mnafanya uvuvi haram je serikali jukumu lake kulinda raia na mali zenu haram.Wengine mbona zimebomolewa nyumba zetu lakini tumekaa kimya maaana ni kweli tulikua tuko kwenye hifadhi za barabara je ww unavua na mabomu unakamatwa unaanza kulia lia.