KERO Wananchi tunateseka kupita kwenye Kalavati kuvuka eneo la Reli ya SGR Mitaa ya Banana

KERO Wananchi tunateseka kupita kwenye Kalavati kuvuka eneo la Reli ya SGR Mitaa ya Banana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
photo_2024-07-17_17-20-19.jpg
Sisi Wakazi wa Banana, Gongolamboto Jijini Dar es Salaam tunakumbana na kero kubwa kwenye andaki (kalavati) ambalo tunalitumia kukatiza kwa chini kutoka upande mmoja kwenda mwingine kwenye eneo inapokatiza Reli ya Mwendokasi (SGR).

Licha ya mradi huo unaoratibiwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC), kujenga baadhi ya vivuko vya juu kwenye baadhi ya maeneo, lakini baada ya kubaini umbali uliopo kutoka daraja moja hadi jingine (njiapanda ya Segerea na Magereza) waliamua kuweka karabati la chini eneo la Banana ambalo linatumiwa na wananchi kwa sasa.
photo_2024-07-17_17-20-19 (2).jpg

photo_2024-07-17_17-20-13.jpg
Kwakuwa hairuhusiwi kuvukia sehemu nyingine yoyote tofauti na njia hizo wameweka uzio eneo zima linalozunguka reli inapokatiza pamoja na miundombinu yake.

Hata hivyo eneo la karabati ni kero kubwa kwa kuwa ni fupi na lina uwembamba ambao unasababisha tuvuke kama tunaruka kichurachura au wengine wakiwa wameinama licha ya eneo hilo kuwa refu karibia Mita 20.

Wanawake hususani wakina Mama wajawazito, wamama wenye watoto na wazee wamekuwa wakipata tabu.

Vilevile eneo hilo wamekuwa wakikatiza Watoto wa Shule, ambapo baadhi ya Wazazi wamekuwa na hofu ya Watoto wao kukabwa kwenye eneo hilo kwa sababu ndani kuna giza na eneo ni finyu, hali ambayo inaweza kupelekea baadhi ya watu wasio na nia njema kutendea uharifu.

Tunaomba mamlaka za juu ikiwemo Wizara ya Uchukuzi walifuatilie kwa ukaribu eneo hilo, kwani tumelalamika mara nyingi lakini hakuna hatua zinazochukuliwa.

Ufafanuzi wa TRC ~ Kadogosa: Changamoto ya Vivuko kwenye reli ya SGR ipo, vitajengwa vingine hivi karibuni
 
Sisi Wakazi wa Banana, Gongolamboto Jijini Dar es Salaam tunakumbana na kero kubwa kwenye andaki (kalavati) ambalo tunalitumia kukatiza kwa chini kutoka upande mmoja kwenda mwingine kwenye eneo inapokatiza Reli ya Mwendokasi (SGR).

Licha ya mradi huo unaoratibiwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC), kujenga baadhi ya vivuko vya juu kwenye baadhi ya maeneo, lakini baada ya kubaini umbali uliopo kutoka daraja moja hadi jingine (njiapanda ya Segerea na Magereza) waliamua kuweka karabati la chini eneo la Banana ambalo linatumiwa na wananchi kwa sasa.
Kwakuwa hairuhusiwi kuvukia sehemu nyingine yoyote tofauti na njia hizo wameweka uzio eneo zima linalozunguka reli inapokatiza pamoja na miundombinu yake.

Hata hivyo eneo la karabati ni kero kubwa kwa kuwa ni fupi na lina uwembamba ambao unasababisha tuvuke kama tunaruka kichurachura au wengine wakiwa wameinama licha ya eneo hilo kuwa refu karibia Mita 20.

Wanawake hususani wakina Mama wajawazito, wamama wenye watoto na wazee wamekuwa wakipata tabu.

Vilevile eneo hilo wamekuwa wakikatiza Watoto wa Shule, ambapo baadhi ya Wazazi wamekuwa na hofu ya Watoto wao kukabwa kwenye eneo hilo kwa sababu ndani kuna giza na eneo ni finyu, hali ambayo inaweza kupelekea baadhi ya watu wasio na nia njema kutendea uharifu.

Tunaomba mamlaka za juu ikiwemo Wizara ya Uchukuzi walifuatilie kwa ukaribu eneo hilo, kwani tumelalamika mara nyingi lakini hakuna hatua zinazochukuliwa.
Haya ni matokeo hasi yatokanayo na Watu wenye akili mbovu (short-sighted mind people) kupewa madaraka ya kuweza kutawala ktk nchi. Watawala katika nchi zetu hizi za Afrika hawana maono Wala hawana uwezo wa kuona mbali kifikra, uwezo wao wa akili ni Mdogo. Upeo wao wa kufikiri umefika kikomo, matokeo yake Wanatekeleza Miradi bila ya kuwa na Mipango madhubuti Kwanza Wala bila ya kufanya kwanza Upembuzi Yakinifu wa kina (Detailed Feasibility study), ni mwendo wa kukurupuka kwenye kila kitu wanachokifanya katika maisha yao.
 
Hahahah kumbe ulikuwa unapga picha uje kuposy huku mkuu
 
Sisi Wakazi wa Banana, Gongolamboto Jijini Dar es Salaam tunakumbana na kero kubwa kwenye andaki (kalavati) ambalo tunalitumia kukatiza kwa chini kutoka upande mmoja kwenda mwingine kwenye eneo inapokatiza Reli ya Mwendokasi (SGR).

Licha ya mradi huo unaoratibiwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC), kujenga baadhi ya vivuko vya juu kwenye baadhi ya maeneo, lakini baada ya kubaini umbali uliopo kutoka daraja moja hadi jingine (njiapanda ya Segerea na Magereza) waliamua kuweka karabati la chini eneo la Banana ambalo linatumiwa na wananchi kwa sasa.
Kwakuwa hairuhusiwi kuvukia sehemu nyingine yoyote tofauti na njia hizo wameweka uzio eneo zima linalozunguka reli inapokatiza pamoja na miundombinu yake.

Hata hivyo eneo la karabati ni kero kubwa kwa kuwa ni fupi na lina uwembamba ambao unasababisha tuvuke kama tunaruka kichurachura au wengine wakiwa wameinama licha ya eneo hilo kuwa refu karibia Mita 20.

Wanawake hususani wakina Mama wajawazito, wamama wenye watoto na wazee wamekuwa wakipata tabu.

Vilevile eneo hilo wamekuwa wakikatiza Watoto wa Shule, ambapo baadhi ya Wazazi wamekuwa na hofu ya Watoto wao kukabwa kwenye eneo hilo kwa sababu ndani kuna giza na eneo ni finyu, hali ambayo inaweza kupelekea baadhi ya watu wasio na nia njema kutendea uharifu.

Tunaomba mamlaka za juu ikiwemo Wizara ya Uchukuzi walifuatilie kwa ukaribu eneo hilo, kwani tumelalamika mara nyingi lakini hakuna hatua zinazochukuliwa.
Ok sawa,
Unashauri wafanyeje?
Wavunje reli ili nyie mupite?
 
Haya ni matokeo hasi yatokanayo na Watu wenye akili mbovu (short-sighted mind people) kupewa madaraka ya kuweza kutawala ktk nchi. Watawala katika nchi zetu hizi za Afrika hawana maono Wala hawana uwezo wa kuona mbali kifikra, uwezo wao wa akili ni Mdogo. Upeo wao wa kufikiri umefika kikomo, matokeo yake Wanatekeleza Miradi bila ya kuwa na Mipango madhubuti Kwanza Wala bila ya kufanya kwanza Upembuzi Yakinifu wa kina (Detailed Feasibility study)
Hao wameamua kutumia culvert la kupitishia maji kuvuka kwasababu wanaona vivuko vipo mbali. Hakuna nchi itajenga kivuko kila baada ya nyumba mbili tatu. Watz tunapenda short cuts tu.
 
Hao wameamua kutumia culvert la kupitishia maji kuvuka kwasababu wanaona vivuko vipo mbali. Hakuna nchi itajenga kivuko kila baada ya nyumba mbili tatu. Watz tunapenda short cuts tu.
You are completely wrong. Wananchi wa maeneo hayo wanalazimika kufanya hivyo kwa sababu ya kuwepo kwa Ujenzi mbaya sana wa hiyo Reli ya SGR.

Mradi wa Ujenzi wa Reli hiyo ya Mwendokasi (SGR) ulikosewa kuanzia tangu hatua za awali kabisa za Designing Stage. Reli hiyo ilipaswa iwe inapita juu kwenye madaraja ya juu (Overhead Bridges Railroads) kuanzia eneo la Posta Dsm CBD na ingeenda kushuka kuwa Surface Railroad kuanzia eneo la Pugu au Kisarawe Mkoani Pwani.
Au, Reli hiyo ya SGR ilipaswa kupita chini ya Ardhi kwenye Handaki (Underground Railroad) kwenye maeneo yote ya mijini au maeneo yenye msongamano wa Watu na Makazi.
 
Mradi wa Ujenzi wa Reli hiyo ya Mwendokasi (SGR) ulikosewa kuanzia tangu hatua za awali kabisa za Designing Stage. Reli hiyo ilipaswa iwe inapita juu kwenye madaraja ya juu (Overhead Bridges Railroads) kuanzia eneo la Posta Dsm CBD na ingeenda kushuka kuwa Surface Railroad kuanzia eneo la Pugu au Kisarawe Mkoani Pwani.
Au, Reli hiyo ya SGR ilipaswa kupita chini ya Ardhi kwenye Handaki (Underground Railroad) kwenye maeneo yote ya Kijiji yenye msongamano wa Watu na Makazi.

Walifanya kwa ubahili wapunguze gharama..


Hapo kusahihisha makosa waweke madaraja ya chuma ya kuvukiwa watu kama lile la buguruni
 
You are completely wrong. Wananchi wa maeneo hayo wanalazimika kufanya hivyo kwa sababu ya kuwepo kwa Ujenzi mbaya sana wa hiyo Reli ya SGR.

Mradi wa Ujenzi wa Reli hiyo ya Mwendokasi (SGR) ulikosewa kuanzia tangu hatua za awali kabisa za Designing Stage. Reli hiyo ilipaswa iwe inapita juu kwenye madaraja ya juu (Overhead Bridges Railroads) kuanzia eneo la Posta Dsm CBD na ingeenda kushuka kuwa Surface Railroad kuanzia eneo la Pugu au Kisarawe Mkoani Pwani.
Au, Reli hiyo ya SGR ilipaswa kupita chini ya Ardhi kwenye Handaki (Underground Railroad) kwenye maeneo yote ya mijini au maeneo yenye msongamano wa Watu na Makazi.
Haya ni mawazo na mapendekezo yako.
 
Haya ni mawazo na mapendekezo yako.
Kwenye nchi zote za wenzetu ambazo nimewahi kuzuru nimeona hali iko hivyo, Wala siyo mawazo au mapendekezo yangu Kama unavyofikiri.
Reli ya treni za mwendokasi kwenye maeneo ya mijini au kwenye msongamano wa Watu na Makazi aidha inapita juu kwenye Madaraja (Overhead Railroads) au inapita chini ya Ardhi kwenye Mahandaki (Underground Railroads), Wala haipiti juu kwenye usawa wa Ardhi (Surface Railroads).
 
Unatuhabarisha Jambo hapa...!

Hilo Karavati ni La Kuvukia watu au ni la kupitisha maji..? tuanzie hapo
Jamaa mzinguaji sana, hilo karavati ni la maji yeye anapita, subiri apite usiku wamkabe akili imkae sawa.
 
Haya ni matokeo hasi yatokanayo na Watu wenye akili mbovu (short-sighted mind people) kupewa madaraka ya kuweza kutawala ktk nchi. Watawala katika nchi zetu hizi za Afrika hawana maono Wala hawana uwezo wa kuona mbali kifikra, uwezo wao wa akili ni Mdogo. Upeo wao wa kufikiri umefika kikomo, matokeo yake Wanatekeleza Miradi bila ya kuwa na Mipango madhubuti Kwanza Wala bila ya kufanya kwanza Upembuzi Yakinifu wa kina (Detailed Feasibility study), ni mwendo wa kukurupuka kwenye kila kitu wanachokifanya katika maisha yao.
Hakuna lolote watanzania tumezidi uvivu, sehemu nyingi tunaanzisha njia na kuacha njia rasmi kisa uvivu
 
Sisi Wakazi wa Banana, Gongolamboto Jijini Dar es Salaam tunakumbana na kero kubwa kwenye andaki (kalavati) ambalo tunalitumia kukatiza kwa chini kutoka upande mmoja kwenda mwingine kwenye eneo inapokatiza Reli ya Mwendokasi (SGR).

Licha ya mradi huo unaoratibiwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC), kujenga baadhi ya vivuko vya juu kwenye baadhi ya maeneo, lakini baada ya kubaini umbali uliopo kutoka daraja moja hadi jingine (njiapanda ya Segerea na Magereza) waliamua kuweka karabati la chini eneo la Banana ambalo linatumiwa na wananchi kwa sasa.
Kwakuwa hairuhusiwi kuvukia sehemu nyingine yoyote tofauti na njia hizo wameweka uzio eneo zima linalozunguka reli inapokatiza pamoja na miundombinu yake.

Hata hivyo eneo la karabati ni kero kubwa kwa kuwa ni fupi na lina uwembamba ambao unasababisha tuvuke kama tunaruka kichurachura au wengine wakiwa wameinama licha ya eneo hilo kuwa refu karibia Mita 20.

Wanawake hususani wakina Mama wajawazito, wamama wenye watoto na wazee wamekuwa wakipata tabu.

Vilevile eneo hilo wamekuwa wakikatiza Watoto wa Shule, ambapo baadhi ya Wazazi wamekuwa na hofu ya Watoto wao kukabwa kwenye eneo hilo kwa sababu ndani kuna giza na eneo ni finyu, hali ambayo inaweza kupelekea baadhi ya watu wasio na nia njema kutendea uharifu.

Tunaomba mamlaka za juu ikiwemo Wizara ya Uchukuzi walifuatilie kwa ukaribu eneo hilo, kwani tumelalamika mara nyingi lakini hakuna hatua zinazochukuliwa.
Kwa mamlaka niliyonayo nawaangiza trc wang'oe hiyo reli haraka watu wanapata shida na kuchelewa kwenye pilika zao mmeziba doski za watu kupita..
 
Nendeni mlipowekewa vivuko mtazoea tuu...hilo calavat itakua ni la maji machafu...
 
Sisi Wakazi wa Banana, Gongolamboto Jijini Dar es Salaam tunakumbana na kero kubwa kwenye andaki (kalavati) ambalo tunalitumia kukatiza kwa chini kutoka upande mmoja kwenda mwingine kwenye eneo inapokatiza Reli ya Mwendokasi (SGR).​

Licha ya mradi huo unaoratibiwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC), kujenga baadhi ya vivuko vya juu kwenye baadhi ya maeneo, lakini baada ya kubaini umbali uliopo kutoka daraja moja hadi jingine (njiapanda ya Segerea na Magereza) waliamua kuweka karabati la chini eneo la Banana ambalo linatumiwa na wananchi kwa sasa.

Kwakuwa hairuhusiwi kuvukia sehemu nyingine yoyote tofauti na njia hizo wameweka uzio eneo zima linalozunguka reli inapokatiza pamoja na miundombinu yake.

Hata hivyo eneo la karabati ni kero kubwa kwa kuwa ni fupi na lina uwembamba ambao unasababisha tuvuke kama tunaruka kichurachura au wengine wakiwa wameinama licha ya eneo hilo kuwa refu karibia Mita 20.

Wanawake hususani wakina Mama wajawazito, wamama wenye watoto na wazee wamekuwa wakipata tabu.

Vilevile eneo hilo wamekuwa wakikatiza Watoto wa Shule, ambapo baadhi ya Wazazi wamekuwa na hofu ya Watoto wao kukabwa kwenye eneo hilo kwa sababu ndani kuna giza na eneo ni finyu, hali ambayo inaweza kupelekea baadhi ya watu wasio na nia njema kutendea uharifu.

Tunaomba mamlaka za juu ikiwemo Wizara ya Uchukuzi walifuatilie kwa ukaribu eneo hilo, kwani tumelalamika mara nyingi lakini hakuna hatua zinazochukuliwa.
Ni kweli kuna uzembe hapa ulifanyika. In fact caravat (subway) mnalovukia sio kwa ajili ya binadamu, ni la wanyama kama mbuzi, mbwa paka nk, au kwa ajili ya maji.

Ni wazi uangalifu haukufanyika kuangalia maeneo yenye makazi mengi ya watu na kuhakikisha zinawekwa subways za kutosha ili watu wavuke bila usumbufu. Ushauri wangu ni kuwasiliana na mamlaka za TRC, ambao najua sio rahisi kuwasikiliza, na hivyo mjiandae kwenda kuwashitaki mahakamani kwamba hawakuwapa ufikirio unaostahili. Itabidi watoe tenda ya kuongeza subways bila kuingilia reli, na njia pekee labda ni kuchimba sehemu za kuvukia(descend, plateau and ascend subways) Hizi ni subways za ngazi ambazo zinateremka chini, zinaenda flat, kisha unapanda ngazi kutoka, kama mchoro hapo chini unavyoonyesha. Hizi zinaweza kujengwa bila kuingilia operations za SGR

1721308927936.png
 

Attachments

  • 1721307411634.png
    1721307411634.png
    10.8 KB · Views: 5
Back
Top Bottom