Wananchi tunatoa angalizo mapema kuhusu tamasha la 'wananchi day', MC wetu ni Kitenge na Zembwela

Wananchi tunatoa angalizo mapema kuhusu tamasha la 'wananchi day', MC wetu ni Kitenge na Zembwela

Inabidi tuambiane mapema uongozi wa Yanga ufahamu msimamo wa Wananchi ni kwamba hatutaki kuona takataka inayoitwa Manara.

Mc wetu ni Maulid Kitenge na Zembwela imeisha hiyo.

Ally Kamwe ni Boss hii siyo kazi yake.
Maumivu ya
Bandari
Ngorongoro
 
hahaha au mnaogopa meno yake 🤣🤣🤣🤣 ligi ianze nimemiss vituko vya soka la bongo
 
M binafsi swez kumkataa manara
At first nlkua namkataa kama wewe ila nlvofatlia media conference zake.....nmeona ana kitu Cha kutusaidia
 
M binafsi swez kumkataa manara
At first nlkua namkataa kama wewe ila nlvofatlia media conference zake.....nmeona ana kitu Cha kutusaidia
uneducated fo*l can't help yanga at this stage

manara akifukuzwa atawatukana yanga sana. not a good person.
 
Back
Top Bottom