Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo wenu wenyewe tuhangaike naye anatuhusu nini? Ukurasa wake Simba ulishafungwa siku nyingi mambo yenu ya ndani ya vita ya Haji Manara na Ally Kamwe msituhusishe sisi wakiuana andaeni mazishi tu.Watu wa Simba mnahangaika na Manara
Msimamo wakoInabidi tuambiane mapema uongozi wa Yanga ufahamu msimamo wa Wananchi ni kwamba hatutaki kuona takataka inayoitwa Manara.
Mc wetu ni Maulid Kitenge na Zembwela imeisha hiyo.
Ally Kamwe ni Boss hii siyo kazi yake.
Haitakuwi kuwa na akiki mgandoM binafsi swez kumkataa manara
At first nlkua namkataa kama wewe ila nlvofatlia media conference zake.....nmeona ana kitu Cha kutusaidia
Kwakuwa mazeruzeru ni bidhaa adimu basi ipo game itahitaji kafara la zeruzeru nadhani Yanga haitopata tabu.Manara hajawai kushindwa vita,atakuepo na kipaza atashika na ataongea.
Toka Haji arudi, nimesikiliza baadhi ya clips zake, mbali na changamoto ambazo anazo ila kwenye suala la uhamasishaji, usemaji, influence n.k Haji Manara bado yupo mbali.Linapokuja suala utambulisho na ushereheshaji kwenye hayo matamasha, tukubali tu ukweli; Haji Sunday Manara hana mpinzani ndani hii nchi. Na hapa ni tangu alipokuwa yupo Simba.
Mkuu kwenye mambo kama haya sio vizuri kuingiza utani wa namna hii.Kwakuwa mazeruzeru ni bidhaa adimu basi ipo game itahitaji kafara la zeruzeru nadhani Yanga haitopata tabu.
Yaani Kipenzi cha Tajiri GSM asionekane? Mnataka sasa Kususiwa Timu yenu mrudi katika kutembeza Mabakuli yenu au?Nakubali kabisa, na Manara asionekane kabisa
Ana mchango wake mkuuuneducated fo*l can't help yanga at this stage
manara akifukuzwa atawatukana yanga sana. not a good person.
Who pay have a say.Inabidi tuambiane mapema uongozi wa Yanga ufahamu msimamo wa Wananchi ni kwamba hatutaki kuona takataka inayoitwa Manara.
Mc wetu ni Maulid Kitenge na Zembwela imeisha hiyo.
Ally Kamwe ni Boss hii siyo kazi yake.