Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
AsanteeManara akasimamie maduka ya gsm
Acheni Unaa nyie UtoInabidi tuambiane mapema uongozi wa Yanga ufahamu msimamo wa Wananchi ni kwamba hatutaki kuona takataka inayoitwa Manara.
Mc wetu ni Maulid Kitenge na Zembwela imeisha hiyo.
Ally Kamwe ni Boss hii siyo kazi yake.
Maumivu yaInabidi tuambiane mapema uongozi wa Yanga ufahamu msimamo wa Wananchi ni kwamba hatutaki kuona takataka inayoitwa Manara.
Mc wetu ni Maulid Kitenge na Zembwela imeisha hiyo.
Ally Kamwe ni Boss hii siyo kazi yake.
Huyu atawafaa sana maana hii timu imeshakuwa vichekesho.Tunamtaka MC mboneke
Kolozdadi mchukueni mc garaB kwenye shughuli yenu.Huyu atawafaa sana maana hii timu imeshakuwa vichekesho.
Wakimkosa huyu, Kitenge anawafaa ili waendelee kupromoti vitenge
uneducated fo*l can't help yanga at this stageM binafsi swez kumkataa manara
At first nlkua namkataa kama wewe ila nlvofatlia media conference zake.....nmeona ana kitu Cha kutusaidia