Wananchi tutumie mbinu hizi kujilinda dhidi ya "Watu Wasiojulikana"

Wananchi tutumie mbinu hizi kujilinda dhidi ya "Watu Wasiojulikana"

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267
Jeshi la polisi [TANPOL] lenye jukumu la kikatiba na kisheria kulinda usalama wa raia na mali zao limekana kuhusika na ukamataji wa watu hovyo nje ya utaratibu wa kisheria kisha kuwapeleka kusikojulikana, kuwatesa na baadae kuwaua na kutupa miili yao porini au nyikani.

Kama ndiyo hivi, maana yake ni kwamba watu hawa ambao mara zote wanapomwendea mlengwa wanaotaka kumtesa au kumuua hujitambulisha kama polisi. TANPOL imekana kuwa sio wao. Kama ni hivi, maana yake hawa watu ni kikundi cha uhalifu na ujambazi tu..

Lakini inashangaza zaidi kuwa TANPOL pamoja na kuwa jukumu lao la msingi ni kupambana na uhalifu kama huu, lakini wameshindwa kukidhibiti kisha kukitia nguvuni kikundi hiki cha kigaidi. Kwa sababu wanapofanya uhalifu huu kwa jina la "POLISI" maana yake wanajii - impersonate na kutumia jina la mtu mwingine kufanya uhalifu au tendo lilote, ni kosa kisheria.

Cha ajabu na cha kushangaza kabisa, polisi hawaoni kuwa hiyo ni shida na wanapaswa kushughulika nayo badala yake wanajibu kirahisi tu "Jeshi la polisi halihusiki.

Haya majibu yanaingia akilini kweli ndugu zangu?

Ushahidi ni matukio yasiyoisha na wahusika wanaotenda uhalifu huu kutokamatwa hata mmoja na TANPOL pengine hawafanyi hata uchunguzi.

Shida hii ilianzia mwaka 2017 pale ambapo kikundi hiki kilijaribu kumuua mwanasiasa, mwanasheria na mwanaharakati maarufu sana Tundu Lissu saa 7 mchana kweupe katika eneo la makazi ya viongozi AREA D - Dodoma.

Polisi hawajawahi kuchunguza wala kuchukua hatua zozote kwa wahusika wa tukio hili la kinyama kabisa kuwahi kutokea Tanganyika tangu enzi za ukoloni huku ushahidi ukiwa wazi kabisa na vidole vikiwaelekea baadhi ya viongozi wa serikali.

Mimi naamini kabisa kuwa, kikundi hiki cha uhalifu na ujambazi ni project mahususi ya viongozi wakubwa wa siasa walioko ktk Chama Cha Mapinduzi - CCM na serikalini na ktk vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hii kwa ajili ya kupambana na wanaowaona tishio ktk mipango yao ya kupata na kuendelea kubaki ktk madaraka yao ya kisiasa.

Soma Pia: Kupotea Kwa wananchi kadhaa na serikali kuamua kukaa kimya, tafsiri yake ni kuwa wananchi tutaamini kuwa, serikali yetu inahusika!

SASA WANANCHI TUFANYE NINI?

Jeshi la polisi (TANPOL) katika eneo ni wazi hawataki kushughulikia au wameshindwa kuushughulikia uhalifu huu kwa sababu wakubwa wao wanahusika. Sasa wananchi tunapaswa kuwasaidia kufanya kazi yao ya kisheria na kikatiba.

Na kwa maoni yangu wananchi tuchukue jukumu la kujilinda wenyewe kwa kutumia akili na hekima aliyotupa Mungu.

Kwanini tukubali vijana wetu, watoto wetu, baba zetu, mama zetu wakamatwe, wateswe na wapotezwe na kisha kuuwawa na majambazi hawa "kwa jina la polisi" kizembe na kirahisi hivi?

TUWASAIDIE POLISI KUFANYA KAZI YAO NA HIZI NI BAADHI YA MBINU ZA KUZITUMIA ILI HAWA WASIOJULIKANA WAJULIKANE:

1. Ukiipokea vitisho kwa yeyote vya "tutakushughulikia", mosi wataarifu jamaa zako wa karibu na weka rekodi ya namba za simu na sauti ya kila anayekupigia simu za namna hiyo.

2. Usiwe mwepesi kuitikia wito wa kwenda popote bila uchukua tahadhari muhimu.

3. Kama wanakufuata nyumbani, kwa sababu utakuwa unazo taarifa za kufuatiliwa, basi weka kundi la watu tayari watakapokuja na kutaka kufanya lolote.

4. Kama wanaokuja watajitambulisha kuwa ni polisi na wakaonesha ID zao. Hakiki kituo cha polisi wanachotoka na confirm na mkuu wa kituo hicho kabla hawajafanya lolote. Ukipata uhakika wa haya, hao ni polisi unaweza kwenda nao kituoni.

5. Kama waliokuja kukukamata wakijidai ni polisi na ktk utambulisha uka suspect vitu vusivyo vya kawaida, na ukawatilia shaka piga kelele na tulio karibu na kwa sababu tumejipanga na tumejiandaa, haraka sana tutafika na kukabilana nao hata kama wana silaha nyingi kiasi gani.

6. Tujipange na kuunda vikundi kukabiliana na majambazi haya. Hawawezi kutushinda. Ni wakati wa kuya - arrest na kuwatambua hawa watu ni kina nani na wanatumwa na nani. IINAWEZEKANA, TUAMUE TU maana polisi wameelemewa na jukumu hili.

7. Tutumie njia mbalimbali za mawasiliano kupeana taarifa ikiwemo WhatsApp groups, simu nk
 
Jeshi la polisi [TANPOL] lenye jukumu la kikatiba na kisheria kulinda usalama wa raia na mali zao limekana kuhusika na ukamataji wa watu hovyo nje ya utaratibu wa kisheria kisha kuwapeleka kusikojulikana, kuwatesa na baadae kuwaua na kutupa miili yao porini au nyikani..........

Kama ndiyo hivi, maana yake ni kwamba watu hawa ambao mara zote wanapomwendea mlengwa wanaotaka kumtesa au kumuua hujitambulisha kama polisi. TANPOL imekana kuwa sio wao. Kama ni hivi, maana yake hawa watu ni kikundi cha uhalifu na ujambazi tu.......

Lakini inashangaza zaidi kuwa TANPOL pamoja na kuwa jukumu lao la msingi ni kupambana uhalifu kama huu, lakini wameshindwa kukidhibiti kikundi hiki cha kigaidi.........

Ushahidi ni matukio yasiyoisha na wahusika wanaotenda uhalifu huu kutokamatwa hata mmoja na TANPOL pengine hawafanyi hata uchunguzi.......

Shida hii ilianzia mwaka 2017 pale ambapo kikundi hiki kilijaribu kumuua mwanasiasa, mwanasheria na mwanaharakati maarufu sana Tundu Lissu saa 7 mchana kweupe katika eneo la makazi ya viongozi AREA D - Dodoma.......

Polisi hawajawahi kuchunguza wala kuchukua hatua zozote kwa wahusika wa tukio hili la kinyama kabisa kuwahi kutokea Tanganyika tangu enzi za ukoloni huku ushahidi ukiwa wazi kabisa na vidole vikiwaelekea baadhi ya viongozi wa serikali.......

Mimi naamini kabisa kuwa, kikundi hiki cha uhalifu na ujambazi ni project mahususi ya viongozi wakubwa wa siasa walioko ktk Chama Cha Mapinduzi - CCM na serikalini na ktk vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hii kwa ajili ya kupambana na wanaowaona tishio ktk mipango yao ya kupata na kuendelea kubaki ktk madaraka yao ya kisiasa........

SASA WANANCHI TUFANYE NINI?

Jeshi la polisi (TANPOL) katika eneo ni wazi hawataki kushughulikia au wameshindwa kuushughulikia uhalifu huu kwa sababu wakubwa wao wanahusika. Sasa wananchi tunapaswa kuwasaidia kufanya kazi yao ya kisheria na kikatiba.......

Na kwa maoni yangu wananchi tuchukue jukumu la kujilinda wenyewe kwa kutumia akili na hekima aliyotupa Mungu.............

Kwanini tukubali vijana wetu, watoto wetu, baba zetu, mama zetu wakamatwe, wateswe na wapotezwe na kisha kuuwawa na majambazi hawa "kwa jina la polisi" kizembe na kirahisi hivi....?

TUWASAIDIE POLISI KUFANYA KAZI YAO NA HIZI NI BAADHI YA MBINU ZA KUZITUMIA ILI HAWA WASIOJULIKANA WAJULIKANE:

1. Ukiipokea vitisho kwa yeyote vya "tutakushughulikia", mosi wataarifu jamaa zako wa karibu na weka rekodi ya namba za simu na sauti ya kila anayekupigia simu za namna hiyo...

2. Usiwe mwepesi kuitikia wito wa kwenda popote bila uchukua tahadhari muhimu....

3. Kama wanakufuata nyumbani, kwa sababu utakuwa unazo taarifa za kufuatiliwa, basi weka kundi la watu tayari watakapokuja na kutaka kufanya lolote....

4. Kama wanaokuja watajitambulisha kuwa ni polisi na wakaonesha ID zao. Hakiki kituo cha polisi wanachotoka na confirm na mkuu wa kituo hicho kabla hawajafanya lolote. Ukipata uhakika wa haya, hao ni polisi unaweza kwenda nao kituoni.

5. Kama waliokuja kukukamata wakijidai ni polisi na ktk utambulisha uka suspect vitu vusivyo vya kawaida, na ukawatilia shaka piga kelele na tulio karibu na kwa sababu tumejipanga na tumejiandaa, haraka sana tutafika na kukabilana nao hata kama wana silaha nyingi kiasi gani....

6. Tujipange na kuunda vikundi kukabiliana na majambazi haya. Hawawezi kutushinda. Ni wakati wa kuya - arrest na kuwatambua hawa watu ni kina nani na wanatumwa na nani. IINAWEZEKANA, TUAMUE TU maana polisi wameelemewa na jukumu hili....

7. Tutumie njia mbalimbali za mawasiliano kupeana taarifa ikiwemo WhatsApp groups, simu nk
Sasa huyo Spika Tulio alikuwa anaongea upuuzi gani hadi akakataa hoja ya dharura ya mbunge Aidah Kenani kuhusu watu kutekwa isijadiliwe…eti imekosewa , so watu waendelee kipotea na kuuawa hadi wapatie kuleta hoja?
 
Kukana tu huku wakishindwa kuwakamata hao wahusika; inamaanisha nini? Kwani jukumu la polisi ni nini? Kukana tuhuma, au kulinda raia na mali zao?

Mimi nadhani watu waanze tu kujilinda wenyewe. Mtu anakuja kukuvamia, unamchoma na bisibisi! Safi.
 
Scotland yard ihusike kuwasaka washenzi

Don't go there first......

Hakuna cha Scotland Yard wala CIA....

Na hawawezi kuruhusu hilo kwa sababu wenye kuamua CIA au Scotland Yard au Mossad waje ni viongozi wa chama na serikali hawahawa ambao ni watuhumiwa wa kuhusika kwenye ujambazi na uhalifu huu...

Sisi wananchi tukiamua kushirikiana tunaweza kuwakamata hawa watu na tukawajua ni kina nani na wanatumwa na nani...!

Asikudanganye mtu. Hii ni project ya wanasiasa viongozi wakubwa ndani ya CCM na serikalini.....

Hii ni vita ya madaraka ya kisiasa tu, hakuna kingine. Gharama yake ni damu za watu.....

Hawa wako tayari kumtoa uhai yeyote wanayedhani ni tishio la madaraka yao ya kisiasa....

Tuwe kama Luhaga Mpina. Tusikubali kuuwawa kizembe namna hii...

Sema "YEYOTE ANAYETAKA KUNIUA, AJIANDAE KUFA YEYE KWANZA NA MKE/MUME NA WATOTO WAKE....."
 
Jeshi la polisi [TANPOL] lenye jukumu la kikatiba na kisheria kulinda usalama wa raia na mali zao limekana kuhusika na ukamataji wa watu hovyo nje ya utaratibu wa kisheria kisha kuwapeleka kusikojulikana, kuwatesa na baadae kuwaua na kutupa miili yao porini au nyikani.

Kama ndiyo hivi, maana yake ni kwamba watu hawa ambao mara zote wanapomwendea mlengwa wanaotaka kumtesa au kumuua hujitambulisha kama polisi. TANPOL imekana kuwa sio wao. Kama ni hivi, maana yake hawa watu ni kikundi cha uhalifu na ujambazi tu..

Lakini inashangaza zaidi kuwa TANPOL pamoja na kuwa jukumu lao la msingi ni kupambana na uhalifu kama huu, lakini wameshindwa kukidhibiti kisha kukitia nguvuni kikundi hiki cha kigaidi. Kwa sababu wanapofanya uhalifu huu kwa jina la "POLISI" maana yake wanajii - impersonate na kutumia jina la mtu mwingine kufanya uhalifu au tendo lilote, ni kosa kisheria..

Cha ajabu na cha kushangaza kabisa, polisi hawaoni kuwa hiyo ni shida na wanapaswa kushughulika nayo badala yake wanajibu kirahisi tu "Jeshi la polisi halihusiki..

Haya majibu yanaingia akilini kweli ndugu zangu....?

Ushahidi ni matukio yasiyoisha na wahusika wanaotenda uhalifu huu kutokamatwa hata mmoja na TANPOL pengine hawafanyi hata uchunguzi..

Shida hii ilianzia mwaka 2017 pale ambapo kikundi hiki kilijaribu kumuua mwanasiasa, mwanasheria na mwanaharakati maarufu sana Tundu Lissu saa 7 mchana kweupe katika eneo la makazi ya viongozi AREA D - Dodoma.

Polisi hawajawahi kuchunguza wala kuchukua hatua zozote kwa wahusika wa tukio hili la kinyama kabisa kuwahi kutokea Tanganyika tangu enzi za ukoloni huku ushahidi ukiwa wazi kabisa na vidole vikiwaelekea baadhi ya viongozi wa serikali.......

Mimi naamini kabisa kuwa, kikundi hiki cha uhalifu na ujambazi ni project mahususi ya viongozi wakubwa wa siasa walioko ktk Chama Cha Mapinduzi - CCM na serikalini na ktk vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hii kwa ajili ya kupambana na wanaowaona tishio ktk mipango yao ya kupata na kuendelea kubaki ktk madaraka yao ya kisiasa.

SASA WANANCHI TUFANYE NINI?

Jeshi la polisi (TANPOL) katika eneo ni wazi hawataki kushughulikia au wameshindwa kuushughulikia uhalifu huu kwa sababu wakubwa wao wanahusika. Sasa wananchi tunapaswa kuwasaidia kufanya kazi yao ya kisheria na kikatiba.

Na kwa maoni yangu wananchi tuchukue jukumu la kujilinda wenyewe kwa kutumia akili na hekima aliyotupa Mungu.

Kwanini tukubali vijana wetu, watoto wetu, baba zetu, mama zetu wakamatwe, wateswe na wapotezwe na kisha kuuwawa na majambazi hawa "kwa jina la polisi" kizembe na kirahisi hivi....?

TUWASAIDIE POLISI KUFANYA KAZI YAO NA HIZI NI BAADHI YA MBINU ZA KUZITUMIA ILI HAWA WASIOJULIKANA WAJULIKANE:

1. Ukiipokea vitisho kwa yeyote vya "tutakushughulikia", mosi wataarifu jamaa zako wa karibu na weka rekodi ya namba za simu na sauti ya kila anayekupigia simu za namna hiyo...

2. Usiwe mwepesi kuitikia wito wa kwenda popote bila uchukua tahadhari muhimu....

3. Kama wanakufuata nyumbani, kwa sababu utakuwa unazo taarifa za kufuatiliwa, basi weka kundi la watu tayari watakapokuja na kutaka kufanya lolote....

4. Kama wanaokuja watajitambulisha kuwa ni polisi na wakaonesha ID zao. Hakiki kituo cha polisi wanachotoka na confirm na mkuu wa kituo hicho kabla hawajafanya lolote. Ukipata uhakika wa haya, hao ni polisi unaweza kwenda nao kituoni.

5. Kama waliokuja kukukamata wakijidai ni polisi na ktk utambulisha uka suspect vitu vusivyo vya kawaida, na ukawatilia shaka piga kelele na tulio karibu na kwa sababu tumejipanga na tumejiandaa, haraka sana tutafika na kukabilana nao hata kama wana silaha nyingi kiasi gani.

6. Tujipange na kuunda vikundi kukabiliana na majambazi haya. Hawawezi kutushinda. Ni wakati wa kuya - arrest na kuwatambua hawa watu ni kina nani na wanatumwa na nani. IINAWEZEKANA, TUAMUE TU maana polisi wameelemewa na jukumu hili.

7. Tutumie njia mbalimbali za mawasiliano kupeana taarifa ikiwemo WhatsApp groups, simu nk
Ni kweli kabisa. Wanaohusika na huu uhuni wala hawana kabisa weledi na ni vikundi vya wahuni.
 
Ni kweli kabisa. Wanaohusika na huu uhuni wala hawana kabisa weledi na ni vikundi vya wahuni.
Hii ni project ya baadhi Viongozi wakubwa wa kisiasa ndani ya serikali na chama kinachoongoza serikali - CCM. Ni vita ya maslahi ya madaraka ya kisiasa kwa gharama ya damu za watu.......

Wametengeneza unholy triangle wakiwahusisha baadhi viongozi wa taasisi kwenye vyombo vya ulinzi na usalama (polisi, TISS na JWTZ), mahakama na Bunge.....

Ni vita ngumu na hatari.....

Lakini katika vita hivi siku zote UMMA hushinda kupitia nguvu ya umma - PEOPLE'S POWER.....!;
 
Jeshi la polisi [TANPOL] lenye jukumu la kikatiba na kisheria kulinda usalama wa raia na mali zao limekana kuhusika na ukamataji wa watu hovyo nje ya utaratibu wa kisheria kisha kuwapeleka kusikojulikana, kuwatesa na baadae kuwaua na kutupa miili yao porini au nyikani.

Kama ndiyo hivi, maana yake ni kwamba watu hawa ambao mara zote wanapomwendea mlengwa wanaotaka kumtesa au kumuua hujitambulisha kama polisi. TANPOL imekana kuwa sio wao. Kama ni hivi, maana yake hawa watu ni kikundi cha uhalifu na ujambazi tu..

Lakini inashangaza zaidi kuwa TANPOL pamoja na kuwa jukumu lao la msingi ni kupambana na uhalifu kama huu, lakini wameshindwa kukidhibiti kisha kukitia nguvuni kikundi hiki cha kigaidi. Kwa sababu wanapofanya uhalifu huu kwa jina la "POLISI" maana yake wanajii - impersonate na kutumia jina la mtu mwingine kufanya uhalifu au tendo lilote, ni kosa kisheria..

Cha ajabu na cha kushangaza kabisa, polisi hawaoni kuwa hiyo ni shida na wanapaswa kushughulika nayo badala yake wanajibu kirahisi tu "Jeshi la polisi halihusiki..

Haya majibu yanaingia akilini kweli ndugu zangu....?

Ushahidi ni matukio yasiyoisha na wahusika wanaotenda uhalifu huu kutokamatwa hata mmoja na TANPOL pengine hawafanyi hata uchunguzi..

Shida hii ilianzia mwaka 2017 pale ambapo kikundi hiki kilijaribu kumuua mwanasiasa, mwanasheria na mwanaharakati maarufu sana Tundu Lissu saa 7 mchana kweupe katika eneo la makazi ya viongozi AREA D - Dodoma.

Polisi hawajawahi kuchunguza wala kuchukua hatua zozote kwa wahusika wa tukio hili la kinyama kabisa kuwahi kutokea Tanganyika tangu enzi za ukoloni huku ushahidi ukiwa wazi kabisa na vidole vikiwaelekea baadhi ya viongozi wa serikali.

Mimi naamini kabisa kuwa, kikundi hiki cha uhalifu na ujambazi ni project mahususi ya viongozi wakubwa wa siasa walioko ktk Chama Cha Mapinduzi - CCM na serikalini na ktk vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hii kwa ajili ya kupambana na wanaowaona tishio ktk mipango yao ya kupata na kuendelea kubaki ktk madaraka yao ya kisiasa.

Soma Pia: Kupotea Kwa wananchi kadhaa na serikali kuamua kukaa kimya, tafsiri yake ni kuwa wananchi tutaamini kuwa, serikali yetu inahusika!

SASA WANANCHI TUFANYE NINI?

Jeshi la polisi (TANPOL) katika eneo ni wazi hawataki kushughulikia au wameshindwa kuushughulikia uhalifu huu kwa sababu wakubwa wao wanahusika. Sasa wananchi tunapaswa kuwasaidia kufanya kazi yao ya kisheria na kikatiba.

Na kwa maoni yangu wananchi tuchukue jukumu la kujilinda wenyewe kwa kutumia akili na hekima aliyotupa Mungu.

Kwanini tukubali vijana wetu, watoto wetu, baba zetu, mama zetu wakamatwe, wateswe na wapotezwe na kisha kuuwawa na majambazi hawa "kwa jina la polisi" kizembe na kirahisi hivi....?

TUWASAIDIE POLISI KUFANYA KAZI YAO NA HIZI NI BAADHI YA MBINU ZA KUZITUMIA ILI HAWA WASIOJULIKANA WAJULIKANE:

1. Ukiipokea vitisho kwa yeyote vya "tutakushughulikia", mosi wataarifu jamaa zako wa karibu na weka rekodi ya namba za simu na sauti ya kila anayekupigia simu za namna hiyo...

2. Usiwe mwepesi kuitikia wito wa kwenda popote bila uchukua tahadhari muhimu....

3. Kama wanakufuata nyumbani, kwa sababu utakuwa unazo taarifa za kufuatiliwa, basi weka kundi la watu tayari watakapokuja na kutaka kufanya lolote....

4. Kama wanaokuja watajitambulisha kuwa ni polisi na wakaonesha ID zao. Hakiki kituo cha polisi wanachotoka na confirm na mkuu wa kituo hicho kabla hawajafanya lolote. Ukipata uhakika wa haya, hao ni polisi unaweza kwenda nao kituoni.

5. Kama waliokuja kukukamata wakijidai ni polisi na ktk utambulisha uka suspect vitu vusivyo vya kawaida, na ukawatilia shaka piga kelele na tulio karibu na kwa sababu tumejipanga na tumejiandaa, haraka sana tutafika na kukabilana nao hata kama wana silaha nyingi kiasi gani.

6. Tujipange na kuunda vikundi kukabiliana na majambazi haya. Hawawezi kutushinda. Ni wakati wa kuya - arrest na kuwatambua hawa watu ni kina nani na wanatumwa na nani. IINAWEZEKANA, TUAMUE TU maana polisi wameelemewa na jukumu hili.

7. Tutumie njia mbalimbali za mawasiliano kupeana taarifa ikiwemo WhatsApp groups, simu nk
Yale Yale tu,fucking cowards, ni kama vile wanavyodai hawajuhi aliyempiga risasi Lisu,
Kama hawajuhi, basi hii nchi ni ya hovyo Sana, kama rogue elements wanaweza kuingia nchi ni na kufanya uhalifu na kuondoka, bila kugundulika, na, wao, ni wapumbavu Sana, na serikali inabidi ipinduliwe, kama imeshindwa basic task ya kulinda maisha ya watu, Majambazi watekaji tumeisgaambiwa wapo changombe, sasa polisi wstoke waruonyeshe kwamba pale changombe hakuna jumba utessji, Bali ni nyumba ya, kuswalia tu! Shenzi, sana
 
Yale Yale tu,fucking cowards, ni kama vile wanavyodai hawajuhi aliyempiga risasi Lisu,
Kama hawajuhi, basi hii nchi ni ya hovyo Sana, kama rogue elements wanaweza kuingia nchi ni na kufanya uhalifu na kuondoka, bila kugundulika, na, wao, ni wapumbavu Sana, na serikali inabidi ipinduliwe, kama imeshindwa basic task ya kulinda maisha ya watu, Majambazi watekaji tumeisgaambiwa wapo changombe, sasa polisi wstoke waruonyeshe kwamba pale changombe hakuna jumba utessji, Bali ni nyumba ya, kuswalia tu! Shenzi, sana
mauaji yote yanafanywa na polisi. FULL STOP!
 
Sativa alituchorea ramani ya vita, ukitekwa dar, unapelekwa changombe police,(gereji) kisha unaenda kwa chief of operation (arusha) kuhakikiwa, kisha anatoa command ya ku finalize, hivyo yaani.
 
Jeshi la polisi [TANPOL] lenye jukumu la kikatiba na kisheria kulinda usalama wa raia na mali zao limekana kuhusika na ukamataji wa watu hovyo nje ya utaratibu wa kisheria kisha kuwapeleka kusikojulikana, kuwatesa na baadae kuwaua na kutupa miili yao porini au nyikani.

Kama ndiyo hivi, maana yake ni kwamba watu hawa ambao mara zote wanapomwendea mlengwa wanaotaka kumtesa au kumuua hujitambulisha kama polisi. TANPOL imekana kuwa sio wao. Kama ni hivi, maana yake hawa watu ni kikundi cha uhalifu na ujambazi tu..

Lakini inashangaza zaidi kuwa TANPOL pamoja na kuwa jukumu lao la msingi ni kupambana na uhalifu kama huu, lakini wameshindwa kukidhibiti kisha kukitia nguvuni kikundi hiki cha kigaidi. Kwa sababu wanapofanya uhalifu huu kwa jina la "POLISI" maana yake wanajii - impersonate na kutumia jina la mtu mwingine kufanya uhalifu au tendo lilote, ni kosa kisheria.

Cha ajabu na cha kushangaza kabisa, polisi hawaoni kuwa hiyo ni shida na wanapaswa kushughulika nayo badala yake wanajibu kirahisi tu "Jeshi la polisi halihusiki.

Haya majibu yanaingia akilini kweli ndugu zangu?

Ushahidi ni matukio yasiyoisha na wahusika wanaotenda uhalifu huu kutokamatwa hata mmoja na TANPOL pengine hawafanyi hata uchunguzi.

Shida hii ilianzia mwaka 2017 pale ambapo kikundi hiki kilijaribu kumuua mwanasiasa, mwanasheria na mwanaharakati maarufu sana Tundu Lissu saa 7 mchana kweupe katika eneo la makazi ya viongozi AREA D - Dodoma.

Polisi hawajawahi kuchunguza wala kuchukua hatua zozote kwa wahusika wa tukio hili la kinyama kabisa kuwahi kutokea Tanganyika tangu enzi za ukoloni huku ushahidi ukiwa wazi kabisa na vidole vikiwaelekea baadhi ya viongozi wa serikali.

Mimi naamini kabisa kuwa, kikundi hiki cha uhalifu na ujambazi ni project mahususi ya viongozi wakubwa wa siasa walioko ktk Chama Cha Mapinduzi - CCM na serikalini na ktk vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hii kwa ajili ya kupambana na wanaowaona tishio ktk mipango yao ya kupata na kuendelea kubaki ktk madaraka yao ya kisiasa.

Soma Pia: Kupotea Kwa wananchi kadhaa na serikali kuamua kukaa kimya, tafsiri yake ni kuwa wananchi tutaamini kuwa, serikali yetu inahusika!

SASA WANANCHI TUFANYE NINI?

Jeshi la polisi (TANPOL) katika eneo ni wazi hawataki kushughulikia au wameshindwa kuushughulikia uhalifu huu kwa sababu wakubwa wao wanahusika. Sasa wananchi tunapaswa kuwasaidia kufanya kazi yao ya kisheria na kikatiba.

Na kwa maoni yangu wananchi tuchukue jukumu la kujilinda wenyewe kwa kutumia akili na hekima aliyotupa Mungu.

Kwanini tukubali vijana wetu, watoto wetu, baba zetu, mama zetu wakamatwe, wateswe na wapotezwe na kisha kuuwawa na majambazi hawa "kwa jina la polisi" kizembe na kirahisi hivi?

TUWASAIDIE POLISI KUFANYA KAZI YAO NA HIZI NI BAADHI YA MBINU ZA KUZITUMIA ILI HAWA WASIOJULIKANA WAJULIKANE:

1. Ukiipokea vitisho kwa yeyote vya "tutakushughulikia", mosi wataarifu jamaa zako wa karibu na weka rekodi ya namba za simu na sauti ya kila anayekupigia simu za namna hiyo.

2. Usiwe mwepesi kuitikia wito wa kwenda popote bila uchukua tahadhari muhimu.

3. Kama wanakufuata nyumbani, kwa sababu utakuwa unazo taarifa za kufuatiliwa, basi weka kundi la watu tayari watakapokuja na kutaka kufanya lolote.

4. Kama wanaokuja watajitambulisha kuwa ni polisi na wakaonesha ID zao. Hakiki kituo cha polisi wanachotoka na confirm na mkuu wa kituo hicho kabla hawajafanya lolote. Ukipata uhakika wa haya, hao ni polisi unaweza kwenda nao kituoni.

5. Kama waliokuja kukukamata wakijidai ni polisi na ktk utambulisha uka suspect vitu vusivyo vya kawaida, na ukawatilia shaka piga kelele na tulio karibu na kwa sababu tumejipanga na tumejiandaa, haraka sana tutafika na kukabilana nao hata kama wana silaha nyingi kiasi gani.

6. Tujipange na kuunda vikundi kukabiliana na majambazi haya. Hawawezi kutushinda. Ni wakati wa kuya - arrest na kuwatambua hawa watu ni kina nani na wanatumwa na nani. IINAWEZEKANA, TUAMUE TU maana polisi wameelemewa na jukumu hili.

7. Tutumie njia mbalimbali za mawasiliano kupeana taarifa ikiwemo WhatsApp groups, simu nk
Hao watu wasiojulikana ni Polisi, TISS, CCM na viongozi wake.
 
Kikubwa tunaenda kuwa kama Nigeria, kidnapping game itamalizwa na kidnapping gang.
Ndipo tunako elekea
Nlisema humu kabla!
Wasiyojulikqna kwanza ni watu wachache sana,raia wakiwa mwaga mv basi hata hao wengine watajifunza
Mpaka sasa naona polisi inasema haiwajui basi kwa style hyo inaonekana polisi hawataki kujihusisha nao,
Bora watu sahv wajilinde wenyewe tu

Ova
 
Jeshi la polisi [TANPOL] lenye jukumu la kikatiba na kisheria kulinda usalama wa raia na mali zao limekana kuhusika na ukamataji wa watu hovyo nje ya utaratibu wa kisheria kisha kuwapeleka kusikojulikana, kuwatesa na baadae kuwaua na kutupa miili yao porini au nyikani.

Kama ndiyo hivi, maana yake ni kwamba watu hawa ambao mara zote wanapomwendea mlengwa wanaotaka kumtesa au kumuua hujitambulisha kama polisi. TANPOL imekana kuwa sio wao. Kama ni hivi, maana yake hawa watu ni kikundi cha uhalifu na ujambazi tu..

Lakini inashangaza zaidi kuwa TANPOL pamoja na kuwa jukumu lao la msingi ni kupambana na uhalifu kama huu, lakini wameshindwa kukidhibiti kisha kukitia nguvuni kikundi hiki cha kigaidi. Kwa sababu wanapofanya uhalifu huu kwa jina la "POLISI" maana yake wanajii - impersonate na kutumia jina la mtu mwingine kufanya uhalifu au tendo lilote, ni kosa kisheria.

Cha ajabu na cha kushangaza kabisa, polisi hawaoni kuwa hiyo ni shida na wanapaswa kushughulika nayo badala yake wanajibu kirahisi tu "Jeshi la polisi halihusiki.

Haya majibu yanaingia akilini kweli ndugu zangu?

Ushahidi ni matukio yasiyoisha na wahusika wanaotenda uhalifu huu kutokamatwa hata mmoja na TANPOL pengine hawafanyi hata uchunguzi.

Shida hii ilianzia mwaka 2017 pale ambapo kikundi hiki kilijaribu kumuua mwanasiasa, mwanasheria na mwanaharakati maarufu sana Tundu Lissu saa 7 mchana kweupe katika eneo la makazi ya viongozi AREA D - Dodoma.

Polisi hawajawahi kuchunguza wala kuchukua hatua zozote kwa wahusika wa tukio hili la kinyama kabisa kuwahi kutokea Tanganyika tangu enzi za ukoloni huku ushahidi ukiwa wazi kabisa na vidole vikiwaelekea baadhi ya viongozi wa serikali.

Mimi naamini kabisa kuwa, kikundi hiki cha uhalifu na ujambazi ni project mahususi ya viongozi wakubwa wa siasa walioko ktk Chama Cha Mapinduzi - CCM na serikalini na ktk vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hii kwa ajili ya kupambana na wanaowaona tishio ktk mipango yao ya kupata na kuendelea kubaki ktk madaraka yao ya kisiasa.

Soma Pia: Kupotea Kwa wananchi kadhaa na serikali kuamua kukaa kimya, tafsiri yake ni kuwa wananchi tutaamini kuwa, serikali yetu inahusika!

SASA WANANCHI TUFANYE NINI?

Jeshi la polisi (TANPOL) katika eneo ni wazi hawataki kushughulikia au wameshindwa kuushughulikia uhalifu huu kwa sababu wakubwa wao wanahusika. Sasa wananchi tunapaswa kuwasaidia kufanya kazi yao ya kisheria na kikatiba.

Na kwa maoni yangu wananchi tuchukue jukumu la kujilinda wenyewe kwa kutumia akili na hekima aliyotupa Mungu.

Kwanini tukubali vijana wetu, watoto wetu, baba zetu, mama zetu wakamatwe, wateswe na wapotezwe na kisha kuuwawa na majambazi hawa "kwa jina la polisi" kizembe na kirahisi hivi?

TUWASAIDIE POLISI KUFANYA KAZI YAO NA HIZI NI BAADHI YA MBINU ZA KUZITUMIA ILI HAWA WASIOJULIKANA WAJULIKANE:

1. Ukiipokea vitisho kwa yeyote vya "tutakushughulikia", mosi wataarifu jamaa zako wa karibu na weka rekodi ya namba za simu na sauti ya kila anayekupigia simu za namna hiyo.

2. Usiwe mwepesi kuitikia wito wa kwenda popote bila uchukua tahadhari muhimu.

3. Kama wanakufuata nyumbani, kwa sababu utakuwa unazo taarifa za kufuatiliwa, basi weka kundi la watu tayari watakapokuja na kutaka kufanya lolote.

4. Kama wanaokuja watajitambulisha kuwa ni polisi na wakaonesha ID zao. Hakiki kituo cha polisi wanachotoka na confirm na mkuu wa kituo hicho kabla hawajafanya lolote. Ukipata uhakika wa haya, hao ni polisi unaweza kwenda nao kituoni.

5. Kama waliokuja kukukamata wakijidai ni polisi na ktk utambulisha uka suspect vitu vusivyo vya kawaida, na ukawatilia shaka piga kelele na tulio karibu na kwa sababu tumejipanga na tumejiandaa, haraka sana tutafika na kukabilana nao hata kama wana silaha nyingi kiasi gani.

6. Tujipange na kuunda vikundi kukabiliana na majambazi haya. Hawawezi kutushinda. Ni wakati wa kuya - arrest na kuwatambua hawa watu ni kina nani na wanatumwa na nani. IINAWEZEKANA, TUAMUE TU maana polisi wameelemewa na jukumu hili.

7. Tutumie njia mbalimbali za mawasiliano kupeana taarifa ikiwemo WhatsApp groups, simu nk
Mada yako umeikosea uliposema eti haya mambo yalianzia mwaka 2017 !
 
Back
Top Bottom