Pre GE2025 Wananchi wa Chalinze wazuia msafara wa Tundu Lisu wakitaka aseme Neno roho zao zipone, awaahidi mkutano mkubwa 23 June anaporejea kutoka Singida!

Pre GE2025 Wananchi wa Chalinze wazuia msafara wa Tundu Lisu wakitaka aseme Neno roho zao zipone, awaahidi mkutano mkubwa 23 June anaporejea kutoka Singida!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wananchi wa Chalinze mkoani Pwani waliuzuia kwa muda msafara wa makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu Ili awasalimie na walau aseme Neno la Matumaini kwao

Lisu amewaambia anaelekea mkoani Singida ambako amepangiwa Mikutano ya wiki 3 na wakati anarejea atafanya mkutano wa hadhara Hapo Chalinze

Wanachalinze wamemwambia Leo hii wanaanza maandalizi ya mkutano huo wa kihistoria

Jumaa Mubarak 😃😃🔥
Si huwa nasikiaGA wale wa mitaa ya Kinondoni wakiwasema wenzako wa mitaa ya Lumumba kuwa wanaozuia misafara wanakuwa wameandaliwa?
 
Wananchi wa Chalinze mkoani Pwani waliuzuia kwa muda msafara wa makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu Ili awasalimie na walau aseme Neno la Matumaini kwao

Lisu amewaambia anaelekea mkoani Singida ambako amepangiwa Mikutano ya wiki 3 na wakati anarejea atafanya mkutano wa hadhara Hapo Chalinze

Wanachalinze wamemwambia Leo hii wanaanza maandalizi ya mkutano huo wa kihistoria

Jumaa Mubarak 😃😃🔥
Jamanin maza atakatisha ziara huko Korea maana hali siyo mzuri, ukweli wananchi wanaishi maisha magumu haswa
 
Wananchi wa Chalinze mkoani Pwani waliuzuia kwa muda msafara wa makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu Ili awasalimie na walau aseme Neno la Matumaini kwao

Lisu amewaambia anaelekea mkoani Singida ambako amepangiwa Mikutano ya wiki 3 na wakati anarejea atafanya mkutano wa hadhara Hapo Chalinze

Wanachalinze wamemwambia Leo hii wanaanza maandalizi ya mkutano huo wa kihistoria

Jumaa Mubarak 😃😃🔥
All wee Need is Lissu, nothing more nothing less
 
Wananchi wa Chalinze mkoani Pwani waliuzuia kwa muda msafara wa makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu Ili awasalimie na walau aseme Neno la Matumaini kwao

Lisu amewaambia anaelekea mkoani Singida ambako amepangiwa Mikutano ya wiki 3 na wakati anarejea atafanya mkutano wa hadhara Hapo Chalinze

Wanachalinze wamemwambia Leo hii wanaanza maandalizi ya mkutano huo wa kihistoria

Jumaa Mubarak 😃😃🔥
Uzi bila picha ni sawa na Wali bila ndondo
 
Wananchi wa Chalinze mkoani Pwani waliuzuia kwa muda msafara wa makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu Ili awasalimie na walau aseme Neno la Matumaini kwao

Lisu amewaambia anaelekea mkoani Singida ambako amepangiwa Mikutano ya wiki 3 na wakati anarejea atafanya mkutano wa hadhara Hapo Chalinze

Wanachalinze wamemwambia Leo hii wanaanza maandalizi ya mkutano huo wa kihistoria

Jumaa Mubarak 😃😃🔥
Anarudi tena singida huko asiondoke labda ndugu watampa sapoti kuliko wale wahuni wa kule Mwembe yanga!
 
Wananchi wa Chalinze mkoani Pwani waliuzuia kwa muda msafara wa makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu Ili awasalimie na walau aseme Neno la Matumaini kwao

Lisu amewaambia anaelekea mkoani Singida ambako amepangiwa Mikutano ya wiki 3 na wakati anarejea atafanya mkutano wa hadhara Hapo Chalinze

Wanachalinze wamemwambia Leo hii wanaanza maandalizi ya mkutano huo wa kihistoria

Jumaa Mubarak 😃😃🔥
Prince ana maoni gani
 
Wakati umefika sasa "maneno ya kutuliza mioyo" kwenye hii mikutano yageuzwe chachu ya kuleta mabadiliko kivitendo, tusiishie tu kusikiliza kila siku, kushangilia, kula ugali, na baadae kwenda kulala, mwishowe tunageuka kuwa kama walevi.
 
Back
Top Bottom