Hizi mvua zimeletwa na wapinzani ili kuvuruga ziara ya JPM DSM, na pia kuvuruga hoja ya ujenzi wa flai over na miundombinu DSM, nimesikia wapinzani wameleta kikosi ya waganga wa kuita mvua ili mvua inyeshe mfululizo mpaka tarehe 26/10, ili wana DSM waichukie serikali baada ya kupigwa na shida ya foleni.
Nasikia eti kila sehemu mzee wetu akienda kuhutubia, hawa waganga wanaanza kazi siku moja kabla, na wakiona watu hawasikii, wataanza kuleta ngurumo kubwa kama za kuzimu pamoja na radi kali zinazowaka mwanga kutoka kusi mpaka kaskazi
Sie wana ccm na sisi tutafute waganga wa kuzuia mvua,
Mshana Jr tafadhali, hebu ingia uwanjani,wazee wenzio hatuwezi kuadhirika na wewe upo, Fanya mafekeche mvua zikiletwa na hawa jamaa basi unazielekezea baharini