saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Kumekuuwa na posts humu JF kutoka kwa wanaojiita wakazi wa DSM kuvamiwa na ndugu zao kutoka mikoani bila taarifa, wakidai wanawapigia simu tayari wakiwa stand ya Magufuli na mifuko yao ya kaja shangazi.
Wengine wanalamikia kujaziwa jiji lao nzuri na watu wa mikoani. Kwanza km siyo Magufuli wakati wa covid-19 mngekufa njaa washenzi msio na fadhila maana alikataa kuweka karantini.
Pili kwanini mnajipendekeza kwa wanaume wasio na muda na hilo jiji lenu chafu lililozingirwa na maji machafu ambayo hata chura hawezi kukaa?
Wengine wanalamikia kujaziwa jiji lao nzuri na watu wa mikoani. Kwanza km siyo Magufuli wakati wa covid-19 mngekufa njaa washenzi msio na fadhila maana alikataa kuweka karantini.
Pili kwanini mnajipendekeza kwa wanaume wasio na muda na hilo jiji lenu chafu lililozingirwa na maji machafu ambayo hata chura hawezi kukaa?