Handsome wa Urambo
Member
- Sep 29, 2020
- 84
- 20
Hayo ni mambo mengi ambayo watu hawayafahamu, afadhali umetufungua macho hatufanya makosa tena kumchagua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasheria wote hupenda kuitwa wasomi lakini siyo kweli kwamba kusoma sheria ni kuwa msomi.Ni kwel kabisa na mimi hicho kitabu nimekisoma leo asubuhi aiseeee nikabaki nacheka tu.
Nimeshangaa sana kuona msomi mwanasheria kama yule anaandaaje kitabu cha kitoto vile, yaaaan 85% ya maudhui yake ni uongo mtupu.
Nyie gwajiboys mmepewa hela nyingi na askofu wenu ili kumchafua Halima tunajua mpango mzima, hakika gwaji hapiti hapa.
Hili jambo limefichwa lakini litakuwa wazi kabisa yule bibie ni mwizi kabisa na mwaka huu watu tushachoka nae
Apewe gwajiboy
Gwajimaaa mbeleeee
Halimaa[emoji22]