Nyie vibwengo Halima anakusanya kodi..hamjui ni sabotage ya serikali kwenye majimbo yote ya upinzani?Acheni kulipa kodi kama serikali haileti maendeleo..nyambafuKwa ufupi halima hawezi kuwaletea wanakawe maendeleo kwa mfano tu Rais Magufuli ndani ya miaka mitano amefanya mengi ambayo yanaonekana sasa huyu miaka 10 lakin hakuna kinachoonekana [emoji849]
CCM Nguvu mnayoitumiaga kumchagua halima mdee mngekuaga mnaitumia nakuleta maendeleo yawatu leo watanzania tusingekuwa tunawaza ata kuwafutilieni mbali.tangu Elfu2010 naona mnatumiaga Nguvu nyingi kwauyu mtoto wakike lakn mwisho wasku anawachapa vbaya sana.Nikuibie Siri siku mtakayo kuwa makni kuptisha jina lamgombea ndio mtapata ili Jimbo lakini kwasasaivi uyu dada hamtatoa kabsa maana mnamuwekea wagombea wepesi Sana Kama manyoya yakuku au pambaWana jamvi, nawasalimu mchana huu na hongera kwa majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa.
Nimefanikiwa kusoma kitabu cha Halima Mdee mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Kitabu chenye title TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA JIMBO LA KAWE 2015-2020, kitabu hiki kimejaa kona nyingi sana na giza nyingi kuanzia mwanzo mpaka mwisho wake. Kuna utekelezaji hewa, fedha zilizoelekezwa hazihakisi kabisa uhalisia wa kile kilichofanyika pamoja na miradi ya kusadikika.
Nina uhakika kabisa mtu aliyemshauri Halima Mdee kuandaa kitabu hicho alijua kuwa hajafanya chochote na ndio njia ya kumuonesha kwa wananchi wamjue tunapoelekea kwenye uchaguzi; asante sana muandaaji na mshauri kwa kutuokoa na kirusi hiki tulichoishi nacho kwa miaka 10.
Kelele nyingi zinazopigwa na Wabunge wa upinzani zinaonekana kuwa za kweli lakini kama utekelezaji ni wa namna hii, basi huenda wapinzani wakawa ni hatari sana kuliko mtu yeyote yule.
Namalizia summary ya kitabu hiki na nitaileta kwenu moja kwa moja
Mzalendo wa Kweli
Kawe-Mikoroshini
Basi wewe nenda na mdee maana naona ndo kitukuu chakeMimi sio Chadema lakini gwajima zile kauli zake na vitisho vyake dhidi ya waislamu na uislam afadhali huyu binti Mara elfu
Labda bint hatatuletea mwendeleo lakini miskiti na madrasa zetu zitakua salama milele
Gwajima be yourself onyesha chuki zako usifiche kila mtu anahaki ya kupenda na kuchukua amtakae
Mbona Trump anasema wazi
I hate muslims na haogopi na anakua rais
Nenda kajipange huna mada weweNaona misukule mliofufuliwa na Porn star mmeitana.
Kawe sio Jimbo la porojo,mnataka Mbunge ajenge Barabara mnafahanu bei ya km 1 ya lami?
Anayekusanya kodi ndiye mjenzi wa miundombinu,kura Mdeee atapata kama alivyopata awamu nyingine Kwasababu amekuwa si tu Mbunge wa Kawe bali wa masuala ya kitaifa.
Watu wenye akili fupi Ndio wanataka Mbunge ambaye kila akisimama ni Jambo la Jimbo lake tu,binafsi nitampa kura kama mbunge wa taifa
Wewe unaongea pumba kama hupendi maendeleo hama kawe usituungamanishe na mdee bibi mwongo yulee balaaMimi sio Chadema lakini gwajima zile kauli zake na vitisho vyake dhidi ya waislamu na uislam afadhali huyu binti Mara elfu
Labda bint hatatuletea mwendeleo lakini miskiti na madrasa zetu zitakua salama milele
Gwajima be yourself onyesha chuki zako usifiche kila mtu anahaki ya kupenda na kuchukua amtakae
Mbona Trump anasema wazi
I hate muslims na haogopi na anakua rais
Msukule w porn star bila Shaka Ww ndie uliyecheza pono na kiongozi wa misukuleNenda kajipange huna mada wewe
Umekaa unaandika na mishipa imekutoka kama mwarubaini
Umeongea point lakin ingekuwa vema kama ungeleta ushahidi wa kuonyesha alivyokuwa anatetea kawe akiwa bungenUmeligundua hilo mkuu! Nimepoteza muda kuangalia historia za wachangiaji washambulizi. Wote nilio angalia ni members walio jiunga Juni-sept 2020. Why?
Hayo ndiyo yale ya kule Twitter ambako timu ya Gwajiboy ilivamia na slogan ya "tuinuane" ili wakianza kumtetea MTU wao wasomeke na wengi, wakashtukia na kula block za kutosha sasa bado JF.
Labda tujiulize Gwajiboy na watu wake mbona wamejipanga muda mrefu kuingia bungeni kupitia Kawe kwa kutumia mbinu chafu?
Aina ya mbunge kama Halima ni very rare kupatikana hivyo ni bahati kwa Kawe kuwa naye. Halima hata kama Lissu atashinda urais ikifika suala la serikali kuonea wananchi lazima watazinguana tuu maana hana unafiki wala tabia ya kusema NDIYOOO penye HAPANA.
Kuna mambo Halima anaweza kuwa kashindwa kutekeleza Kawe, lakini wananchi tunajuwa kuwa alikuwa anapambana na serikali ya aina gain hasa ambayo iko radhi kuumiza wananchi kwa sababu haimpendi mbunge wa eneo hilo.
Ni wajibu kuiadhibu serikali ya chama hicho kwa kuitoa madarakani kuliko kuipigia magoti tena miaka mitano kwa sababu yenyewe imetupigia magoti kwa siku moja.View attachment 1586342View attachment 1586343
Ukisema uzalendo maslahi utaeleweka.Wana jamvi, nawasalimu mchana huu na hongera kwa majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa.
Nimefanikiwa kusoma kitabu cha Halima Mdee mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Kitabu chenye title TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA JIMBO LA KAWE 2015-2020, kitabu hiki kimejaa kona nyingi sana na giza nyingi kuanzia mwanzo mpaka mwisho wake. Kuna utekelezaji hewa, fedha zilizoelekezwa hazihakisi kabisa uhalisia wa kile kilichofanyika pamoja na miradi ya kusadikika.
Nina uhakika kabisa mtu aliyemshauri Halima Mdee kuandaa kitabu hicho alijua kuwa hajafanya chochote na ndio njia ya kumuonesha kwa wananchi wamjue tunapoelekea kwenye uchaguzi; asante sana muandaaji na mshauri kwa kutuokoa na kirusi hiki tulichoishi nacho kwa miaka 10.
Kelele nyingi zinazopigwa na Wabunge wa upinzani zinaonekana kuwa za kweli lakini kama utekelezaji ni wa namna hii, basi huenda wapinzani wakawa ni hatari sana kuliko mtu yeyote yule.
Namalizia summary ya kitabu hiki na nitaileta kwenu moja kwa moja
Mzalendo wa Kweli
Kawe-Mikoroshini
Ngojaaa..ngojaa..ngoja..ngojaa..ngojaa.... Kwani Sukari inauzwa Kijimbo??πππππππππ hadi leo mla kondoo hana jibu mpeni jibu la huyo mzee.Its very pathetic mzee miaka imeshapita but can reason a million times ahead of you....your green brains isnt for politics rather kunyea mavi tuuKwenye hili siwez kumtetea kabisa halima japo namkubali
Hapa halima kafeli saaana yaan kazingua
Na anafanya kura tumpe gwajiboy
Vijana wa Lumumba pamoja na mabosi wawo Lissu akawashika Korodani zawo laivu ...umeongea ukweri wanapiga whistle na post wote jimwageni tu comment ili tuonekane hoja imeungwa kama vile mifisiem bungeni ndiyooooo.....mwaka huu wata jamba checheUmeligundua hilo mkuu! Nimepoteza muda kuangalia historia za wachangiaji washambulizi. Wote nilio angalia ni members walio jiunga Juni-sept 2020. Why?
Hayo ndiyo yale ya kule Twitter ambako timu ya Gwajiboy ilivamia na slogan ya "tuinuane" ili wakianza kumtetea MTU wao wasomeke na wengi, wakashtukia na kula block za kutosha sasa bado JF.
Labda tujiulize Gwajiboy na watu wake mbona wamejipanga muda mrefu kuingia bungeni kupitia Kawe kwa kutumia mbinu chafu?
Aina ya mbunge kama Halima ni very rare kupatikana hivyo ni bahati kwa Kawe kuwa naye. Halima hata kama Lissu atashinda urais ikifika suala la serikali kuonea wananchi lazima watazinguana tuu maana hana unafiki wala tabia ya kusema NDIYOOO penye HAPANA.
Kuna mambo Halima anaweza kuwa kashindwa kutekeleza Kawe, lakini wananchi tunajuwa kuwa alikuwa anapambana na serikali ya aina gain hasa ambayo iko radhi kuumiza wananchi kwa sababu haimpendi mbunge wa eneo hilo.
Ni wajibu kuiadhibu serikali ya chama hicho kwa kuitoa madarakani kuliko kuipigia magoti tena miaka mitano kwa sababu yenyewe imetupigia magoti kwa siku moja.View attachment 1586342View attachment 1586343
Muulizeni Halima lini alitamka neno KAWE Bungeni?Yani tumewashtukia aisee wanatudanganya ili tuendelee kuwapa kura zetu awamu hii tumeamka hawatatupata tena miaka kumi hakuna utekelezaji uliofanyika
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Kibaya zaidi kitabu chenyewe kaandika Halima,wala Gwajima hakuwepo,sasa inakuwaje tena.Mtu haitaji kulipwa ili kusimamia haki na kweli,kawe tumechoka kudanganywa, gwaji ndio mbunge wa kawe
Ushaidi1.5trilion alikwapua Mdee?
CAG Asad alifukuzwa kazi na Mdee?
CAG amezuiwa na Mdee kufanya UKAGUZI kwenye MAENEO yenye MATUMIZI MAKUBWA YA FEDHA ZA UMMA?
Tangu mfumo wa Vyama vingi uanze Mwaka 1995, Moshi haijawahi kuwa na Mbunge wa CCM; Sasa Fanya Comparison ya Moshi na Mikoa mingine yenye CCM Hapo ndo utajua; kwamba Maendeleo ni Mentality na mind set za watu waishio eneo husika na si Mbunge 100%; Hivyo kutumia kauli hiyo kwa baadhi ya Majimbo ni kujidanganya;Watanzania wote wanajua kuwa Magufuli hapeleki pesa kwa Majimbo ya wapinzani ....!!