Mimi sizungumzii udikteta wa rais bali nazungumzia uwajibikaji wa mbunge kwa wananchi wake.Yes kwa katiba tuliyonayo ni kweli raisi ni dikteta mbaya kuliko hata Idi Amini.
Kwahiyo unataka tuchague msagaji au?Mimi sio Chadema lakini gwajima zile kauli zake na vitisho vyake dhidi ya waislamu na uislam afadhali huyu binti Mara elfu
Labda bint hatatuletea mwendeleo lakini miskiti na madrasa zetu zitakua salama milele
Gwajima be yourself onyesha chuki zako usifiche kila mtu anahaki ya kupenda na kuchukua amtakae
Mbona Trump anasema wazi
I hate muslims na haogopi na anakua rais
Suala la marupurupu ya wabunge ndio jambo ambalo huwaunganisha wabunge wote bila kujari ni chama tawala au upinzani,maana ni suala la masilahi yao wabunge.Tatizo mhimili mmoja uitwao executive ni bingwa wa rushwa za waziwazi. Kwanza kupitia chama chao wanaamua wao executive nani atakuwa mbunge na sio wananchi, Hapo mbunge lazima awatumikie halafu ubunge ni kazi ya mishahara mikubwa na marupurupu lukuki huku wakijinadi ni watumishi wa wananchi wakati hata mishahara wanajipangia. Kumbuka kikokotoo walikipitisha bila aibu ila wao hakiwahusu
Huku mcheza porn na huku msagaji,hatari hapo.Jifurahishen na icho kitabu mkimaliza mtuambie,kuta ni kwa mdee tu,mcheza porn mchaguen nyie
Mimi ni muislamu siwezi kusema au kutuhumu mtu kwa visingizioKwahiyo unataka tuchague msagaji au?
Haswaa ndiko tunakotakiwa kuelekea,huyu gwajima boy Kama Kuna muislam atamchagua au mkatoliki Basi bora awe mpagani kuliko kumchagua Mtu wa kukashifu imani za watu,hajitambui,mwingi,mchochezi,kigeugeuMimi ni muislamu siwezi kusema au kutuhumu mtu kwa visingizio
Tuhuma bila ushahidi ni dhambi
Nimefanya kuwa senteso fupi lakini maana yake ni ndefu yaani ikiwa raisi ni dikteta kama ilivyo sasa, basi huwa hakuna mbunge wala bunge linaloweza kutekeleza wajibu wake. Ili uwe salama inakupasa kuunga mkono juhudi na ukijaribu kutekeleza wajibu basi mara moja unakuwa sio mzalendo na mengine yanafuata baada ya hapoMimi sizungumzii udikteta wa rais bali nazungumzia uwajibikaji wa mbunge kwa wananchi wake.
Magufuli huzuia maendeleo kwenda kwa wapinzani makusudi ili kuwakomoaWapinzani wanajua kuongea tu lakini utekelezaji wake ni mbovu sana.
Usomi si unatokana na neno kusoma jamani,kama alisoma sheria basi msomi na kama aliandika habari basi mwandishiWanasheria wote hupenda kuitwa wasomi lakini siyo kweli kwamba kusoma sheria ni kuwa msomi.
Kwahiyo Halima mdee ameshindwa kutekeleza majukumu yake kwa sababu ya uwepo wa rais dikteta?Nimefanya kuwa senteso fupi lakini maana yake ni ndefu yaani ikiwa raisi ni dikteta kama ilivyo sasa, basi huwa hakuna mbunge wala bunge linaloweza kutekeleza wajibu wake. Ili uwe salama inakupasa kuunga mkono juhudi na ukijaribu kutekeleza wajibu basi mara moja unakuwa sio mzalendo na mengine yanafuata baada ya hapo
Hakuna asiyefahamu ni kiasi gani upinzani ulikandamizwa chini ya uongozi wa jpm. Hakuna jimbo liloongozwa na upinzani liliweza kufanya maendeleo maana magufuli hakutaka majimbo ya upinzani yaendelee kabisa. Siasa za Chuki na ubinafsi ndo zilizowanyima upinzani kuonyesha uwezo wao. Hata mikutano ya ndani ya chama ilikuwa inazuiwa, hawakuweza hata kukaa kujadili jambo au kusikiliza kero zaWana jamvi, nawasalimu mchana huu na hongera kwa majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa.
Nimefanikiwa kusoma kitabu cha Halima Mdee mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Kitabu chenye title TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA JIMBO LA KAWE 2015-2020, kitabu hiki kimejaa kona nyingi sana na giza nyingi kuanzia mwanzo mpaka mwisho wake. Kuna utekelezaji hewa, fedha zilizoelekezwa hazihakisi kabisa uhalisia wa kile kilichofanyika pamoja na miradi ya kusadikika.
Nina uhakika kabisa mtu aliyemshauri Halima Mdee kuandaa kitabu hicho alijua kuwa hajafanya chochote na ndio njia ya kumuonesha kwa wananchi wamjue tunapoelekea kwenye uchaguzi; asante sana muandaaji na mshauri kwa kutuokoa na kirusi hiki tulichoishi nacho kwa miaka 10.
Kelele nyingi zinazopigwa na Wabunge wa upinzani zinaonekana kuwa za kweli lakini kama utekelezaji ni wa namna hii, basi huenda wapinzani wakawa ni hatari sana kuliko mtu yeyote yule.
Namalizia summary ya kitabu hiki na nitaileta kwenu moja kwa moja
Mzalendo wa Kweli
Kawe-Mikoroshini
Sio Halima Mdee tu kwa hakika hatuna kitu walau kiinachokaribia na kuitwa bunge. Hata Bunge la Somalia haliwezi au basi naona nisije kukukorofisha ukakasirika bureKwahiyo Halima mdee ameshindwa kutekeleza majukumu yake kwa sababu ya uwepo wa rais dikteta?
Halima mdee alitimiza wajibu wake ipasavyo hakuwa mbunge kilaza mgonga meza kwa ndiyoo kama wabunge wa CCM wawapo Bungeni, kikwazo cha Halima mdee ilikuwa baraza la madiwani hasa wa CCM ambao walimhujumu kwa kiwango cha kutisha ili aonekane haleti maendeleoKwenye hili siwez kumtetea kabisa halima japo namkubali
Hapa halima kafeli saaana yaan kazingua
Na anafanya kura tumpe gwajiboy
Gwajima ni shiiida ni muongo mno ni bingwa wa zinaa na uongoBora tusiwe kabisa na mbunge kuliko Gwajima
Pia ni tapeli na uwezo wake wa akili ni mdogo mno halafu anafikiri watu wote wana kiwango cha uelewa kama ile misukule yake anyoiita wauminiGwajima ni shiiida ni muongo mno ni bingwa wa zinaa na uongo