Uchaguzi 2020 Wananchi wa Kawe mnafahamu jambo hili?

Uchaguzi 2020 Wananchi wa Kawe mnafahamu jambo hili?

Jifurahishen na icho kitabu mkimaliza mtuambie,kuta ni kwa mdee tu,mcheza porn mchaguen nyie
 
Mimi sio Chadema lakini gwajima zile kauli zake na vitisho vyake dhidi ya waislamu na uislam afadhali huyu binti Mara elfu
Labda bint hatatuletea mwendeleo lakini miskiti na madrasa zetu zitakua salama milele
Gwajima be yourself onyesha chuki zako usifiche kila mtu anahaki ya kupenda na kuchukua amtakae
Mbona Trump anasema wazi
I hate muslims na haogopi na anakua rais
Kwahiyo unataka tuchague msagaji au?
 
Tatizo mhimili mmoja uitwao executive ni bingwa wa rushwa za waziwazi. Kwanza kupitia chama chao wanaamua wao executive nani atakuwa mbunge na sio wananchi, Hapo mbunge lazima awatumikie halafu ubunge ni kazi ya mishahara mikubwa na marupurupu lukuki huku wakijinadi ni watumishi wa wananchi wakati hata mishahara wanajipangia. Kumbuka kikokotoo walikipitisha bila aibu ila wao hakiwahusu
Suala la marupurupu ya wabunge ndio jambo ambalo huwaunganisha wabunge wote bila kujari ni chama tawala au upinzani,maana ni suala la masilahi yao wabunge.
 
Mimi ni muislamu siwezi kusema au kutuhumu mtu kwa visingizio
Tuhuma bila ushahidi ni dhambi
Haswaa ndiko tunakotakiwa kuelekea,huyu gwajima boy Kama Kuna muislam atamchagua au mkatoliki Basi bora awe mpagani kuliko kumchagua Mtu wa kukashifu imani za watu,hajitambui,mwingi,mchochezi,kigeugeu
 
Kuanzia comment ya kwanza mpaka ya 18 zote zimeletwa na ID mpya zilizoanzishwa kuanzia July mwaka huu. Nyingi ya hizo zimeanza September 2020 tena nyingi zimeanzishwa tarehe 29. Wajinga
 
Mimi sizungumzii udikteta wa rais bali nazungumzia uwajibikaji wa mbunge kwa wananchi wake.
Nimefanya kuwa senteso fupi lakini maana yake ni ndefu yaani ikiwa raisi ni dikteta kama ilivyo sasa, basi huwa hakuna mbunge wala bunge linaloweza kutekeleza wajibu wake. Ili uwe salama inakupasa kuunga mkono juhudi na ukijaribu kutekeleza wajibu basi mara moja unakuwa sio mzalendo na mengine yanafuata baada ya hapo
 
Wanasheria wote hupenda kuitwa wasomi lakini siyo kweli kwamba kusoma sheria ni kuwa msomi.
Usomi si unatokana na neno kusoma jamani,kama alisoma sheria basi msomi na kama aliandika habari basi mwandishi
 
Nimefanya kuwa senteso fupi lakini maana yake ni ndefu yaani ikiwa raisi ni dikteta kama ilivyo sasa, basi huwa hakuna mbunge wala bunge linaloweza kutekeleza wajibu wake. Ili uwe salama inakupasa kuunga mkono juhudi na ukijaribu kutekeleza wajibu basi mara moja unakuwa sio mzalendo na mengine yanafuata baada ya hapo
Kwahiyo Halima mdee ameshindwa kutekeleza majukumu yake kwa sababu ya uwepo wa rais dikteta?
 
Hii kampeni ya kufungua accounts nyingi nyingi kwenye social media kwa ajili ya kumpigia debe gwajima itashindwa vibaya, mla kondoo ni mla kondoo tu, gwiji ni mtu wa mshahara hawezi kuwatumikia wananchi, kaja kwenye siasa baada ya kondoo kuanza kuguna kuhusu utapeli wake kanisani.
 
Wana jamvi, nawasalimu mchana huu na hongera kwa majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa.

Nimefanikiwa kusoma kitabu cha Halima Mdee mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Kitabu chenye title TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA JIMBO LA KAWE 2015-2020, kitabu hiki kimejaa kona nyingi sana na giza nyingi kuanzia mwanzo mpaka mwisho wake. Kuna utekelezaji hewa, fedha zilizoelekezwa hazihakisi kabisa uhalisia wa kile kilichofanyika pamoja na miradi ya kusadikika.

Nina uhakika kabisa mtu aliyemshauri Halima Mdee kuandaa kitabu hicho alijua kuwa hajafanya chochote na ndio njia ya kumuonesha kwa wananchi wamjue tunapoelekea kwenye uchaguzi; asante sana muandaaji na mshauri kwa kutuokoa na kirusi hiki tulichoishi nacho kwa miaka 10.

Kelele nyingi zinazopigwa na Wabunge wa upinzani zinaonekana kuwa za kweli lakini kama utekelezaji ni wa namna hii, basi huenda wapinzani wakawa ni hatari sana kuliko mtu yeyote yule.

Namalizia summary ya kitabu hiki na nitaileta kwenu moja kwa moja

Mzalendo wa Kweli
Kawe-Mikoroshini
Hakuna asiyefahamu ni kiasi gani upinzani ulikandamizwa chini ya uongozi wa jpm. Hakuna jimbo liloongozwa na upinzani liliweza kufanya maendeleo maana magufuli hakutaka majimbo ya upinzani yaendelee kabisa. Siasa za Chuki na ubinafsi ndo zilizowanyima upinzani kuonyesha uwezo wao. Hata mikutano ya ndani ya chama ilikuwa inazuiwa, hawakuweza hata kukaa kujadili jambo au kusikiliza kero za
wananchi wao. Kumbuka kauli za jpm "SIWEZI KULETA MAJI AU BARABARA HAPA KWA UPINZANI"
 
Kwahiyo Halima mdee ameshindwa kutekeleza majukumu yake kwa sababu ya uwepo wa rais dikteta?
Sio Halima Mdee tu kwa hakika hatuna kitu walau kiinachokaribia na kuitwa bunge. Hata Bunge la Somalia haliwezi au basi naona nisije kukukorofisha ukakasirika bure
 
Kwenye hili siwez kumtetea kabisa halima japo namkubali

Hapa halima kafeli saaana yaan kazingua
Na anafanya kura tumpe gwajiboy
Halima mdee alitimiza wajibu wake ipasavyo hakuwa mbunge kilaza mgonga meza kwa ndiyoo kama wabunge wa CCM wawapo Bungeni, kikwazo cha Halima mdee ilikuwa baraza la madiwani hasa wa CCM ambao walimhujumu kwa kiwango cha kutisha ili aonekane haleti maendeleo
 
Magufuli alidhamiria kurejesha mfumo wa chama kimoja ndiyo maana akawa akizuia maendeleo kupelekwa kwenye majimbo ya wapinzani ili waonekane hawaleti maendeleo apate kuipenyeza CCM awe na wabunge wengi Bungeni wapitishe sheria ya kuwa Rais wa milele kama Rais wa china
 
Gwajima ni shiiida ni muongo mno ni bingwa wa zinaa na uongo
Pia ni tapeli na uwezo wake wa akili ni mdogo mno halafu anafikiri watu wote wana kiwango cha uelewa kama ile misukule yake anyoiita waumini
 
Back
Top Bottom