Pre GE2025 Wananchi wa Kilimanjaro wachangishana kurekebisha barabara mbovu yenye urefu wa kilomita 72

Pre GE2025 Wananchi wa Kilimanjaro wachangishana kurekebisha barabara mbovu yenye urefu wa kilomita 72

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkoa wa kwanza Tanzania kupata lami ni dar es salam unaofuati ni kilimanjaro 1960 na harakati za wanakimanjaro kujipambania zilianza zaman mno kipindi cha KNCU 1933
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!
 
Kilimanjaro naijua yote vizuri rombo barabara ya mkato ya kenya ikipata lami itakua imezungukwa na lami pande zote , marangu ila lami pande zote mpaka vichochoroni , barabara ya kilema kanisa la katholic ,panda barabara ya hospitality ya marangu njoo barabara ya shule ya Uchira unganisha mpka mwika zungukia himo kote kumewekwa kati na lami .

Panda barabara ya kcmc katisha rau mpka mamboleo panda juu barabara zote za v ya kwend uru mnini na uru kishumundu zote zina lami .

Banda barabara zote za kwenda kibosho umbwe , kibosho kirima ,kibosho singachina mpka mweka zote zina lami .


Katisha barabara ya kwenda masama panda juu mpka soko la mula katika kona ya kwenda machame kwa juu barabara ya masama secondary tokea machame msikitini ,panda juu mpaka machame hospital ,shuka chini mpaka nshara kwa mbowe , kata chochoro ya kwnda narumu tokezea barabara ya kibosho umbwe kote kuna lami .

..asilimia 60% ya mkoa wa Kilimanjaro ni wilaya za Same na Mwanga. Je, hali ya maeneo hayo kimiundombinu ikoje?
 
Kilimanjaro naijua yote vizuri rombo barabara ya mkato ya kenya ikipata lami itakua imezungukwa na lami pande zote , marangu ila lami pande zote mpaka vichochoroni , barabara ya kilema kanisa la katholic ,panda barabara ya hospitality ya marangu njoo barabara ya shule ya Uchira unganisha mpka mwika zungukia himo kote kumewekwa kati na lami .

Panda barabara ya kcmc katisha rau mpka mamboleo panda juu barabara zote za v ya kwend uru mnini na uru kishumundu zote zina lami .

Banda barabara zote za kwenda kibosho umbwe , kibosho kirima ,kibosho singachina mpka mweka zote zina lami .


Katisha barabara ya kwenda masama panda juu mpka soko la mula katika kona ya kwenda machame kwa juu barabara ya masama secondary tokea machame msikitini ,panda juu mpaka machame hospital ,shuka chini mpaka nshara kwa mbowe , kata chochoro ya kwnda narumu tokezea barabara ya kibosho umbwe kote kuna lami .
Hizo ni Barabara za kwenda kwenye Mageti ya kupandia mlima. Barabara nyingi moshi vijijini ni mbovu sana hata hizo zilizopo hazikarabatiwi zina mashimo na viraka kila mahali na ni low quality bila hata sidewalks.
Huko kibosho ulipotaja lami inaishia kNCU pale huko kwingine ni mavumbi na matope wakati wa mvua.

Kimsingi Kilimanjaro kama mkoa inahitaji bajeti kubwa kutengeneza Barabara zake. At least zifikie ile level ya Barabara za Kigoma mjini ya sasa au zile za Rwanda.
 
..asilimia 60% ya mkoa wa Kilimanjaro ni wilaya za Same na Mwanga. Je, hali ya maeneo hayo kimiundombinu ikoje?
Same na mwanga nimeenda tu usangi apana tofauti kubwa na maeneo niliyotaja huko kwingine sijafika bado.
 
Safi kabisaa. Hiyo ndio dhana halisi za siasa ya ujamaa na kujitegemea. Naimba mfano huu uchukuliwe kwa watanzania wote, wajue maendeleo watajiletea wenyewee.
Sipingi kuchanga na kujifanyia mambo. Lakini, si huwa wanasema wanatutoza tozo ili ziende barabara vijijini? Sasa kwa nini kuwe na tozo na bado watu wajitolee kuchanga? Nitachukulia hela ya tozo inatumika tofauti na tunavyoambiwa, sivyo?
 
Hizo ni Barabara za kwenda kwenye Mageti ya kupandia mlima. Barabara nyingi moshi vijijini ni mbovu sana hata hizo zilizopo hazikarabatiwi zina mashimo na viraka kila mahali na ni low quality bila hata sidewalks.
Huko kibosho ulipotaja lami inaishia kNCU pale huko kwingine ni mavumbi na matope wakati wa mvua.

Kimsingi Kilimanjaro kama mkoa inahitaji bajeti kubwa kutengeneza Barabara zake. At least zifikie ile level ya Barabara za Kigoma mjini ya sasa au zile za Rwanda.
Umenena vizuri mno , ila mimi nimetembea tanzania karibu 50% ndani ndani , kwa asilimia kubwa kilimanjaro na baadhi ya mikoa barabara zake zina nafuu kiasi fulani.
 
Same na mwanga nimeenda tu usangi apana tofauti kubwa na maeneo niliyotaja huko kwingine sijafika bado.

..miundombinu ya Uchagani ilijengwa wakati wa ukoloni wa Muingereza.

..according to Joseph Selasini, Marangu walichagua barabara. Rombo walichagua maji. Sikumbuki alisema maeneo mengine walichagua mradi gani.

..ukisoma michango ya hapa JF kuna mashambulizi mabaya dhidi ya watu wa Kilimanjaro kwamba serikali za baada ya uhuru ziliwapendelea. Ni kama kuna mkakati mahsusi umesukwa dhidi ya Kilimanjaro.

..mazingira hayo ndio yamenifanya nikukumbushe kwamba kuna 60% ya mkoa wa Kilimanjaro, kwa maana ya wilaya za Same, na Mwanga, ambako hali ya miundombinu ni mbaya.

..Na habari ya wananchi wa Kilimanjaro kujitolea kujenga barabara sio ngeni. Walifanya hivyo kabla ya uhuru, na baada ya uhuru.
 
..miundombinu ya Uchagani ilijengwa wakati wa ukoloni wa Muingereza.

..according to Joseph Selasini, Marangu walichagua barabara. Rombo walichagua maji. Sikumbuki alisema maeneo mengine walichagua mradi.

..ukisoma michango ya hapa JF kuna mashambulizi mabaya dhidi ya watu wa Kilimanjaro kwamba serikali za baada ya uhuru ziliwapendelea. Ni kama kuna mkakati mahsusi umesukwa dhidi ya Kilimanjaro.

..mazingira hayo ndio yamenifanya nikukumbushe kwamba kuna 60% ya mkoa wa Kilimanjaro, kwa maana ya wilaya za Same, na Mwanga, ambako hali ya miundombinu ni mbaya.

..Na habari ya wananchi wa Kilimanjaro kujitolea kujenga barabara sio ngeni. Walifanya hivyo kabla ya uhuru, na baada ya uhuru.
Hili jambo lina ukweli fulani ila mimi naona ili kubalance keki ya taifa ni bora kuwe na majimbo ambayo yatajisimamia yenyewe kwenye maendeleo huku serikali kuu ikitoa support tu.
 
Sipingi kuchanga na kujifanyia mambo. Lakini, si huwa wanasema wanatutoza tozo ili ziende barabara vijijini? Sasa kwa nini kuwe na tozo na bado watu wajitolee kuchanga? Nitachukulia hela ya tozo inatumika tofauti na tunavyoambiwa, sivyo?
Tozo yako na kodi yako, inafanya mambo mengi ambayo kwa namna moja au nyingine wanainchi wanaila kwenye maeneo kama vile
1. Ujenzi wa barabara kiwango cha rami
2. Kupeleka fedha shuleni kulipia elimu kuanzia primary hadi advance
3. Kujenga vituo vya afya , zahanati, na hospitali na kununua vifaaa tiba na kutoa mishahara na motisha mbalimbali kwa watumishi wa kada ya afya, elimu, ulinzi na usalama n.k
4. Kununua zana za ulinzi na kulipa mishahara na motisha kwa watumishi wa eneo hilo.
5. Kutoa ajira na kupandisha madaraja kwa watumishi wapya na walioko kazini.

Hivyo jamaa yanguuu kodi na tozo tunazotozwa ni raia wenyewe ndio wanufaika kwa sehemu ya matumizi kama nilivyoorodhesha apo juuu.
Hivyo kwa mkutadha huo ni vyema wananchi kama hao walioamua kujenga barabara kwa nguvu zao, hiii ndio ujamaa na kujitegemea.
 
Hizo ni Barabara za kwenda kwenye Mageti ya kupandia mlima. Barabara nyingi moshi vijijini ni mbovu sana hata hizo zilizopo hazikarabatiwi zina mashimo na viraka kila mahali na ni low quality bila hata sidewalks.
Huko kibosho ulipotaja lami inaishia kNCU pale huko kwingine ni mavumbi na matope wakati wa mvua.

Kimsingi Kilimanjaro kama mkoa inahitaji bajeti kubwa kutengeneza Barabara zake. At least zifikie ile level ya Barabara za Kigoma mjini ya sasa au zile za Rwanda.
Acha ujinga wewe!
 
Hili jambo lina ukweli fulani ila mimi naona ili kubalance keki ya taifa ni bora kuwe na majimbo ambayo yatajisimamia yenyewe kwenye maendeleo huku serikali kuu ikitoa support tu.

..kuna watu hapa JF wana CHUKI na huo mkoa wangekuwa na uwezo wangeupiga mabomu, au kuutia kibiriti.

..lakini kama nilivyokwambia kuna maeneo yana miundombinu mibovu kuliko hata walikotoka hao waliofundishwa kuichukia Kilimanjaro.
 
Mkoa wa kwanza Tanzania kupata lami ni dar es salam unaofuati ni kilimanjaro 1960 na harakati za wanakimanjaro kujipambania zilianza zaman mno kipindi cha KNCU 1933
Hapana, mkoa wa kwanza Tanganyika kupata lami ulikuwa Tanga.

Hiyo yote ni historia, cha muhimu hao wanakijiji siyo wao wa kwanza kuanza kujenga barabara kwa kujitolea wenyewe. Wamechelewa usingizini, lakini tunawapa hongera, mikoa mingine bado wamelala.
 
Hapana, mkoa wa kwanza Tanganyika kupata lami ulikuwa Tanga.

Hiyo yote ni historia, cha muhimu hao wanakijiji siyo wao wa kwanza kuanza kujenga barabara kwa kujitolea wenyewe. Wamechelewa usingizini, lakini tunawapa hongera, mikoa mingine bado wamelala.
Hiyo yote ni mikoa ya mwanzo kabisa kupata lami baada ya uhuru nakubaliana na wewe kabisa.
 
..kuna watu hapa JF wana CHUKI na huo mkoa wangekuwa na uwezo wangeupiga mabomu, au kuutia kibiriti.

..lakini kama nilivyokwambia kuna maeneo yana miundombinu mibovu kuliko hata walikotoka hao waliofundishwa kuichukia Kilimanjaro.
😁Sikuwahi kulijua hilo ,ila mbona naona watu wa kutokea huko wanamaelewano mazuri tu na jamii nyingne, na watu wa huko wengi wamesambaa maeneo mbalimbali tu?
 

Changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara katika eneo la Kiruweni, Kata ya Mwika Kusini, Wilaya ya Moshi, imewalazimu wananchi wa eneo hilo waishio maeneo mbalimbali nchini kuchangishana fedha na kuanza ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 72 kwa kiwango cha changarawe.

Eneo hilo ambalo wananchi wake wanajishughulisha na uzalishaji wa ndizi na kilimo cha mazao mbalimbali, limekuwa na changamoto kubwa ya miundombinu ya barabara.

Hali hii imewalazimisha kusafirisha mizigo kwa kichwa hadi sokoni, hivyo kushindwa kufikia ndoto zao za kujikwamua kiuchumi.

Chimbuko la wazo la ujenzi wa barabara lilianzia katika Usharika wa Kiruweni wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), baada ya mvua kubwa zilizonyesha mwishoni mwa Machi na Aprili, 2024.

Mvua hizo zimesababisha barabara hizo zishindwe kupitika kwa vyombo vya usafiri, zikiwamo pikipiki.

Akizungumza kuhusu ujenzi huo, Mchungaji Kiongozi wa Usharika wa Kiruweni, Joram Mamuya amesema barabara hizo zimefikia hatua mbaya na kufanya wananchi kushindwa kutumia vyombo vya usafiri na hivyo kulazimika kubeba mazao yao kichwani kuyapeleka sokoni, huku wakitembea umbali mrefu.
Safi.
 

Changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara katika eneo la Kiruweni, Kata ya Mwika Kusini, Wilaya ya Moshi, imewalazimu wananchi wa eneo hilo waishio maeneo mbalimbali nchini kuchangishana fedha na kuanza ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 72 kwa kiwango cha changarawe.

Eneo hilo ambalo wananchi wake wanajishughulisha na uzalishaji wa ndizi na kilimo cha mazao mbalimbali, limekuwa na changamoto kubwa ya miundombinu ya barabara.

Hali hii imewalazimisha kusafirisha mizigo kwa kichwa hadi sokoni, hivyo kushindwa kufikia ndoto zao za kujikwamua kiuchumi.

Chimbuko la wazo la ujenzi wa barabara lilianzia katika Usharika wa Kiruweni wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), baada ya mvua kubwa zilizonyesha mwishoni mwa Machi na Aprili, 2024.

Mvua hizo zimesababisha barabara hizo zishindwe kupitika kwa vyombo vya usafiri, zikiwamo pikipiki.

Akizungumza kuhusu ujenzi huo, Mchungaji Kiongozi wa Usharika wa Kiruweni, Joram Mamuya amesema barabara hizo zimefikia hatua mbaya na kufanya wananchi kushindwa kutumia vyombo vya usafiri na hivyo kulazimika kubeba mazao yao kichwani kuyapeleka sokoni, huku wakitembea umbali mrefu.
kama isingekuwa nyerere, mareale angekuwa ametufikisha mbali sana, sasaivi tungekuwa na nchi yetu. wachaga siku zote tupo serious na maendeleo.
 
Safi kabisaa. Hiyo ndio dhana halisi za siasa ya ujamaa na kujitegemea. Naimba mfano huu uchukuliwe kwa watanzania wote, wajue maendeleo watajiletea wenyewee.
Ujamaa gani wakati hao ni capitalists wenye biashara kubwa? Ingekua ujamaa wasingekuwa na fedha ya kujenga barabara
 
Back
Top Bottom