Kibajaji kaponaWanabodi,Mambo yamekuwa mambo
Leo yule gwiji wa sheria za katiba ametangaza nia kugombea ubunge Kilosa
Amezaliwa kilosa na kukulia kilosa,CCM ina wenyewe
Wewe uliyepangwa kugombea kilosa jiandae kukatwa jina
Sijui jina lakini ana asili ya Asia
2020
Nakuunga Mkono kutoka Dar es salaam,bravo!Wananchi wa kijiji cha Kimamba wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.
Wananchi wa kijiji cha Kimamba wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.
Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.
Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...
Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko
Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari
Chanzo: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.
Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...
Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko
Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari
Chanzo: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Wananchi wa kijiji cha Kimamba wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.
Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.
Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...
Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko
Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari
Chanzo: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
[/QUOT
Siiingilii kamati kuu ya CCM kwani kikatiba ya chama chetu ina uwezo wa kupitisha ama kutopitisha jina la mtia Nia wa ubunge.
Linapotuama jina la mtu Kama Prof.Kabudi na CREDENTIALS na POTENTIALS zote alizonazo basi ninaamini NI kazi ngumu Sana kuliacha kando jina lake.
Mimi si mwananchi wa Kilosa ila ninaunga mkono mh.Prof P.A.M.Kabudi atie nia na achukue fomu ya kuutaka ubunge wa Kilosa,mwenyezi Mungu amtangulie aaamin aaamin.
Mbona povu mzeiyaaa,amemaanisha ujana wa NGUVU na ROHO...Kabudi bado ni kijina? shame on him
Huyu takataka aliyeokotwa jalalani (Alisema yeye mwenyewe) wa kazi gani?Wananchi wa kijiji cha Kimamba wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.
Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.
Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...
Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko
Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari
Chanzo: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Majina yanaangalia CREDENTIALS Kaka....Ina maana mwenyekiti anamajina yake mfukoni?
Sasa huyu Mzee anavyojiita Kijana anataka sisi Tuitwe Watoto ama?Wananchi wa kijiji cha Kimamba wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.
Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.
Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...
Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko
Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari
Chanzo: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Tetete unaenda mbingu ipi? zipo 9Mbona povu mzeiyaaa,amemaanisha ujana wa NGUVU na ROHO...
HATA mbinguni tutafufuliwa tukiwa VIJANA😀😀