Uchaguzi 2020 Wananchi wa Kimamba wamhakikishia Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao. Atangaza nia

Uchaguzi 2020 Wananchi wa Kimamba wamhakikishia Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao. Atangaza nia

Wanabodi,Mambo yamekuwa mambo

Leo yule gwiji wa sheria za katiba ametangaza nia kugombea ubunge Kilosa

Amezaliwa kilosa na kukulia kilosa,CCM ina wenyewe

Wewe uliyepangwa kugombea kilosa jiandae kukatwa jina
Kibajaji kapona
 
Wananchi wa kijiji cha Kimamba wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.
Wananchi wa kijiji cha Kimamba wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.

Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.


Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...

Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko

Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari



Chanzo: Channel Ten

Maendeleo hayana vyama!

Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.


Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...

Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko

Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari



Chanzo: Channel Ten

Maendeleo hayana vyama!
Nakuunga Mkono kutoka Dar es salaam,bravo!
 
Kama Kabudi anasema kuwa yeye ni kijana wao, sijui hao wazee watakuwaje!! Unafiki na uwongo huonekana tangu mwanzo.

Babu anasema ni kijana. Makundi ya umri kwa mujibu wa Ka uri:

uzee umri wa miaka 80 kwenda juu Ujana 60 - 79
Utoto 40 - 59
Watoto wachanga 20 - 39
Mimba siku 1 - miaka 19.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wananchi wa kijiji cha Kimamba wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.

Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.


Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...

Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko

Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari



Chanzo: Channel Ten

Maendeleo hayana vyama!
[/QUOT

Siiingilii kamati kuu ya CCM kwani kikatiba ya chama chetu ina uwezo wa kupitisha ama kutopitisha jina la mtia Nia wa ubunge.

Linapotuama jina la mtu Kama Prof.Kabudi na CREDENTIALS na POTENTIALS zote alizonazo basi ninaamini NI kazi ngumu Sana kuliacha kando jina lake.
Mimi si mwananchi wa Kilosa ila ninaunga mkono mh.Prof P.A.M.Kabudi atie nia na achukue fomu ya kuutaka ubunge wa Kilosa,mwenyezi Mungu amtangulie aaamin aaamin.
 
Wateule wa Mwenye kigoda tu ndiyo watakaopenya, wenzangu mie wala hakuna haya ya kujihangaisha - hela kidogo ulizonazo weka benki zitakusaidia baadaye.
 
Wananchi wa kijiji cha Kimamba wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.

Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.


Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...

Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko

Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari



Chanzo: Channel Ten

Maendeleo hayana vyama!
Huyu takataka aliyeokotwa jalalani (Alisema yeye mwenyewe) wa kazi gani?
 
Wananchi wa kijiji cha Kimamba wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao.

Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea kijijini hapo kabla ya kufaulu na kwenda Mzumbe.


Profesa Kabudi ametangaza nia kwa kusema...

Mimi narudia tena kusema kuwa mkoa wa kimkakati wa maendeleo ni Morogoro, hata Baba wa Taifa aliliona hilo na sasa hivi tuna kiongozi anayetaka mabadiliko

Mimi ni kijana wenu, mzaliwa wa hapa na niwaambie kuwa mkinihitaji kuwatumikia niko tayari



Chanzo: Channel Ten

Maendeleo hayana vyama!
Sasa huyu Mzee anavyojiita Kijana anataka sisi Tuitwe Watoto ama?

Hii siyo fair kabisa, kila mtu ajitambulishe kwa Umri wake bana..

Angesema tu "Mimi ni Mzee wenu kabisa"
 
Baada huyu domo kaya kuropoka sana kuhusu CHADEMA chama kilicho mpa exposure na juzi kurudi Ccm akidhani ata simama tena Kilosa kwa tiketi ya Ccm sasa mwana Diplomasia na nguli wa sheria kipenzi cha mzee baba ametangaza kuwania ubunge kupitia jimbo la Kilosa. Mh. Kabudi kwa vyovyote vile lazima Ccm watampa bendera kuipeperusha. Sasa domo kaya atafute kazi kufagia ofisi.
Ndio maana wahenga walisema uwe na maneno ya akiba mdomoni
 
Back
Top Bottom