Wananchi wa Kongwa wamkataa mbunge wao Job Ndugai, wamwambia Rais Magufuli asimtume kusikiliza kero zao

Wananchi wa Kongwa wamkataa mbunge wao Job Ndugai, wamwambia Rais Magufuli asimtume kusikiliza kero zao

Ttzo la Job anamuwaza mbowe tu for 5 yrs bila kuwaza kutatua kero za Jimbo lake.
 
Jamaa aliyeanza kampeni mapema kabla ya wakati nadhani majimbo ya ccm hatorudia tena kosa Hilo la kuwauliza wapiga juu ya mbunge wa CCM azungumzie kero.
 
Hii ninzuri sana watz wameanza kujitambua muda ukifika wagonjwa wa CCM wakae pembeni.
 
Kudadeeeeekiiiii hili liwe ni fundisho kwa Ndugai kuwa Mtanzania wa sasa siyo mbumbumbu wa miaka ya 60
Mimi nakosa tu kipaza sauti,watu wa aina ya speaker wa bunge la awamu hii wapo wengi sana hawapaswi hata kupata kura za kuomba kuteuliwa ili wawe wagombea.

Na akitaka kupata ukweli wa wagogo ampeleke siku hiyo anayosema atakwenda naye ili akapate ukweli mtupu.

Hongera sana watu wa Kongwa kwa kulitambuwa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watake wasitake Ndungai ndio mbunge wao, hakuna uchaguzi Tanzania. Tume IPI Mikononi kwa meko.
 
Spika hoja zake hua anaziwakilisha mda gani pale bungeni maana muda wote ye hua anachangia tu. Sijamwona hata kusema Taarifa.
 
Kwani hadi anampiga mtu fimbo ya kichwani si alikua anapumulia mashine,lakini kwa kudra za----akapita na kesi ikaisha
 
Inaitwa karma Kama anavowakataa wabunge wa upinzani ndivo alivokataliwa jimboni kwake.
 
Watake wasitake Ndungai ndio mbunge wao, hakuna uchaguzi Tanzania. Tume IPI Mikononi kwa meko
Shindwa na ulegee,kwa hiyo tunapoteza fedha kufanya uchaguzi?Mbona mnaibomoa hii nchi kama vile mnahamia kwingine?Mnawaona Watanzania ni wajinga?
 
Acha uwongo video ya siku nyingi
Leo Kaka Jiwe alijipitisha kule Jimboni kwa mzee wa "'Nina cheti Milembe" akakutana na za uso...hakuna kitu kafanya jamaa asisee....anajua kuchapa watu tu viboko
 
Hizi habari mlizileta 2015 na mpaka sasa ni speaker nawalima kama maharage .endeleeni na upuuzi wenu
Unadhani zile bakora alizotembeza 2015 zilikuwa mchezo hata wewe ungeaachia tu Jimbo unapigwa wewe arafu unashtakiwa wewe polisi kwa kosa la kusababisha mtu akakucharaza bakora.
 
Back
Top Bottom