Wananchi wa Kongwa wamkataa mbunge wao Job Ndugai, wamwambia Rais Magufuli asimtume kusikiliza kero zao

Hao watu kweli wameharibu image ya CCM kama inavyojinasbu inapendwa kila kona ya nchi.
 
G Sam,

Kimsingi Ndugai hakubaliki hata na familia yake isipokuwa kapewa kazi ya kuwashughulikia Chadema hivyo atarudishwa na NEC atapita bila kupingwa, tume ingekuwa huru hata yeye asingegombea maana hata mke wake hawezi kumpa kura.
 
Fitina zote za uongo. Ni kwa sababu Ndugai amekataa kuwafukuza wabunge walioachishwa uanachama kihuni na Chadema. Mnaweweseka.
 
Kwani hadi anampiga mtu fimbo ya kichwani si alikua anapumulia mashine,lakini kwa kudra za----akapita na kesi ikaisha
Jamaa anapenda madaraka kushinda uhai wa watu kushinda hata familia yake mwenyewe, ni mtu hatari sana akiwa na njaa
 
Hii mizee ingejua CCM wenye akili hawapendi mnavyoendesha nchi...vyama vingi sio vita...Wagogo oyeeee
 
Clip ya Zamani enzi Geita Ni wilaya iliyopo Mkoa wa Mwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…